Na Hii ya Abdiel kubambikiziwa unga na Yusuf Manji akiwa safarini kuelekea India ndio ilimpoteza Abdiel kwenye Macho ya watu akapunguza Marafiki kwa usalama wake kabla ya hapo Abdiel alikua ni mtu wa kula bata na Marehemu Mutie ukienda slipway jumapili alikua hakosekani na Oystebay shopping Centre haumkosi jumamosi , viwanja vyote vya Starehe alikua hakosi ijapokua hatumii kilevi Mpaka sasa
Kukosa misiba iliyofululiza ya baba na Mama Yao , Maangaiko ya case , kurogwa , kuvulugwa kichwa Miku angeoa mwaka juzi kwa Kua Abdiel anafanya mambo yake kwa Siri sana chini chini Sita weka details za mwanamke aliemkaa Abdiel kwenye moyo nilioneshwa na binamu yake very decent Lady ,Sio slay queen , ana sifa za Kua mke na yeye ni mpole na msiri pia wa mambo yake very low profile , Financially Stable mara ya kwanza nilikutana na huyo Binti Duka flani kubwa London, England akalipia Bill yangu na Ya kwake pasipo kumuomba