Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

SEASON 1 :
ILIKUWA YA SHOW OFF YA. MAREHEMU PLUS. THE GREATEST GOLD DIGGER , SHOW OFF YA MATANUZI KAMA YOTEEEEEEE PLUS. VITIMBI VYA KUJIDAI MITANDAONI NA KU-SHOW MATANUZI MARA DUBAI MARA PARIS.... HUKU WAZEE WA KEYBOARD TUKISHANGAAA TUU YALIYOMO YAPOOOOOOOOOOOOOO


SEASON 2 :
ILIKUWA YA MAJONZ8 PLUS SINEMA KAMA ZOTE KATIKA KIPINDI CHOOOOOOOTE CHA MSIBA. KUTASHANGAA MAREHEMU ANARUDI KAMA CARGO BAADA YA KUONDOKA KAMA VVVVVVVVVVVVIP. KWENYE HIGH LUXURY PLANE. KILA KILICHOJIFICHA HAPA TULIKIONAAAAAAAAA


SEASON 3:
HAPA NDO MSALA UKAAAAAAANZA WA SEASON ILIYOPITA ASEEEEEEEEEEE KAMA MALI INAVYOTAFUTWA KWA UDI NA UVUMBA , HAPA MALI IKAWA INA TAFUTWA KWA MAKARATASIIII MI SAINI YA MICHONGOOOOOOOOO. BILA KUTOA JASHO ASEEEEEEEE EEEE UZURI HII SEASON BADO INA ENDELEA SOO TUIANGALIE SISI WAZEEE WA KEYBOARD.......
 
SEASON 1 :
ILIKUWA YA SHOW OFF YA. MAREHEMU PLUS. THE GREATEST GOLD DIGGER , SHOW OFF YA MATANUZI KAMA YOTEEEEEEE PLUS. VITIMBI VYA KUJIDAI MITANDAONI NA KU-SHOW MATANUZI MARA DUBAI MARA PARIS.... HUKU WAZEE WA KEYBOARD TUKISHANGAAA TUU YALIYOMO YAPOOOOOOOOOOOOOO


SEASON 2 :
ILIKUWA YA MAJONZ8 PLUS SINEMA KAMA ZOTE KATIKA KIPINDI CHOOOOOOOTE CHA MSIBA. KUTASHANGAA MAREHEMU ANARUDI KAMA CARGO BAADA YA KUONDOKA KAMA VVVVVVVVVVVVIP. KWENYE HIGH LUXURY PLANE. KILA KILICHOJIFICHA HAPA TULIKIONAAAAAAAAA


SEASON 3:
HAPA NDO MSALA UKAAAAAAANZA WA SEASON ILIYOPITA ASEEEEEEEEEEE KAMA MALI INAVYOTAFUTWA KWA UDI NA UVUMBA , HAPA MALI IKAWA INA TAFUTWA KWA MAKARATASIIII MI SAINI YA MICHONGOOOOOOOOO. BILA KUTOA JASHO ASEEEEEEEE EEEE UZURI HII SEASON BADO INA ENDELEA SOO TUIANGALIE SISI WAZEEE WA KEYBOARD.......
 
Sawa.nielimishe sasa.familia ya mengi inamkwepa vipi jack.na ukimbuke kuwa jack kaolewa na ndoa ya kanisani na hawakuachana na watoto wamezaa na mengi.

Nani amekwambia wanafamilia wanamkwepa huyo kahaba
 
Shida inaonekana upande wa Mengi wanamzingua. Unakumbuka waligoma kuwasomesha watoto wa Jack?


Wanamsomesheaje watoto wakati hawazalishi wanashinda Mahakamani na case ya Msingi ilikua bado haijatolewa hukumu kwa hiyo kulikua hakuna msimamizi wa Mirathi na akawapandishia case Nyingine ya madai ya child support mabilioni ningekua mimi hapa nisingelipa ada pia
 
Jazia jazia nyama Da Victoire, ilitoke lini hiyo ajali na nini haswa chanzo cha hiyo ajali hadi huyo Mama kuacha mali za Watoto aliowakuta na Mumewe?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo mama byemerwa kapotezwa kiaina?
 
WE ENDELEA KUWA NA NDOTO ZA "KUFANYA" NA VIZEE ILI KUJA KURITH MALI KWA GIA YA UJANE.
UKIKUTANA NA VIZEE SMART IMEKULA KWAKO.
WATU WAKO KWENYE BIASHARA YA BABA YAO KABLA HUJAZALIWA LEO UJE KUBEBA VYAO!!..
 
Ila jack nae alitia fora eti atakaepingq wosia huo apewe buku kweli dada ukasahau kama watoto wakubwa wapo ukawanyima mpaka nguo za baba yao....
 
Mengi mara baada ya uchaguzi wa 2015, ule mwaka wa 2016 aliugua sana na hata uwezo wake kiakili ulipungua. Mengi alikuwa siyo mtu wa kujirekodi clip za video na kurusha kwenye mitandao eti akijiapiza kuwa anampenda sana huyo mwanamke.
Kwa kweli hiyo ni roho ya ukatili roho mbaya kabisa kila kitu urithi wewe! Wewe ulimuona huyo Mzee ana kila kitu amechuma na mke mkubwa yaani wewe uchukue tu...
 
Kwa hiyooo.. alitaka akimbie nchi? hakuna kutoroka....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…