J Mnyika, Aunguruma Channel TEN, Athibitisha maridhiano yameisaidia Sana CHADEMA, Sasa Inayatambua Matokeo, Inalitambua Bunge na Kumtambua Mbunge Wake

J Mnyika, Aunguruma Channel TEN, Athibitisha maridhiano yameisaidia Sana CHADEMA, Sasa Inayatambua Matokeo, Inalitambua Bunge na Kumtambua Mbunge Wake

IMG_20240324_183708.jpg
images (36).jpeg
images (38).jpeg
Mosi , binafsi kwenye hilo la matokeo siyatambui yale matokeo.

Pili siungi mkono maridhiano yaliyokuwa ya wanasiasa bila kuhusisha familia zilizopoteza ndugu, jamaa na marafiki kupitia "pre and post elections violence."

Tatu hakuna tume huru iliyoundwa kuchunguza mchakato mzima wa uchaguzi yaani upigaji kura, uhakiki wa wapiga kura halisi, idadi ya kura zilizopigwa, kuhesabu kura (hapa mawakala wa CHADEMA walitekwa vituo vingi sana huku waCCM wakibaki kujijazia kura zilizoletwa kwenye mabegi na hotpot kama geresha ya chakula cha mawakala kwenye hili Mnyika sikubaliani nae labda atueleze kama Maridhiano yamewanufaisha wao tu kama wanasiasa na sio watu waliokuwa mstari wa mbele zaidi hadi wengine kupoteza maisha nyakati zile za giza.

Nne na mwisho TV atakayohojiwa Mnyika iko affiliated na CCM and since it is not an independent media we should expect card stacking and one sided debate with a partisan moderator.

Attached herewith some concrete evidence of post election

illegalities.
images (36).jpeg
images (38).jpeg
IMG_20240324_183708.jpg
 
Huyu Mayalla ni Kada wa CCM Channel 10TV ni ya CCM hayo mahojiano na Katibu wetu wa CHADEMA hayatakuwa ya upendeleo kweli?

Na kama tujuavyo kipindi kimesharekodiwa na Editing nyingi zimeshafanyika Anyway ngoja nitizame..
Hadi leo atu hawajui Channel ni media house ya CCM??
 
View attachment 2943630View attachment 2943622View attachment 2943624Mosi , binafsi kwenye hilo la matokeo siyatambui yale matokeo.

Pili siungi mkono maridhiano yaliyokuwa ya wanasiasa bila kuhusisha familia zilizopoteza ndugu, jamaa na marafiki kupitia "pre and post elections violence."

Tatu hakuna tume huru iliyoundwa kuchunguza mchakato mzima wa uchaguzi yaani upigaji kura, uhakiki wa wapiga kura halisi, idadi ya kura zilizopigwa, kuhesabu kura (hapa mawakala wa CHADEMA walitekwa vituo vingi sana huku waCCM wakibaki kujijazia kura zilizoletwa kwenye mabegi na hotpot kama geresha ya chakula cha mawakala kwenye Mnyika sikubaliani nae labda kama Maridhiano yamewanufaisha wao tu kama wanasiasa na sio watu waliokuwa mstari wa mbele hadi wengine kupoteza maisha nyakati zile za giza.

Nne na mwisho TV atakayohojiwa Mnyika iko affiliated na CCM and since it is not an independent media we should expect card stacking and one sided debate with a partisan moderator.

Attached herewith some concrete evidence of post election
View attachment 2943620
illegalities.View attachment 2943622View attachment 2943624View attachment 2943630
Maelezo sahihi kabisa
 
Yaani umri wa mabeyoooo ,amesoma seminari halafu anatumwa na mtu akaongeeee Yale ya juziiiiii mhhhhhh nchi imetekwa
 
Maana ya live itakuwa ime-evolve..kama tayari ushajua atakayozungumza u-live uko wapi hapo ndugu njaa?? Au njaa imeenda ku-corrode upstairs??
 
View attachment 2943643
Nje ya Mada,kwahiyo akaona aunge mkono juhudi?

Sisi tumevumilia yale yote DHALIMU mpaka Mungu alipoamua Ugomvi.
Yule dikteta uchwara aliiba uchaguzi mzima kishamba kama alivyokuwa mshamba.

Ndio watoto wa mjini wakampa " tip" kuwa kuna mikataba ya kimataifa inayosimamia haki za binadamu na demokrasia miongoni mwa vipengele hivyo kwenye demokrasia ni uchaguzi huru na wa haki.

Ili kuhalalisha ubatili wa bunge lile la kijani ilihitaji kambi ya upinzani kubalance mzani wakashtukia wabunge wote wa upinzani wanaye mmoja wa 1 kutudanganyia ndio wakaamua wahalalishe hao wasaliti 19 ili nchi isikose mkopo ambao unahitaji sharti la demokrasia lifuatwe.
 
Siasa zetu za kibongo hizi ni shida sana. Yaani watu wanaona bado miezi tu uje uchaguzi mkuu wanaamsha habar za wabunge hewa.
wakiri msomi kibatara sijui kapotelea wapi naona kimya sana. Tangu mwenyekiti alambe asari sijamsikia tena..!!
 
Siasa zetu za kibongo hizi ni shida sana. Yaani watu wanaona bado miezi tu uje uchaguzi mkuu wanaamsha habar za wabunge hewa.
wakiri msomi kibatara sijui kapotelea wapi naona kimya sana. Tangu mwenyekiti alambe asari sijamsikia tena..!!
 
Back
Top Bottom