mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
...Nani alikuwa anamfumani Mwenzake, Mkuu? Hebu tutoholee Hapo Mkuu, tafadhali..
Huyu dada tamaa ya pesa itamfanya apoteze uhai. Amuulize yule mama aliyefariki juzi na wanae kwenye ajali ya gari.Infwakti Yule mama Immaculata Byemerwa kabla ya kuolewa na Engneer alikuwa na yuho mwanae Albert ambae ndo alikuwa dereva. Kaolewa kazaa Janet na Jolister.Na kumbuka kwamba alimkuta Josepahat ana watoto wakubwa .Sasa yule mama kapata ajali na kafariki na uzao wake wote. Kaacha watoto wa mzee wafaidi vizuri mali za baba na mama yao mzazi.Mke wa bilionea, marehemu Reginald Mengi ameendelea kukumbana na vigingi vya sheria baada ya mahakama ya rufaa kuondoa maombi yake ya kupinga uamuzi uliobatilisha wosia wa mwisho wa marehemu Reginald Mengi.
Mahakama imekubali hoja za upande wa watoto wakubwa wa marehemu na kubaini viapo vilivyoletwa na Jacquline Mengi na wakili wake vina makosa.
May mwaka huu Jaji Yose Mlyambina wa mahakama kuu aliukataa wosia unaodaiwa kuandikwa na Reginald Mengi kwa madai haukufata misingi ya kisheria.
Watoto wakubwa wa Reginald Mengi walipinga wosia huo wakisema baba yao hakuwa kwenye nafasi ya kuandika wosia kwasababu alikuwa anakabiliwa na matatizo makubwa ya kiafya tangu 2016.
Familia ya Dkt. Mengi ipo kwenye mgogoro mkubwa wa kisheria juu ya mirathi ya marehemu ambao ulianza punde baada ya kifo chake huku ndugu zake wakitaka kuteuliwa wasimamizi wa mirathi.
Hukumu iliyopita, jisomee=> HAPA
Uongo wala hakumfumania,umalaya wa mzee tu kujifanya yeye ndo victim.Mzee mengi alimfumania mkewe.hii stori uwa haisemwi Sana.
Na nimemuuliza huyo jamaa mengi alikuwa na ndoa ipi wakati alishaachana na mkewe alipomfumania
Mtusi wa Rwanda huyu,si muhaya.Jackline anatafuta kifo tu kugombea Mali ambazo hausiki nazo na amezikuta.
Muhaya hawezi kuwazidi akili wachaga, anajidanganya tu.
Mtu anapoandika wosia maana yake anajua kuwa atakufa iwe leo au kesho. Na pia Mengi afya yake ilionekana wazi ina anaumwa. Mbona video zipo nyingi za mwisho mwisho akiongea na media anatetemeka na maneno alikuwa anapata shida kuyatamka. Ndio maana unaona hoja ya watoto wakubwa kwamba mzee alikuwa "unsound" inashinda kila uchao maana ni kweli mzee alikuwa na shida toka 2016. Kuna clip moja alikuwa anawapa misaada walemavu mbona alikuwa wazi anatetemeka na maneno hayatamki vizuri.Kwani marehemu alijua ataondaka lini duniani?? Vilevile watu wengi uamini wosia na cheti cha ndoa wakati wosia na cheti cha ndoa si chochote mbele ya mahakama labda tu awe ni mke mmoja.
Uongo wala hakumfumania,umalaya wa mzee tu kujifanya yeye ndo victim.
Hata hiyo ndoa mzee alishinikizwa tu.Sema wanae walitakiwa wapinge. Sema ndoa haikufungiwa Tanzania.Hausiki nazo wakati mzee alishajitia kitanzi Cha ndoa na watoto kazaa nae?hilo balaa lao wanalo.wakimkataa jack Kama mke wa baba yao watamkubali Kama mama wa wadogo zao.kiufupi jack hakwepeki
Huyo sio mhaya ni MnyarwandaJackline anatafuta kifo tu kugombea Mali ambazo hausiki nazo na amezikuta.
Muhaya hawezi kuwazidi akili wachaga, anajidanganya tu.
Hata hiyo ndoa mzee alishinikizwa tu.Sema wanae walitakiwa wapinge. Sema ndoa haikufungiwa Tanzania.
Hili nalo neno,na hawana watoto.Saasa tatizo wale watot wa mengi wote hawajao Wala kuolewaa
Mm naona tu wanufaikaji Ni wale watot
Jackline hajawahi na hatawahi kuwa muhaya.Ni Muha au mnyarwanda.Jackline anatafuta kifo tu kugombea Mali ambazo hausiki nazo na amezikuta.
Muhaya hawezi kuwazidi akili wachaga, anajidanganya tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haki nimecheka!! Mmezikomalia kama ni zenu wote kumbe hupati hata mia lol!!!
We ni mpumbavu mambo ya faragha za watu unaweza kuingilia??Ni ujinga wake Mengi kama wachaga mna akili kwa nini Mengi akamatwe mpaka amalizwe na Jackline?
Wachaga kama nani? IdiotJackline anatafuta kifo tu kugombea Mali ambazo hausiki nazo na amezikuta.
Muhaya hawezi kuwazidi akili wachaga, anajidanganya tu.
Muwe mnashauriana jamani. Ni mateso kwa wake zenu na watoto wanaobaki. Na unakuta mzee amezaa nje kama fungo. Yani kila Kijiji ana mtoto na hivyo sheria imetoka kwamba hata watoto wa michepuko wana haki. Yaani nyumba ya mzee itapigwa bei wagawane watoto wote. Ni matesoHuyo dada ana haki pia kama mke wa Mengi lakin sio kwa namna anavyotaka. Atapewa kiasi kama haki yake na watoto ila sio kama anavyotaka. Pili. Nawashauri wanaume wenzangu ikitokea bahati mbaya mkeo akifa au mmeachana ukubwani usioe aisee. Unawaachia mateso watoto bure.