Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Ni ujinga wake Mengi kama wachaga mna akili kwa nini Mengi akamatwe mpaka amalizwe na Jackline?
Tafadhali futa hii kauli.
Wanaume wote ni wajinga linapokuja swala la tekwa na sauti nyororo.

Kwa wale wanaoamini kwa Mungu wa yakobo, tumesoma jinsi Adam alivyodanganywa na Eva.

Samsoni na minguvu yake hakupona mbere ya Delila.

Daud akaona amuue mpiganaji wake Ili aweze kujimilikisha mke wake.

Tuachane na hizo Hadithi , tujikumbushe Monica Luinsick ,huyu alimkamata Raisi wa USA. Kumbuka hao wote sio Wachaga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mwanamke alishindwa kula na kipofu
 
Huyu aliingia cha kike kwa kutaka tamani kila kitu
 

Samahani, hukumu ilitoka lini? Naweza kuipata? Ahsante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…