Jackline wolper kaachwa tena?

Jackline wolper kaachwa tena?

licha ya kuwa ni X wa boss pia alichumbiwa na mkongo
 
View attachment 446891
Na huwa anajua kumwaga chozi kweli kweli, shilawadu wanasema sio chozi la nchi hii.....
Kama hiyo tetesi ni ya kweli itabidi tu arudi migombani akalishe ng'ombe vijana wa mjini wana kazi ya kumfunua na kumfunika utadhani wanacheza kamari.
Behind the scene kuna nini mbona kuachwa sana......
Bado tu unatumia Tecno!
 
daah mtoto mtamu yule lazma ningefanya mpango hata anizalie kababy tu
 
Back
Top Bottom