J Mnyika, Aunguruma Channel TEN, Athibitisha maridhiano yameisaidia Sana CHADEMA, Sasa Inayatambua Matokeo, Inalitambua Bunge na Kumtambua Mbunge Wake

J Mnyika, Aunguruma Channel TEN, Athibitisha maridhiano yameisaidia Sana CHADEMA, Sasa Inayatambua Matokeo, Inalitambua Bunge na Kumtambua Mbunge Wake

Wanabodi

Kupitia kipindi changu kipya cha KMT, kinachorushwa hewani na Channel Ten, Katibu Mkuu wa Chadema, JJ. Mnyika, Kuunguruma Kuanzia Saa 3:00 Usiku.

Katika kipindi hicho, JJ. Mnyika atathibitisha jinsi maridhiano na CCM yalivyo isaidia Chadema, ambapo mwanzo waligoma kuutambua
uchaguzi na kuyatambua matokeo, lakini kupitia maridhiano sasa Chadema inautambua uchaguzi, inayatambua matokeo ya uchaguzi, na kumtambua Mbunge wake mmoja tuu, Aida Kenani.

Pia JJ Mnyika atajibu hoja mbalimbali za Mwandishi Pascal Mayalla, zikiwemo hoja kuhusu wabunge wake 19,
Kwanini Chadema mpaka leo haijaripoti polisi kuhusu jinai ya kughushi ya wabunge hao 19.

Jiunge nami hiyo saa 3:00 nitakuleta live kupitia hapa if na kupitia mitandao ya kijamii.

Kipindi kilichopita nilizungumza na Salim Mwalimu na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Chadema

Vipindi vijavyo, nitamtafuta Tundu Lissu na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.

Usikose!.
Paskali
well done,

nataman next time niandae kipindi nikuhoji wewe na kupata mtazamo, matarajio na maoni yako kwa ufupi sana juu ya uchaguzi wa 2020 kuanzia ndani ya vyama, mwenendo wa siasa za Tz tangu baada ya msiba wa hayati Magufuli, lakini pia maono na mipango yako uchaguzi ujao 2025 kuanzia ndani ya vyama vya siasa 🐒
 
Wanabodi

Kupitia kipindi changu kipya cha KMT, kinachorushwa hewani na Channel Ten, Katibu Mkuu wa Chadema, JJ. Mnyika, Kuunguruma Kuanzia Saa 3:00 Usiku.

Katika kipindi hicho, JJ. Mnyika atathibitisha jinsi maridhiano na CCM yalivyo isaidia Chadema, ambapo mwanzo waligoma kuutambua
uchaguzi na kuyatambua matokeo, lakini kupitia maridhiano sasa Chadema inautambua uchaguzi, inayatambua matokeo ya uchaguzi, na kumtambua Mbunge wake mmoja tuu, Aida Kenani.

Pia JJ Mnyika atajibu hoja mbalimbali za Mwandishi Pascal Mayalla, zikiwemo hoja kuhusu wabunge wake 19,
Kwanini Chadema mpaka leo haijaripoti polisi kuhusu jinai ya kughushi ya wabunge hao 19.

Jiunge nami hiyo saa 3:00 nitakuleta live kupitia hapa if na kupitia mitandao ya kijamii.

Kipindi kilichopita nilizungumza na Salim Mwalimu na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Chadema

Vipindi vijavyo, nitamtafuta Tundu Lissu na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.

Usikose!.
Paskali
akili yako yote iko kwa chadema! walikufanyia nini kibaya mpaka chuki kutoka kwenye floor ya moyo wako?
 
Wanabodi

Kupitia kipindi changu kipya cha KMT, kinachorushwa hewani na Channel Ten, Katibu Mkuu wa Chadema, JJ. Mnyika, Kuunguruma Kuanzia Saa 3:00 Usiku.

Katika kipindi hicho, JJ. Mnyika atathibitisha jinsi maridhiano na CCM yalivyo isaidia Chadema, ambapo mwanzo waligoma kuutambua
uchaguzi na kuyatambua matokeo, lakini kupitia maridhiano sasa Chadema inautambua uchaguzi, inayatambua matokeo ya uchaguzi, na kumtambua Mbunge wake mmoja tuu, Aida Kenani.

Pia JJ Mnyika atajibu hoja mbalimbali za Mwandishi Pascal Mayalla, zikiwemo hoja kuhusu wabunge wake 19,
Kwanini Chadema mpaka leo haijaripoti polisi kuhusu jinai ya kughushi ya wabunge hao 19.

Jiunge nami hiyo saa 3:00 nitakuleta live kupitia hapa if na kupitia mitandao ya kijamii.

Kipindi kilichopita nilizungumza na Salim Mwalimu na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Chadema

Vipindi vijavyo, nitamtafuta Tundu Lissu na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.

Usikose!.
Paskali
Usisahau kumwulizabkwa nini hawajateua Wabunge 19 mbadala? Wapo, na orodhabiponilipitishwa na Kamati Kuu. Sasa wanaifichabkwa vilenilijaa Ndugu zake mbowe kutoka Moshi na wake wa viongozi wa KK wakiwamo walioshinda na walioshindwa kinyang'anyiro kumpata mgombea tindulissu wa 2020 na mabinti wa vinguge wote aliokuja nao Lowassa. Shame shame shame!
 
Wanabodi

Kupitia kipindi changu kipya cha KMT, kinachorushwa hewani na Channel Ten, Katibu Mkuu wa Chadema, JJ. Mnyika, Kuunguruma Kuanzia Saa 3:00 Usiku.

Katika kipindi hicho, JJ. Mnyika atathibitisha jinsi maridhiano na CCM yalivyo isaidia Chadema, ambapo mwanzo waligoma kuutambua
uchaguzi na kuyatambua matokeo, lakini kupitia maridhiano sasa Chadema inautambua uchaguzi, inayatambua matokeo ya uchaguzi, na kumtambua Mbunge wake mmoja tuu, Aida Kenani.

Pia JJ Mnyika atajibu hoja mbalimbali za Mwandishi Pascal Mayalla, zikiwemo hoja kuhusu wabunge wake 19,
Kwanini Chadema mpaka leo haijaripoti polisi kuhusu jinai ya kughushi ya wabunge hao 19.

Jiunge nami hiyo saa 3:00 nitakuleta live kupitia hapa if na kupitia mitandao ya kijamii.

Kipindi kilichopita nilizungumza na Salim Mwalimu na Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa Chadema

Vipindi vijavyo, nitamtafuta Tundu Lissu na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.

Usikose!.
Paskali
Sasa tusikilize nini wakati umeishatuambia kila kitu ambacho Mnyika atasema?

Amandla...
 
4. Pia JJ Mnyika amejitahidi kujibu hoja mbalimbali za mwandishi Pasco Mayalla, zikiwemo hoja kuhusu wale wabunge wake 19, likiwemo jibu la swali ”Kwanini Chadema mpaka leo haijaripoti polisi kuhusu jinai ya kughushi ya wabunge hao 19?”
View: https://youtu.be/-M8HnYQgtAc?si=mBlAuAvub0JcokXp

5. JJ Mnyika, amesema Chadema ina uthibitisho wa uhusika wa mamlaka za nchi katika jinai ya kughushi uteuzi wa wabunge 19, serikali ikihusika na jinai, jeshi la polisi halifanyi uchunguzi!. Hata shambulio la Lissu, mamlaka ilihusika ndio maana mpaka leo hakuna uchunguzi wowote wa kijinai
View: https://youtu.be/CH1amKvbsQc?si=4_QhuIr4MXrYpv5J

Msikilize JJ Mnyika akijibu hoja zangu kuhusu forgery,kisha msikie Mhe。Ester Bulaya akizumzia uteuzi wao
Ester Bulaya amesema kuwa yeye alifuata taratibu zote za kuwa mbunge wa viti maalum ndani ya chama chake. Pia ameeleza hakughushi nyaraka na kama amefanya hivyo basi alipaswa kushtakiwa mahakamani
View attachment 3247495
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Mhe。Bulaya amethibitisha hakuna jinai ndio maana Chadema hawajashitaki polisi!。

Ila mimi mwenzenu jamani, ni binadamu tuu, huyu mdada,sio tuu namkubali sana kichizi,bali kiukweli,pia nina 。。。,,na hakuna kosa lolote,kwa mtu yoyote,kum。。。 mtu mwingine yeyote,kwa sababu yoyote,au hata bila sababu yoyote, naomba nisimalizie!,, ila nimeanza kumzimikia long time ago toka yuko CCM Mbunge wa CCM, Esta Bulaya, ni mbunge pekee aliyesaini petition ya Zitto ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu! Chadema ikomppteza itakuwa imepoteza kitu kikubwa,na wasipoamua mapema kuwasamehe,hawa watatu,Halima Mdee,Ester Bulaya na Ester Matiko,watagombewa kama mpira wa kona na majimbo yao,wakosimama kupitia chama chochote,wana tusua!。
P
 
Back
Top Bottom