Iweje misikiti ijengwe kwenye maeneo ya serikali?

Iweje misikiti ijengwe kwenye maeneo ya serikali?

Usipo yaelewa mambo kwa kina utapata shida sana kutafakari mambo hayo!!

Ukombozi wa nchi toka kwa wakoloni ulisimamiwa na dini zote mbili yaani waumini,wasomi,wnazuoni wa dini zote mbili walihusika na kuwa viongozi wa serikali na wanatambua bila dini huwezi ongoza taifa kama letu!

Walianza waswahili waislam kudai uhuru wakaja wakristo hasa mkristo akakaribishwa na kuwa kiongozi huyo huyo akaunda Bakwata kwa ushirikiano na serikali na Dini zote hadi leo Bakwata ipo na Bara la maaskofu lipo!!

Kwa hiyo swala la misikiti na makanisa ni sehemu ya serikali katika kutawala watu na ardhi yote ni mali ya serikali na Dini zote ni sehemu ya serikali japo inajinasibu haina Dini!!

Ukielewa hayo huwezi jiuliza hayo !!

kina
Serikali haina dini acha uzushi
 
Naomba tuone Hati ya Hilo eneo?

Mbagala shule ya Annex kulikuwa na uwanja mkubwa wa mpira shule sasa Haina uwanja ule uwanja walimilikishwa Kanisa RC maisha yanakwenda

Hivyohivyo mbagala sokoni Kwa mpochea eneo la serikali wakamilikishwa Wasabato Kuna kanisa pale

Tukiacha kuhubiri hizi chuki Kwa sababu ya malezi ya kishenzi tunayopewa kwenye familia zetu Nina Hakika Dunia inabakia salama

Serikali haiwezi kujenga msikiti sio jukumu lake inaweza kusaidia kutoa msaada wa eneo au kiongozi achangie fedha
Bajeti ya kujenga misikiti Iko wizara gani???

Samia Raisi wa Tanzania sio raisi wa Waislam

Kama hatuwezi kupendana Kwa sabab ya hizi Dini tunaweza kupendana Kwa sababu ya huu utanzania wetu
 
Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.

Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.

Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
serikali inajengaje msikiti? imejenga makanisa mangapi na mahekalu ya wahindi mangapi na nyumba za waganga wa kienyeji ngapi?..mbona ni jambo lisilowezekana.
 
Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.

Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.

Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Wee nenda kalalamikie kwenu Kalambo nguruwe wanatembea km mbuzi mitaani........mnavamia mini ya watu halafu hamtaki wenyeji wafuate utaratibu wao kisa kuna wakuja....rudi kwenu Kamsamba kajenge makanisa.
 
Mkisha changishana kujenga hayo mashule sisi waislam , wakristo na wapagani wenye pesa zetu tunaleta watoto wetu wanasomea kwenye hizo shule, alafu nyinyi wakristo makapuku mlio changa kuzijenga hizo shule watoto wenu wanaenda kusomea kayumba.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].

Waislamu ni maskini hawawezi afford private schools niamini ukienda private school ukakuta waislamu basi hawafiki 10 percent
 
Sasa siku hizi kila kijana anaejua kusoma vizuri biblia anafungua kanisa. Haya tuseme serikali iache wazi pia maeneo ya kanisa. Si mtauana wenyewe kwa wenyewe Christians, Kwamaana kila mtu atahitaji eneo ajenge kanisa lake.
 
Wakristo ni dhaifu sana na ndio maana mnayumbishwa kiimani. Leo mtakanyagishwa mafuta, kesho mtapewa maji. Yaani imani yenu inachezewa na akili zetu pia. Wajanja wachache wanatumia udhaifu wenu kupiga pesa. Na ndio maana serikali haioni umuhimu wa kuwatengea maeneo kama hayo kwakuwa inajua 95% ni vilaza.
 
Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.

Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.

Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Huo wa mwenge una historia za mapigano Kati ya wenyeji na wakuja.
 
Njia iendayo uzimani ni nyembamba.
Waache wafu wawazike wafu wao.

Mathayo 7:14 Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.

Mathayo 8:22 Lakini Yesu akamwambia, Nifuate; waache wafu wazike wafu wao.
 
Njia iendayo uzimani ni nyembamba.
Waache wafu wawazike wafu wao.

Mathayo 7:14 Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.

Mathayo 8:22 Lakini Yesu akamwambia, Nifuate; waache wafu wazike wafu wao.
Kijana acha kuzunguka mbuyu naona nimekupa za uso kule umekimbia na iyo njia uloishika ww ni ya kwenda kupigwa moto usijitetee ata kidogo
 
Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.

Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.

Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Dini ni nyenzo muhimu kwa serikali , kuwa mpole
 
Njia iendayo uzimani ni nyembamba.
Waache wafu wawazike wafu wao.

Mathayo 7:14 Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.

Mathayo 8:22 Lakini Yesu akamwambia, Nifuate; waache wafu wazike wafu wao.
Sasa hii ina uhusiano gani na kinacho jadiliwa?
 
Misikiti ipo kila sehemu siku hizi
kwa sababu ya demand za waumini

Sasa kama nyie hamuombi mpaka mwenye hela afungue kanisa hapo ndio shida inapoanza

Siku hizi makanisa mengi ya watu binafsi na imekuwa biashara badala ya Imani zaidi

Waislaam wa [emoji636] waliomba zile services za motorways ambapo unapumzika na kuweka petrol na kula kuwekwe sehemu ya kusali na walikubali na sasa kila sehemu kuna facilities hizo bila hiyana

Na sio waislam tu wameweka pia chumba cha wakristo na pia wayahudi

Dunia ya leo sio ile maana watu wanasikilizwa kuliko zama za mabavu na ubaguzi
Sio sawa kujengwa public places hii nchi sio ya dini moja!
 
Kijana acha kuzunguka mbuyu naona nimekupa za uso kule umekimbia na iyo njia uloishika ww ni ya kwenda kupigwa moto usijitetee ata kidogo
Hivi ukiwa na akili timamu una abuduje Dini moja na Majini.

Yaani unaenda kuswali na Jini Popobawa au Jini Mahaba Msikiti mmoja wote mnatubu dhambi zenu pamoja kwa Allah.
Msikitini kumefurika majini yakitubu dhambi zao na wewe upo humo humo
Unalionaje hili?
Muhammadi alitumwa na Majini kuueneza Uislamu.

Alivyotoka kule pangoni alieleza kiwazi kabisa kwamba.
"Nahisi kuzugwa na Mashetani" Walaga Bin Naufal hakuwepo kule pangoni ndio akamwambia yule alikuwa Malaika Gibrili. Hivi wewe ungemwamini nani ?

Surah An-Nisaa-u Ayah 79

مَّآ أَصَابَكَ مِنۡ حَسَنَةٖ فَمِنَ ٱللَّهِۖ وَمَآ أَصَابَكَ مِن سَيِّئَةٖ فَمِن نَّفۡسِكَۚ وَأَرۡسَلۡنَٰكَ لِلنَّاسِ رَسُولٗاۚ وَكَفَىٰ بِٱللَّهِ شَهِيدٗا
Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. [emoji117]Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

Surah Al-Baqarat Ayah 97

قُلۡ مَن كَانَ عَدُوّٗا لِّـجِبۡرِيلَ فَإِنَّهُۥ نَزَّلَهُۥ عَلَىٰ قَلۡبِكَ بِإِذۡنِ ٱللَّهِ مُصَدِّقٗا لِّمَا بَيۡنَ يَدَيۡهِ وَهُدٗى وَبُشۡرَىٰ لِلۡمُؤۡمِنِينَ
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Surah Al-Djini: Ayah 12

وَأَنَّا ظَنَنَّآ أَن لَّن نُّعۡجِزَ ٱللَّهَ فِي ٱلۡأَرۡضِ وَلَن نُّعۡجِزَهُۥ هَرَبٗا
[emoji117]Nasi tulijua kuwa hatutomshinda Mwenyezi Mungu duniani, wala hatuwezi kumponyoka kwa kukimbia.*

Nasi ni Majini
 
Hivi ukiwa na akili timamu una abuduje Dini moja na Majini.

Yaani unaenda kuswali na Jini Popobawa au Jini Mahaba Msikiti mmoja wote mnatubu dhambi zenu pamoja kwa Allah.
Msikitini kumefurika majini yakitubu dhambi zao na wewe upo humo humo
Unalionaje hili?
Muhammadi alitumwa na Majini kuueneza Uislamu.

Alivyotoka kule pangoni alieleza kiwazi kabisa kwamba.
"Nahisi kuzugwa na Mashetani" Walaga Bin Naufal hakuwepo kule pangoni ndio akamwambia yule alikuwa Malaika Gibrili. Hivi wewe ungemwamini nani ?

Surah An-Nisaa-u Ayah 79

مَّآ أَصَابَكَ مِنۡ حَسَنَةٖ فَمِنَ ٱللَّهِۖ وَمَآ أَصَابَكَ مِن سَيِّئَةٖ فَمِن نَّفۡسِكَۚ وَأَرۡسَلۡنَٰكَ لِلنَّاسِ رَسُولٗاۚ وَكَفَىٰ بِٱللَّهِ شَهِيدٗا
Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. [emoji117]Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

Surah Al-Baqarat Ayah 97

قُلۡ مَن كَانَ عَدُوّٗا لِّـجِبۡرِيلَ فَإِنَّهُۥ نَزَّلَهُۥ عَلَىٰ قَلۡبِكَ بِإِذۡنِ ٱللَّهِ مُصَدِّقٗا لِّمَا بَيۡنَ يَدَيۡهِ وَهُدٗى وَبُشۡرَىٰ لِلۡمُؤۡمِنِينَ
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Surah Al-Djini: Ayah 12

وَأَنَّا ظَنَنَّآ أَن لَّن نُّعۡجِزَ ٱللَّهَ فِي ٱلۡأَرۡضِ وَلَن نُّعۡجِزَهُۥ هَرَبٗا
[emoji117]Nasi tulijua kuwa hatutomshinda Mwenyezi Mungu duniani, wala hatuwezi kumponyoka kwa kukimbia.*

Nasi ni Majini
Akili yako ni ndogo sanaa
 
Akili yako ni ndogo sanaa
Kwamba Majini sio Maislamu au nini ?

Mtume baada ya kutoka pangoni aliulizwa na mkewe Hadija
Umepatwa na nini mbona unaugua ?

Mtume akamjibu.
Nahisi kuzugwa na Mashetani.
Bi Hadija akampeleka kwa Waraga Bin Naufal Myahudi ndio akamwambia huyo aliye kutokea pangoni ni Malaika Gabrieli

Hapo wewe utamwamini nani ?

Au sema Kile kiumbe kilicho mtokea Muhammadi kule pangoni kikampiga na kumkaba hadi aka ugua homa kwanini hakikujitambulisha ?
Na kumlazimisha asome,
"Ikraa bismi Rabik"

Uislamu hautaki kusema ukweli.

Niambie kile kiumbe kwanini hakikujitambulisha kwa Mtume, kikamkaba na kumpiga hadi akaugua.

Au wewe ni Maamuma hujasoma hadithi za Mtume?
 
Mnaweza kunipa Aya Muhammadi anatokewa na Malaika au Allah na kumpa maagizo?
Muiweke hapa ili Nisilimu.

Alitokewa na Majini Aya zipo. Bisheni niziweke hapa.
 
Back
Top Bottom