Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ikitokea akarithishwa mali, kisha akaolewa na mtu mwingine hapo inakuwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mume anakua marioooIkitokea akarithishwa mali,kisha akaolewa na mtu mwingine hapo inakuwaje?
Mume atakua na bahati ya kupata papuchi na pesa kwa mpigoIkitokea akarithishwa mali,kisha akaolewa na mtu mwingine hapo inakuwaje?
Hii itawaumiza sana watoto,kuona mali ya baba yao inatumika ndivyo sivyoMume anakua mariooo
Huyu dada ni janga... kuna kitu anakitafuta atakipata..Wato
Watoto walikua IST international school of Tanganyika kawatoa kyln kaenda kudanga nao , company ilikua inalipa
View attachment 1973337
ha ha ha bora watoto warithi mali tumume atakua na bahati ya kupata papuchi na pesa kwa mpigo
Nimeupenda ule mguuSamahani Mkuu , kwani ukiwa umeshiba utatamani kula au kunyonya kitu hiyo pia ni njaa
Mengi kila kitu kilikuwa sawa ila ushetani ukamuingia mwishoni akataka dogodogo ndo matokeo yake! Ila kuandaa warithi amefanya tena kisawasawa kielimu na kuwashirikisha kwenye kuendesha biashara zake.Mahakama ya Rufani leo October 13, 2021 imetupilia mbali mapingamizi ya mtoto mkubwa wa Reginald Mengi dhidi ya maombi ya mapitio ya kesi kutoka kwa Jacqueline Ntuyabaliwe.
Awali Abdiel mengi na Benjamin Mengi walimuwekea pingamizi la awali la kisheria Jacqueline wakiiomba mahakama iyatupilie mbali maombi yake bila kuyasikiliza.
Anyways, ngozi nyeusi inabidi tufanyie kazi Succession plan.. Si kwa mafukara wala matajiri, nadra misiba kuisha bila habari. Huko Arusha mali
Sasa kuna nini kingine zaidi ya pesa duniani. Watapendwa tuuEti watu wanawapenda kwavile wanaijua hela eti....
Niinusuru roho yangu mimi, niinusuru roho yangu mimi.Maliya baba inanitoa roho,Bora nikae pembeni.
Mapenzi hawajui wanawaza pesa tuu!Sasa kuna nini kingine zaidi ya pesa duniani. Watapendwa tuu
Ndo jambazi lenyeweHuyo dada kushoto kwa watoto ni nani ana mguu mtam sana wa kunyonya
KumbeeNdo jambazi mwenyewe
Niinusuru roho yangu Mimi...... Niinusuru mama roho yangu mimiiiiiiiiiii daima......Maliya baba inanitoa roho,Bora nikae pembeni.