Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

Jacqueline Mengi aendelea kudondokea pua rufaa, mahakama yaondoa maombi yake ya kutaka kuurudisha wosia

kichwa kidogo kikisimama kikubwa hakifanyi kazi.
uenda hata leo mengi akifufuka atalalamika kwanini wosia wake haufuatwi.hatujui mengi na jack walipeana Nini mpaka wakaandikiana ule wosia.yote kwa yote mwanamke ANA NGUVU.
Huo wosia umemsadia nini? Huoni kama Mzee alijua fika kuwa atakwama na wosia wake kutoka kwa Advicates wa Kigogo? Makampuni ya IPP na Mengi mwenyewe miaka yote mwanasheria wao ni mmoja tu na anajulikana Michael Ngallo.Kama kweli Mzee alitaka kumpatia hizo mali basi Ngallo angehusika.Huoni mpaka hapo Mzee alimfanyia umafia akampa kile alitaka lakini akijua fika ataangukia pua.Kwanini Jack hakupata akili ya kumwambia Mzee amwandikie wosia kupitia kwa Mwanasheria wake wa siku zote?
 
Mke wa bilionea, marehemu Reginald Mengi ameendelea kukumbana na vigingi vya sheria baada ya mahakama ya rufaa kuondoa maombi yake ya kupinga uamuzi uliobatilisha wosia wa mwisho wa marehemu Reginald Mengi.

Mahakama imekubali hoja za upande wa watoto wakubwa wa marehemu na kubaini viapo vilivyoletwa na Jacquline Mengi na wakili wake vina makosa.

May mwaka huu Jaji Yose Mlyambina wa mahakama kuu aliukataa wosia unaodaiwa kuandikwa na Reginald Mengi kwa madai haukufata misingi ya kisheria.

Watoto wakubwa wa Reginald Mengi walipinga wosia huo wakisema baba yao hakuwa kwenye nafasi ya kuandika wosia kwasababu alikuwa anakabiliwa na matatizo makubwa ya kiafya tangu 2016.

Familia ya Dkt. Mengi ipo kwenye mgogoro mkubwa wa kisheria juu ya mirathi ya marehemu ambao ulianza punde baada ya kifo chake huku ndugu zake wakitaka kuteuliwa wasimamizi wa mirathi.

Hukumu iliyopita, jisomee=> HAPA

Jack bana anakosea sana.izo Mali alizikuta kwann asirizike na alizotafuta kipind yuko naye...yan mm ndo ningekuwa Jack nisinge hangaika hata ningerizika nachopewa. Mali zawatu zitatoa roho watu. Hata mambo ya mahakamn nikaachana nayo chamuhimu watoto watasoma shule nzur namalaz mengine ntapambana mwenyewe
 
Nusu ipi mwaego[emoji23][emoji23] si rahisi kihivyo. Kwa sheria ipi kwanza. Hakunaga hiyo aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wenyewe kila siku mahakamani tyuuh, hela za kuwalipa mawakili wanazo nyingi eeeh? Si bora wagawane kila mtu afe na chakeee uwiiii.

Sasa hapo mbna wanafaidi na wasio husika, lol
 
Elimu kidogo 25% za watoto wakubwa wamezipataje?
Alitaka achukue zote... Kachemka

Watoto wakubwa wanashea 25%

Mengi na mke wa kwanza walikuwa na shea 75% ... Kwahiyo watoto wakubwa tayari wanashea 37.5 za mama yao.

Shea 37.5 za Mengi ndizo Jackie na watoto wake wanatakiwa wagawane na watoto wakubwa wa Mengi.... Maana nao wana haki kwa baba yao.

Kwa kifupi Jakie hana cha kuambulia kwenye shea 62.5 za watoto wakubwa wa Mengi.
 
Kwa hyo unataka kusema licha ya jack kuolewa na mengi Hana haki ya kurithi?hamuoni Kama no dhuluma kwa mjane?mzee alishajichanganya waangalie kilicho chake wampe waachane kwa amani.na hao watoto ni lazma walelewe na mama yao kupitia fedha za baba yao.hauwezi kusema mpaka wakue ndo wapewe . Nani atawasomesha?
Saa zingine sheria haziko fair, watu watafute mali kwa miaka mingi halafu dada mmoja aliyekaa na mzee miaka mitano akombe asilimia kubwa ya mali kuzidi ndugu wa marehemu? Kwanini sheria isiamrishe tu malezi ya watoto?

Nashindwa kumlaumu Jack, nashindwa kuwalaumu wana familia.

Tuna sheria za hovyo
 
Hata akiacha mali zigawanywe kwa usawa atapata share kubwa tu ukizingatia kamkuta mengi tayari ni tajiri.. anachozingua huyu dada anataka kupiga kila kitu kama vile wamehustle pamoja na mengi kutafuta izo mali
Hapa ndo shida ilipo. Jack hata akipewa 1% tu ya mali za Mengi si haba

Tamaa mbaya
 
Mirathi sio sheria ya serikali tu.
Ipo kwenye dini,ipo kwenye Mila.
Wewe una mke wako unampenda umekufa umeacha Mali na umemuachia na watoto.
Ungependa kuona huyo mwanamke wako asirithi Mali zako?tena utamu wake unaujua wewe marehemu?
Haya mambo ya mirathi ni mazito.
Saa zingine sheria haziko fair, watu watafute mali kwa miaka mingi halafu dada mmoja aliyekaa na mzee miaka mitano akombe asilimia kubwa ya mali kuzidi ndugu wa marehemu? Kwanini sheria isiamrishe tu malezi ya watoto?

Nashindwa kumlaumu Jack, nashindwa kuwalaumu wana familia.

Tuna sheria za hovyo
 
Elimu kidogo 25% za watoto wakubwa wamezipataje?
Kabla mke mkubwa hajadedi walikuwa wanamiliki 100% na mmewe. Mambo yalipoenda mrama wakaamua kugawana. Watoto wakapewa 25% ya shea. Zilizobaki wakagawana. wazazi. Enzi hizi Jakie hata hajawahi kuonwa
 
sasa mbona wosia wa mzee mengi kuwapa Mali zote watoto wake mapacha mnaukataa?
Sababu hata hao hyo 25% walipewa kabla baba na mama yao kufariki.
Kabla mke mkubwa hajadedi walijuwa wanamiliki 100% na mmewe. Mambo yalipoenda mama wakaamua kugawana. Watoto wakapewa 25% ya shea. Zilizobaki wakagawana. wazazi. Enzi hizi Jakie hata hajawahi kuonwa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wenyewe kila siku mahakamani tyuuh, hela za kuwalipa mawakili wanazo nyingi eeeh? Si bora wagawane kila mtu afe na chakeee uwiiii.

Sasa hapo mbna wanafaidi na wasio husika, lol
Anayeenda mahakamani ni nani sasa kuwapeleka wenzake
 
sasa mbona wosia wa mzee mengi kuwapa Mali zote watoto wake mapacha mnaukataa?
Sababu hata hao hyo 25% walipewa kabla baba na mama yao kufariki.
Sijui shida iko wapi kuelewa. Zile 25% Zilikuwa halali kwa watoto, sio za urithi. Sasa baba kafa watoto wote wana haki sawa ya kurithi mali ya baba yao....

Sasa Jakie anataka akombe zote....
 
nadhani hata Mimi haujanielewa.
Yaani kutengana kwa baba na mama watoto wanapewa vipi Mali?
yaani wanahusika vipi na kutengana kwa wazazi wao na Mali zao?
Uenda mzee mengi hakuwa na msimamo kwa wake zake.
Ndo maaana kumbe jack akataka aandikiwe ule urithi.
Yaani watoto wa kwanza Wana 25% peke yao.
Alafu hapo hapo Wana 37.5% urithi upande wa mama yao.
Pia bado Wana 37.5% upande wa baba yao.
Nimeanza kupata picha ya ule wosia wa BUKU BUKU.
Sijui shida iko wapi kuelewa. Zile 25% Zilikuwa halali kwa watoto, sio za urithi. Sasa baba kafa watoto wote wana haki sawa ya kurithi mali ya baba yao....

Sasa Jakie anataka akombe zote....
 
nadhani hata Mimi haujanielewa.
Yaani kutengana kwa baba na mama watoto wanapewa vipi Mali?
yaani wanahusika vipi na kutengana kwa wazazi wao na Mali zao?
Uenda mzee mengi hakuwa na msimamo kwa wake zake.
Ndo maaana kumbe jack akataka aandikiwe ule urithi.
Yaani watoto wa kwanza Wana 25% peke yao.
Alafu hapo hapo Wana 37.5% urithi upande wa mama yao.
Pia bado Wana 37.5% upande wa baba yao.
Nimeanza kupata picha ya ule wosia wa BUKU BUKU.
Kiufupi hii kesi imekaa vibaya sanaa.. Mengi na mke wa kwanza wangegawana mali hii kesi ingekuwa rahisi sanaa maana zile mali za mengi zilizobaki ilibidi mengi awagiwie watoto wake ikiwemo hawa aliowazaa..!! Jack angesimamia mali za watoto wake bhasi. Shida mengi na mke wa zamani bado walikuwa na kesi juu ya mgawanyo wa mali ambayo ni ngumu kuisolve. Hawa mwishi yatakuja kuwa yale ya yule tajiri wa madini Arusha msuyaa.
 
Back
Top Bottom