Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Mutie alikuwa na mtoto?[emoji15][emoji15][emoji848]
Mutie alivyokufa walisema Marehemu kaacha mtoto wa miaka km sio 6 au Saba ..loohh..mmmetoa Siri Miyee
Na alikua beneti kipindi Cha msiba na bibi yake na anko wake Abdiel na walikua wanamuonesha CHANEL 5 kale katoto labda kama alisingiziwa ila nadhani kumbukumbu zangu ziko sahihi kabisaaa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mweee
 
Hiyo combo ya mmachame na wale watoto wa mrema yewooomii[emoji23][emoji23][emoji23] wameng'a matairi yote mrs mrema ameishia kubaki na panki lake la kimo cha ndege my friend
Weeee...mutie kala maisha weweeee yule ndo kafaudu kaishi kidogo ila Kainjoiii mnooo...!!!enzi zile mbona kafaidi sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wee.... mashallah Mungu amjaalie jamani waoane ila Jack anawavuruga mnoo Hawa watu baasi tuu,anawapotezea sana timing sijui lengo lake nini

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Warundi na waha roho zinawapwita baada ya hii hukumu.Tuwahurumie tu kwa kweli,siyo kwa hasira walizonazo,hawachelewi kutuletea Intarahamwe hapa japo tutawachakaza hadi wapotee kabisa[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23] wana stelesiii. Ubilionea bye bye. Tunamsubiria mjukuu wetu
Analindwa kwa wivu mkubwa sana. Jakline am soliii... shimi alikua anajiona mafia kwenye sinemaa[emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hivi hii foundation ilikuaje ikaangukia mikononi mwake? Halafu hata mtu aniue, sintokaa kamwe nibadilishe jina la babangu kuwa mume wangu. Yeye ndo alimkojolea mamangu? Very stuppid. Siku hizi wengi wameamka aisee. Enzi hizo kila mtu kabadili majina ya babake kwenda kwa Mr. Kuna haki zingine unapoteza hivihivi
 
Oyooooooooo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Dawa ni waoane mabilionea kwa mabilionea siyo hivi visjambo[emoji91][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naanto mbee
 
HAYA TUME AMKA ILI TUENDELEZE HII HABARI , WANA JUKWAA. , ILA DAH UKIOA MKE MWEUPE KICHWANI TABU TUUUU !?????
 
Haka kajukuu ndo kataishi kwa raha mustarehe maisha yake yote hapa duniani.. yaan kanapata joto kila mahali. Hata mimi kwa mbaaali nimekakumbatia[emoji23][emoji23]
 
apambane na hali yake maana aliyataka mwenyewe alidhani kuua kile kizee ndio angepata mali, imekula kwake hao machame watamuua mchana kweupeeeee, yeye aendelee na kudanga tu kiufupi imeshakula kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…