Iwepo sheria kuwalazimisha wafanyabiashara wote wenye turnover ya zaidi ya Tsh 400m kwa mwaka wawe na wahasibu angalau ngazi ya certificate.

Iwepo sheria kuwalazimisha wafanyabiashara wote wenye turnover ya zaidi ya Tsh 400m kwa mwaka wawe na wahasibu angalau ngazi ya certificate.

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Hii ninashauri ili kupunguza tatizo la ajira na pia kusaidia kupunguza migogoro kati ya serikali na wafanyabiashara. Kuna kutokuelewana pakubwa kati ya serikali na wafanyabiashara kwenye hesabu zao. Mamlaka zinaona wafanyabiashara wanakwepa kodi huku nao wakiona mamlaka wanawaonea. Kupunguza tatizo kila mfanyabiashara awe na kijana mwenye elimu ya uhasibu atakayeweza kuondoa utata wa hapa na pale. Mfanyabiashara mwenye turnover ya zaidi ya 400m hashindwi kuajiri kijana akamlipa 400k kila mwezi ili mahesabu yake yakae sawa.

Natumaini huu uzi utafanyiwa kazi na mamlaka husika haraka iwezekanavyo.
 
Huo mshahara watalipwa na serikali?

1000012569.png
 
Hii ninashauri ili kupunguza tatizo la ajira na pia kusaidia kupunguza migogoro kati ya serikali na wafanyabiashara. Kuna kutokuelewana pakubwa kati ya serikali na wafanyabiashara kwenye hesabu zao. Mamlaka zinaona wafanyabiashara wanakwepa kodi huku nao wakiona mamlaka wanawaonea. Kupunguza tatizo kila mfanyabiashara awe na kijana mwenye elimu ya uhasibu atakayeweza kuondoa utata wa hapa na pale. Mfanyabiashara mwenye turnover ya zaidi ya 400m hashindwi kuajiri kijana akamlipa 400k kila mwezi ili mahesabu yake yakae sawa.

Natumaini huu uzi utafanyiwa kazi na mamlaka husika haraka iwezekanavyo
 
Hii ninashauri ili kupunguza tatizo la ajira na pia kusaidia kupunguza migogoro kati ya serikali na wafanyabiashara. Kuna kutokuelewana pakubwa kati ya serikali na wafanyabiashara kwenye hesabu zao. Mamlaka zinaona wafanyabiashara wanakwepa kodi huku nao wakiona mamlaka wanawaonea. Kupunguza tatizo kila mfanyabiashara awe na kijana mwenye elimu ya uhasibu atakayeweza kuondoa utata wa hapa na pale. Mfanyabiashara mwenye turnover ya zaidi ya 400m hashindwi kuajiri kijana akamlipa 400k kila mwezi ili mahesabu yake yakae sawa.

Natumaini huu uzi utafanyiwa kazi na mamlaka husika haraka iwezekanavyo.
Pumbafu kabisa. Mijitu ya CCM inafikiria kwa kutumia nini? Uongozi mbovu na wa kifisadi wa CCM umeitumbukiza nchi katika janga la ajira halafu mipumbavu mingine inataka kulazimisha watu waajiri. Mijitu imeshindwa kupanga mambo ya nchi sasa inakurupuka kufanya ujinga.
 
Mwanakukitafuta mwanakulipata.

Punguzeni matumizi makubwa ya pesa Serikalini. Mnanunua magari ya kifahari yanakula mafuta hatari, services zake zipo juu mno! vipuri gharama na mnamatanuzi ya hali ya juu mno!

Kwanza taasisi kama Bunge linalamba pesa mingi sana zisizo za lazima. Mnalipana miposho kede kede mnawakamua wafanyabiashara bado tu mnataka mlete sheria kandamizi loooooh!
 
Sheria unataka taasisi, wafanyabiashara wenye mapato yanayoanzia milioni 50 wawe na wahasibu.
Mhasibu ni nani?
Hapo ndipo watu wengi wanapokosea, kumaliza CPA, acca hakukufanyi wewe kuwa mhasibu hata ukimakiza degree, au master ya accountancy pia bado hujawa mhasibu. Inatakiwa baada ya kuhitimu kufanya practice kwa muda fulani ndio wanakuwa wahasibu hiyo ni pamoja na kutimiza maadili ya uhasibu.
 
Unajua watu wanalipa kodi ngapi, unajua tukiagiza kontena thailand, china, dubai tinakamuliwa kiasi gani? Unajua kama burundi, zambia, uganda kenya tunaagizia sehemu moja na wao hadi bidhaa inafika destination inakua bei chini kuliko sisi kodi karibu 14 Kwa bidhaa moja? Kila mwaka mnaongeza vikorokoro kwenye kodi tuko kimya leo choko maskini kunuka kama wewe unajifanya mchambuzi wa kodi
Ukiwa na mhasibu utalipa kiwango kidogo tofauti na wewe kufanya biashara bila kuwa na mhasibu
 
Hii ninashauri ili kupunguza tatizo la ajira na pia kusaidia kupunguza migogoro kati ya serikali na wafanyabiashara. Kuna kutokuelewana pakubwa kati ya serikali na wafanyabiashara kwenye hesabu zao. Mamlaka zinaona wafanyabiashara wanakwepa kodi huku nao wakiona mamlaka wanawaonea. Kupunguza tatizo kila mfanyabiashara awe na kijana mwenye elimu ya uhasibu atakayeweza kuondoa utata wa hapa na pale. Mfanyabiashara mwenye turnover ya zaidi ya 400m hashindwi kuajiri kijana akamlipa 400k kila mwezi ili mahesabu yake yakae sawa.

Natumaini huu uzi utafanyiwa kazi na mamlaka husika haraka iwezekanavyo.
Karibu wote hao huwa wanatoa wahasibu India. Ndiyo wanakuwa na uhakika na biashara zao. Huwa hawategemei wahasibu wa ndani ya nchi.

Sababu ndiyo ileile iliyomfanya Mhe. Kishimba ashauri tuwe na vyuo vya kufundisha wizi ili wezi wasiwe wanaiba hadi kiwango cha kuua biashara yenyewe.

Ova
 
Hii ninashauri ili kupunguza tatizo la ajira na pia kusaidia kupunguza migogoro kati ya serikali na wafanyabiashara. Kuna kutokuelewana pakubwa kati ya serikali na wafanyabiashara kwenye hesabu zao. Mamlaka zinaona wafanyabiashara wanakwepa kodi huku nao wakiona mamlaka wanawaonea. Kupunguza tatizo kila mfanyabiashara awe na kijana mwenye elimu ya uhasibu atakayeweza kuondoa utata wa hapa na pale. Mfanyabiashara mwenye turnover ya zaidi ya 400m hashindwi kuajiri kijana akamlipa 400k kila mwezi ili mahesabu yake yakae sawa.

Natumaini huu uzi utafanyiwa kazi na mamlaka husika haraka iwezekanavyo.
Tafuta na wewe pesa zako usishadadie pesa za wenzako utafir***wa
 
Back
Top Bottom