Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Sawa.nielimishe sasa.familia ya mengi inamkwepa vipi jack.na ukimbuke kuwa jack kaolewa na ndoa ya kanisani na hawakuachana na watoto wamezaa na mengi.
Familia ya Mengi Wala haikwepi Jack ila tatizo Jack anataka kuchukua Mali kuliko familia ya mengi isitoshe Mali pia ya mama yao marehemu ndio chanzo utajiri wote

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Dunia ya ajabu sana yaani marehemu kasahaulika watu wanagombana huku.
Ndio maana tunaambiwa tumtumikie Mungu na sio mali, utadhulumu watu, utauwa watu, utaibia watu ili tu upate hizo mali lakini siku ukifa unaacha kila kitu, na sio mali tu unaacha mpaka nguo zako za kuvaa unaondoka uchi kama ulivyokuja.
Nawaza tu-Malori ya mafuta 200, nyumba 80, mabasi 50, hoteli za five star 30, gari za kifahari hapa sizungumzii vi IST nazungumzia gari za kuanzia Milioni 100 unakuwa nazo 20, lakini siku ukizimika tu vinakuwa sio vyako tena watu wanajibebea...
 
Family ya mengi Wala haikwepi jack ila tatizo jack anataka kuchukua Mali kuliko family ya mengi isitoche Mali pia ya mama yao marehemu ndio chanzo utajiri wote

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mbona inasemekana huyo Mama marehemu waligawana kabla kila mtu akabaki na chake? Huyo Jack mkumbuke alimpa mzee raha mpaka akasahau uzee wake, kwani yeye hakuwaona wazee wenzie mpaka kumuoa msanii wetu Jack?
 
Ebooo! Ndo maana mnakufa mapema maana wanafuata mali wakiona unachelewa kufa wanawaua.
 
Huyu binti sijui nani alikuwa mshauri wake!! Hata Kama kweli mzee Mengi aliandika usia ule na kumpatia yeye, angejiongeza kwa kutouonyesha hadharani pengine hata kuuchana angeweza uchana!!! maana kwa mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi muelewa kwa akili za kibinadamu hata kisheria pia!! hakimu yeyote au Jaji mwenye utu ndani yake hawezi kuwa upande wake kwa namna yoyote ile!!
 

Angepata mgao wake kama Mke mwenye watoto ktk familia.

Wachagga cyo wandengereko linapokija suala la mali.
 
Mbona inasemekana huyo Mama marehemu waligawana kabla kila mtu akabaki na chake? Huyo jack mkumbuke alimpa mzee raha mpaka akasahau uzee wake, kwani yeye hakuwaona wazee wenzie mpaka kumuoa msanii wetu Jack?
Walienda mahakamani wakataka kugawana wakaambiwa warudi ili mali igawanywe ndio hakuna aliyerudi mpaka wote wakakumbwa na mauti.
 
Walienda mahakamani wakataka kugawana wakaambiwa warudi ili mali igawanywe ndio akuna aliyerudi paka wote wakakumbwa na mauti
Itakuwa walielewana nyumbani na wakayamaliza, sasa sisi huku nje tunataka kujua kila kitu cha ndani [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hata akiacha mali zigawanywe kwa usawa atapata share kubwa tu ukizingatia kamkuta mengi tayari ni tajiri.. anachozingua huyu dada anataka kupiga kila kitu kama vile wamehustle pamoja na mengi kutafuta izo mali
Huyo dada hana akili
 
Hii story ipo wapi tz au uganda
 
Acha maneno mengi hizo mali ni bora kuliko kufa njaa.

Watumishi wenu tuu wanamapesa mengi mnawapa na hamsemi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…