mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ndoa syo mirathi.
Jack alipofunga ndoa Mengi tayari mali alikua nazo,
Hawajawahi kumnyima mali bali kumpa mali zote ndo BIG NOOOOO, TENA KWA DANGA
Tafadhali futa hii kauli.Ni ujinga wake Mengi kama wachaga mna akili kwa nini Mengi akamatwe mpaka amalizwe na Jackline?
Ndoa juu ya ndoa sio ndoa, mbona Mahakama ishasema kitambo tu Mkuu.Sawa.nielimishe sasa.familia ya mengi inamkwepa vipi jack.na ukimbuke kuwa jack kaolewa na ndoa ya kanisani na hawakuachana na watoto wamezaa na mengi.
Ndoa juu ya ndoa sio ndoa, mbona Mahakama ishasema kitambo tu Mkuu.
Jackline anatafuta kifo tu kugombea Mali ambazo hausiki nazo na amezikuta.
Muhaya hawezi kuwazidi akili wachaga, anajidanganya
Onesha wewe walichuma nini? IPP? ITV? Eatv? Anchimwedu?Baada ya kufunga ndoa unataka kusema hakuna walivyochuma wote? Mengi na Jack wameishi miaka mingapi?
Jackline anatafuta kifo tu kugombea Mali ambazo hausiki nazo na amezikuta.
Muhaya hawezi kuwazidi akili wachaga, anajidanganya tu.
Acha kumtisha, muache apiganie haki za wanae.Naona Mama huyu anashindana na wachaga! Sijui kama anawajua wachaga vizuri!
[emoji1787]Hii ilikua chuki ya waziwazi kabisaAlizingua pale aliposema atakayepinga wosia apewe buku nadhani hapo ndo walifanya kosa la kiufundi.
Huyu mwanamke alishindwa kula na kipofuDanga limeangukia tena pua. Yaani Mali amezikuta anataka kufilisi familia,,? Haiwezekani kabisa. Amejenga uadui na hii familia kizembe Sana. Yaani mchagga ukishampeleka Mahakamani hamtakaa mkae meza Moja milele. Kwa Heri Gold Digger. Kwa Heri International Danga. Kaendelee tu kudanga maana ndicho unachofahamu. Na Ile kampuni Amorate Furniture uliua ukijua kuna pesa ya wosia fake. Swine mkubwa wewe. Ulitumalizia kipenzi cha watanzania. Yaani wale wamama,vijana na walemavu alikuwa anasaidia watakulaani wewe Danga Jack Ntubaliwe. Watanzania tuna hasira na hili Danga. Mzee Mengi amechangia Uchumi wa hii nchi halafu anaenda kufia ugenini kwa utata. Ndiyo maana hukudondosha hata chozi Moja. Yaani anaingizwa kaburini hata kope hukukunja Danga. Mnaomfamu mfikishieni hizi salamu.
Ni wa ManyovuYule sio muhaya ni mtusi wa ngara au manyovu, hana uhaya wowote,
Onesha wewe walichuma nini? IPP? ITV? Eatv? Anchimwedu?
Ila hizi mali za mengi zinawauma watu hata hawahusiki nazo🤣🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haswa sisi wachaga
Mke wa bilionea, marehemu Reginald Mengi ameendelea kukumbana na vigingi vya sheria baada ya mahakama ya rufaa kuondoa maombi yake ya kupinga uamuzi uliobatilisha wosia wa mwisho wa marehemu Reginald Mengi.
Mahakama imekubali hoja za upande wa watoto wakubwa wa marehemu na kubaini viapo vilivyoletwa na Jacquline Mengi na wakili wake vina makosa.
May mwaka huu Jaji Yose Mlyambina wa mahakama kuu aliukataa wosia unaodaiwa kuandikwa na Reginald Mengi kwa madai haukufata misingi ya kisheria.
Watoto wakubwa wa Reginald Mengi walipinga wosia huo wakisema baba yao hakuwa kwenye nafasi ya kuandika wosia kwasababu alikuwa anakabiliwa na matatizo makubwa ya kiafya tangu 2016.
Familia ya Dkt. Mengi ipo kwenye mgogoro mkubwa wa kisheria juu ya mirathi ya marehemu ambao ulianza punde baada ya kifo chake huku ndugu zake wakitaka kuteuliwa wasimamizi wa mirathi.
Hukumu iliyopita, jisomee=> HAPA
...Nani alikuwa anamfumani Mwenzake, Mkuu? Hebu tutoholee Hapo Mkuu, tafadhali..Mengi alikuwa na ndoa gani?
Yule mkewe aliyemfumania mpaka wakaachana ni yupi?