melusine8
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 6,299
- 7,746
Jackline anatafuta kifo tu kugombea Mali ambazo hausiki nazo na amezikuta.
Muhaya hawezi kuwazidi akili wachaga, anajidanganya tu.
Neno!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jackline anatafuta kifo tu kugombea Mali ambazo hausiki nazo na amezikuta.
Muhaya hawezi kuwazidi akili wachaga, anajidanganya tu.
Kuna wanawake na majini, Ingawa mi ni mwanamke but I can't do that kwa visivyo halali yangu.. dada mbona mrembo tu.. angekomaa tu walau apate hata tumilioni milioni tu jamani na wale watoto.
Au ndo anataka awe first woman billionaire in Tanzania?!! Daaah
Ni ujinga wake Mengi kama wachaga mna akili kwa nini Mengi akamatwe mpaka amalizwe na Jackline?
Kama Hela ipo unatakiwa utafute kabinti kadogo ambako bado inabana ili ukumbushie enzi za ujana.Mambo ya Jacky mwachieni Jacky na kwakuwa sheria na mahakama vipo kila upande utapata haki yake.Wanawake msitupangie sisi waume zenu tumuoe nani na tuoe wangapi.Acha tuoshe rungu kwenye tushimo mabwawa yanachosha.1. Hivi wanaume kwanini mnaendaga kuoa vibinti teke mkiwa kwenye seventies huko? Mnadhani kabisa wanawapenda? Yani watoto wako ambao wamesota na wewe mmeinuka wote wanakuja kugombea mali na kimwanamke ambacho hata hakijui bei ya glass hapo nyumbani ni sh ngapi?
2. Jacky anajikuta nani kudai mali kibabe hivyo? Shame on her. Mashume wenzie wanatetea eti ooh ni mke. Mke my foot. Ndo utake wingi wa mali hivyo? Wewe kama nani? Jacky doesn’t deserve hivyo. Bora afanyiwe child support ya mwezi na ada aende. Hakuna cha kampuni wala nini. Kampuni alianzisha nae?
I hate gold diggers
AiseeeHuyu dada tamaa ya pesa itamfanya apoteze uhai. Amuulize yule mama aliyefariki juzi na wanae kwenye ajali ya gari.Infwakti Yule mama Immaculata Byemerwa kabla ya kuolewa na Engneer alikuwa na yuho mwanae Albert ambae ndo alikuwa dereva. Kaolewa kazaa Janet na Jolister.Na kumbuka kwamba alimkuta Josepahat ana watoto wakubwa .Sasa yule mama kapata ajali na kafariki na uzao wake wote. Kaacha watoto wa mzee wafaidi vizuri mali za baba na mama yao mzazi.
Jack acha tamaa.
Sahizi ni mali tu marehemu yeye huko ni udongo tu binadamu tuone hivi hiviDunia ya ajabu sana yaani marehemu kasahaulika watu wanagombana huku.
Hata marapurapu yake hayadumu yanadekiwa maramoja ili yaishe harakaMsiba WA tajiri hudumu Kwa Muda mrefu, masikini akishazikwa na stori zinaisha baada ya wiki TU.
Kwani mkuu ulikuwa unamjua kiundani kabisa ?Mengi mara baada ya uchaguzi wa 2015, ule mwaka wa 2016 aliugua sana na hata uwezo wake kiakili ulipungua. Mengi alikuwa siyo mtu wa kujirekodi clip za video na kurusha kwenye mitandao eti akijiapiza kuwa anampenda sana huyo mwanamke.
Sawa watoto watajiunga na ndugu zao, je yeye muda aliokaa naye huyo babu utarudi? Hivi kuolewa na mzee unazani ni kazi ndogo? Basi ndugu zake wangemzuia asioe akae tu mwenyewe, hata Jack asiolewa na huyo mzee angekuwa na maisha mengine, msimfanyie hivyo jamaniMkuu uzuri watoto watakuwa watu wazima watajiunga na ndugu zao. Hao watoto kwa wachagga hawataachwa na urithi watapewa kabisa maana hata shule walikuwa wanasomeshwa vizuri? Alipotaka kwenda kuishi Dubai kwa lile Danga lake ndiyo akaleta bill ya Ada ya kutupwa na familia Ika stop ushenzi huo. Yaani kukekule alikofia Baba yao na kulekule ambako walimkuta hayuko na mgonjwa!!!! Ndiko huko alipanga kupeleka watoto na yeye kuishi huko.
Wanawake wa kinywanda, Nigeria, Kenya ni hatari sana kwenye pesaAlijitoa mwili wake utumike kwa manufaa ya baadae lazima uwe na master plan km wewe ni mwanamke mwenye akili, Jana niliwaeleza watu kua ukiona mtu anamtafuta mtu wa kuanzisha nae mahusiano ujue yupo kwenye mission maalum ila wapo waliopuuza, Jack kuingia kwenye mahusiano na babu Mengi ilikua ni special mission
Hakuna mwanamke asiependa Pesa, hata wakibongo pia Pesa wanaipendaWanawake wa kinywanda,Nigeria, Kenya ni hatari sana kwenye pesa
Mateso vipi wakati nawaachia nyumba wanagawana? Kama vipi nao watafute vyao kwani hata Mimi nilikuwa na baba.Muwe mnashauriana jamani. Ni mateso kwa wake zenu na watoto wanaobaki. Na unakuta mzee amezaa nje kama fungo. Yani kila Kijiji ana mtoto na hivyo sheria imetoka kwamba hata watoto wa michepuko wana haki. Yaani nyumba ya mzee itapigwa bei wagawane watoto wote. Ni mateso
This is too negative to refer to a fellow human being.Jambaz linalotumia uchi
Kadate na mademu wa kipopo ndio utajua dunia ikoje, mademu.Hakuna mwanamke asiependa Pesa, hata wakibongo pia Pesa wanaipenda
Wao wanaangalia wallet tu porojo zako peleka ukooo,Kadate na mademu wa kipopo ndio utajua dunia ikoje,mademu