KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Hayajengwi kwenye maeneo ya umma kama masokoni wala kwenye vituo vya mabasi, yanajengwa kwenye maeneo binafsiKwahiyo makanisa siku hizi hayajengwi? siku hizi mpaka makanisa ya mabati una yakuta Dar
Kabla ya kuwa soko pengine lilikuwa eneo la mtu , kwahiyo huwezi jua serikali walikubaliana kwenye kuwaachia eneo hiloHayajengwi kwenye maeneo ya umma kama masokoni wala kwenye vituo vya mabasi, yanajengwa kwenye maeneo binafsi
Na Mwarabu ndio huyooo anajipenyeza taratibu kwenye secta mbalimbali.Sasa ni rasmi Tanzania ni Islamic state
Bado haijafiikia huko lakini In shaa Allah ifikie ndiyo kitaeleweka.Sasa ni rasmi Tanzania ni Islamic state
Bado haijafiikia huko lakini In shaa Allah ifikie ndiyo kitaeleweka.
Dunia nzima wameelewa kuwa dini kwa Mwenyezi Mungu ni Uislam pekee.Amka unaota usije jikojolea.
Safi sana, Sheikh Bujibuji nimejawa na furaha teleBado haijafiikia huko lakini In shaa Allah ifikie ndiyo kitaeleweka.
Rashid wa Kawe anasemaje?Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.
Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.
Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Wapi sehemu za public/ serikali kuna makanisa au madhabahu ya mizimu?It about jealous and nothing else
Watoto wa KAMBO wanadekezwa sana🤣🤣Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.
Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.
Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Sana, hadi inakeraWatoto wa KAMBO wanadekezwa sana🤣🤣
Ndio mana hawaishi kulalamikaSana, hadi inakera
Haitakaa itokee huwajui wazungu wewe. Huyu mwarabu kawekwa kumzuia mchina. Ulipolala mzungu alishaamkia hapo jana. Ndio maana Zanzibar haiwez kutoka mikononi mwa Tanganyika sio kwasababu ya Tanganyika ila mzungu hawez kuruhusu.Bado haijafiikia huko lakini In shaa Allah ifikie ndiyo kitaeleweka.
Basi huna akili? Sasa unashangaa DAR kuwa na misikiti MINGI? Kwa Taarifa yako, DAR ni moja ya mikoa ambayo majority ni WAISLAM na utamaduni wao ni huo wa KIISLAM kwa sehemu kubwa.
Inashangaza MBEYA kila hatua 3 kuna KANISA na hakuna malalamiko, wakati mwingine mjue kuna kanda ziko DOMINATED na WAISLAM KWA ZAIDI YA 90% hivyo ujenzi wa misikiti ni kawaida.
DAR, TANGA, LINDI, TABORA, MTWARA, MOROGORO, PWANI hayo maeneo MISIKITI ni MINGI kuliko MAKANISA
Masikini ya Mungu nwkuhurumia sana kwa kujazwa ujings ukskujss, jionee Mzungu anafanya nini sasa hivi 👇🏾Haitakaa itokee huwajui wazungu wewe. Huyu mwarabu kawekwa kumzuia mchina. Ulipolala mzungu alishaamkia hapo jana. Ndio maana Zanzibar haiwez kutoka mikononi mwa Tanganyika sio kwasababu ya Tanganyika ila mzungu hawez kuruhusu.
Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.
Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.
Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini