Sofa la milion 24[emoji23][emoji23]
Ni mwehu halafu hata kama haujasoma sheria unajua kabisa wosia ule wa mchongo kabisa, alijisahau akataja hadi mali za mercy mengi kua apewe yeye mkwe wa magufuli jaji mlyambina kapaona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sofa la milion 24[emoji23][emoji23]
Mkuu nakuhakikishia jumba la Moshi na Moshi yote Jack hatakanyaga tena. Kwa Mila za kichagga hasa Machame ukishaingia Mahakamani huwezi kuchangamana tena. Hivi unakumbuka hata kumbukumbu ya mwaka mmoja kifo cha Mengi ilifanywa na wale marafiki zake na watoto wakubwa Moshi na Jack hakutia mguu? Hata kaburini hatakiwi. Kifupi ameshajifukuzisha mwenyewe. Pole zake.Jumba lake liko Moshi ndo liko binafsi nyingine mali nyingi za Mengi ni za kampuni hata Ile nyumba ha Kinondoni nadhani Iko chini ya IPP ndo maana anataka kampuni Ili amiliki Mali,Mengi Mali zake nyingi ni za kampuni hapo ndo alicheza kama Pele yaani
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Makubwa haya. Alitaka kwenda kuziweka dukani auze designer suits. Yaani eti hata mtoto wake mkubwa asipewe koti la urithi. Huyu Danga ni mjinga mno.Hivi kweli Mengi wa kuandika kua akifa suti zake wapewe wanae wadogo asipewe yoyote mwingine?
Ndioo. Zero brain yule. Next time slay queens wasome kwa bidii..Ni mwehu halafu hata kama haujasoma sheria unajua kabisa wosia ule wa mchongo kabisa, alijisahau akataja hadi mali za mercy mengi kua apewe yeye mkwe wa magufuli jaji mlyambina kapaona
Ata huku aitambui popote kupata kitu wale watoto ndio wanatambulika akuna kitu anapata kwa kifupi habari yake imeisha hapoMkuu nakuhakikishia jumba la Moshi na Moshi yote Jack hatakanyaga tena. Kwa Mila za kichagga hasa Machame ukishaingia Mahakamani huwezi kuchangamana tena. Hivi unakumbuka hata kumbukumbu ya mwaka mmoja kifo cha Mengi ilifanywa na wale marafiki zake na watoto wakubwa Moshi na Jack hakutia mguu? Hata kaburini hatakiwi. Kifupi ameshajifukuzisha mwenyewe. Pole zake.
Alisahau mila na tamaduni za kichagga[emoji23][emoji23]Makubwa haya. Alitaka kwenda kuziweka dukani auze designer suits. Yaani eti hata mtoto wake mkubwa asipewe koti la urithi. Huyu Danga ni mjinga mno.
Paka saa mikufu eti atakayepiga apewe bukuHivi kweli Mengi wa kuandika kua akifa suti zake wapewe wanae wadogo asipewe yoyote mwingine?
Nilivyosoma mara ya kwanza sikuamini Kama ndio hosia wenyewe nilijua utani baada ya kuona hivyo vipengeleKwamba mali zote wanyanganywe yaaani kila kitu mpaka umiliki wa BONITE BOTTLERS LTD HAPA MOSHI , apewe yeye tuu ziwe mali zake amiliki pamoja na dada yake kylin !!!
Na atakae pinga apewe fidia ya alfu moja tuu mahakamani , yaaani akishinda tuuu mshindi apewe fidia ya alfu moja tuuu
Duh........
DDah hiii ni hatariii sana yaaaani
D
Wale ni wasiri sana yani kwenye maisha ya baba yao yote nimekuja kuwaona kwenye msibaINGEFAA WALE WATOTO WA MKE WA KWANZA WAITISHE PRESS CONFERENCE IKIWA LIVE KABISA MAAAAANA ITV NI YA MENGI ILI KUELEZEA NI LINI BABA YAO ALIACHA MAJUKUMU YA KIOFISI AKAWAKABIDHI WAO KUENDESHA NA KUSIMAMIA MALI NA BIASHARA ZOTE , NA KUELEZA UMMA KUWA EVERYTHING IS UNDER CONTROL
WALE WATOTO WAKUBWA NI MATURED ENOUGH TO HANDLE HARD TIMES LIKE THIS ,JE NI KWANN WASIJE ITISHA PRESS CONFERENCE KUELEZEA NI MWAKA GANI BABA YAO ALIWA KASIMISHA MAJUKUMU YA MALI ZOTE NA BIASHARA ZOOOOTEE ............HII ITASAIDIA KU MAKE SENSE ASEEEEEEEEEEEEENilivyosoma mara ya kwanza sikuamini Kama ndio hosia wenyewe nilijua utani baada ya kuona hivyo vipengele
Hahahaaa eti "Danga Jack Ntubaliwe"!Danga limeangukia tena pua. Yaani Mali amezikuta anataka kufilisi familia,,? Haiwezekani kabisa. Amejenga uadui na hii familia kizembe Sana. Yaani mchagga ukishampeleka Mahakamani hamtakaa mkae meza Moja milele. Kwa Heri Gold Digger. Kwa Heri International Danga. Kaendelee tu kudanga maana ndicho unachofahamu. Na Ile kampuni Amorate Furniture uliua ukijua kuna pesa ya wosia fake. Swine mkubwa wewe. Ulitumalizia kipenzi cha watanzania. Yaani wale wamama,vijana na walemavu alikuwa anasaidia watakulaani wewe Danga Jack Ntubaliwe. Watanzania tuna hasira na hili Danga. Mzee Mengi amechangia Uchumi wa hii nchi halafu anaenda kufia ugenini kwa utata. Ndiyo maana hukudondosha hata chozi Moja. Yaani anaingizwa kaburini hata kope hukukunja Danga. Mnaomfamu mfikishieni hizi salamu.
Sasa kwanini huyo Wakili asikatae hilo?Hahaha kitu cha kwanza nilichocheka ni wosia kuwa nao klyne. Hahaha dah. Toka lini jamani.
Pili, huyo wakili shuma nilimuuliza kama aliandaa alikataa akasema amesaini tu. That means jacky made it. Shwaini kabisa. Mawakili wa kigogo. Ila akina shuma nao wamachame labda aliona akienda kwa hao ataonekana ni ya kweli. Ila alifeli sana kwa hili[emoji23]
Najiuliza bado hajapiga bei tu?Paka saa mikufu eti atakayepiga apewe buku
Sikutaka uliza sana aisee nisije onekana mbea.Sasa kwanini huyo Wakili asikatae hilo?
Familia ya media Ila haijawahi hata siku Moja kutumia media kwenye private matters. Hata kwa sasa business matters ziko handed na waliowaajiri katika nafasi zao na wako independent. Kifupi malezi ya watoto wakubwa wa marehemu Mengi ni Exceptional.INGEFAA WALE WATOTO WA MKE WA KWANZA WAITISHE PRESS CONFERENCE IKIWA LIVE KABISA MAAAAANA ITV NI YA MENGI ILI KUELEZEA NI LINI BABA YAO ALIACHA MAJUKUMU YA KIOFISI AKAWAKABIDHI WAO KUENDESHA NA KUSIMAMIA MALI NA BIASHARA ZOTE , NA KUELEZA UMMA KUWA EVERYTHING IS UNDER CONTROL
Familia ya media Ila haijawahi hata siku Moja kutumia media kwenye private matters. Hata kwa sasa business matters ziko handed na waliowaajiri katika nafasi zao na wako independent. Kifupi malezi ya watoto wakubwa wa marehemu Mengi ni Exceptional.INGEFAA WALE WATOTO WA MKE WA KWANZA WAITISHE PRESS CONFERENCE IKIWA LIVE KABISA MAAAAANA ITV NI YA MENGI ILI KUELEZEA NI LINI BABA YAO ALIACHA MAJUKUMU YA KIOFISI AKAWAKABIDHI WAO KUENDESHA NA KUSIMAMIA MALI NA BIASHARA ZOTE , NA KUELEZA UMMA KUWA EVERYTHING IS UNDER CONTROL
hakuna slay alishawahi kuwa na akili, zote zinahamiaga kwenye sehemu za siri. they have nothing else to offer than sex.Nilikua nawaza sana kwa nini hawa slays wa kibongo hawana maendeleo toka zamani hadi kizazi cha akina wema na vitoto vya siku hizi, klyne kathibitisha kua hua hawana akili kichwani na sio smart kabisa, fursa ya kuanzisha hata kampuni ya kununua na kuuza ufuta au kahawa nje ya nchi alikua nayo na angepiga mabilioni kwa jina lake maana access ya mtaji ilikuepo akaishia kuanzisha furniture nayo ikafia mbali sasa ana taabika kwa ujinga wake
*IN HARD TIMES LIKE THIS. THEY NEED TO STAND STRONG IN THE MATTER TO PROTECT THE LEGACY OF THEIR FATHER , MAANA WAKILALA TUUU HAPA HILI BONITE BOTTLERS LTD LITA BAKI MAGOFU NA WALE WAHINDI WALIO AJIRIA KAMA. MANAGERS WA KIWANDA NAO WATAONDOKA ,Wale ni wasiri sana yani kwenye maisha ya baba yao yote nimekuja kuwaona kwenye msiba