miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
EwaaaMimi nilivyoona ile interview ya M.Ayyo nikajua huyu dada kashakosea, anaongea vitu bila ushahidi wowote zaidi ya kusema Mengi alisema.
Mengi alimwambia ameshawagaia watoto wakubwa urithi kwa mama yao. Ushahidi upo wapi? Alikuachia documents?
Mengi alisema akifa azikwe kwenye nyumba yake Moshi, Ushahidi upo wapi?
Mengi alikuwa tajiri, na mtu mwenye akili alikuwa ana uwezo wa kumrithisha Jack akiwa hai kwa documents au kwa njia nyingi tu, na sio kile kikaratasi eti Will.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna uwezekano mkubwa Mengi aliona tamaa ya huyu akaamua mchezea mchezo kwenye wosia
Sent using Jamii Forums mobile app
The player played the player[emoji23][emoji23][emoji23]I said the same,tena akamkubalia kabisa alete “Wanasheria wake” nnje ya wale wanaotambulika siku zote! Na naona point ya Mzee kuwa “endapo watapinga wosia na kushinda.....” He knew kabisa The family will do the same!
Maelezo kidogo hapa mkuu.
Hela za Mengi alihamishia kwenye foundation yake zote? Naona jacky na dadake ndo wamehamia huku. Hapa imekaaje?
Furthurmore nachoona hapa hii foundation inaenda kufa. Nani atakua tayari kuchangia goldigger. Trust me haina muda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh, asante kwa kunielewesha.Hiyo Foundation ya kina Jack ni tofauti na hii nyingine! Inayoongelewq hapa ni Foundation ya FAMILIA “Dr REGINALD MENGI FAMILY FOUNDATION” ile anayotangaza Jack ni ya Mzee binafsi ile ya kusaidia walemavu!
Najichanganyaaa, i mean ile yake pia ipo ama haipo?Ooh, asante kwa kunielewesha.
Soo hapa najifunza jambo, jacky ile foundation yake ya dk ntuyabalier bado ipo ama ndo amebadili jina to reginald mengi foundation?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh, asante kwa kunielewesha.
Soo hapa najifunza jambo, jacky ile foundation yake ya dk ntuyabalier bado ipo ama ndo amebadili jina to reginald mengi foundation?
Sent using Jamii Forums mobile app
Najichanganyaaa, i mean ile yake pia ipo ama haipo?
Na hii ya binafsi ya mengi nani amempa? Ama ni toka mengi akiwa hai?
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly. Nimeshangaa recently anaipost sana.Ziko mbili,ile ya kwake kwa jina la Baba yake na hii ya Mzee Mengi ambayo ilikuwepo siku zote ile ya kula na Walemavu! Naona Bubie kwa sasa amekazania hii ya Jina la Mengi,ile ya jina la Baba yake kaitelekeza! Ujue shida ni Funds! Kumbuka ya Baba yake alikuwa anapitia kwa Mgongo wa Mzee Mengi,ataiendesha vipi kwa sasa? Inabidi akomae na hii ya jina la Mzee Mengi tu
Nq ndo maana nainsist itakufa soon. People cant give fund to a goldigger. Aliyekufa huondola na vitu vyake.Ya Baba yake ipo,lkn ni kama sasa anakomaa na hii yenye jina Kubwa (Mengi) hii ya kusaidia Walemavu.
umesahau kampuni ya furniture ya jack amorrete iko ndani ya IPP, Jack ana share zake binafsi ndani ya IPP kupitia hiyo kampuni yake! so jack haingii ipp kama mke wa mengi, anaingia kupitia kampuni yake ! na Mengi alikuwa na makampuni mengine nje ya IPP aliyoyafungua baada ya kutengana na mkewe, na alikuwa anayasimamia mengi mwenyewe na jack!Nimefurahi mno na akili ya mchaga huyo. Eti akubali tu kukupa mali zake zote. Kumbe will yenyewe haina mhuri wa Notary for Oarth. Cheti cha talaka cha Marehemu Mercy hajawahi kukiona kokote ila kwa Maneno alidanganywa walitalikiana. Na nyumba eti akaambiwa kwa Maneno. Yaani kila kitu yeye akaambiwa kwa Maneno bila ushahidi wa maandishi. Hapo ndiyo namsifu mzee machache. Amekuwa mpole watoto na ukoo ungemheshimu tu na kulmtunza vizuri. Matokeo yake ameshaachwa na ukoo mzima na marafiki wa mzee machache. Ninachojua watoto watatunzwa na kusoma vizuri tu. Kila la heri Mtusi Gold digger. Rudi kwenu kadange.
Maelezo kidogo hapa mkuu.
Hela za Mengi alihamishia kwenye foundation yake zote? Naona jacky na dadake ndo wamehamia huku. Hapa imekaaje?
Furthurmore nachoona hapa hii foundation inaenda kufa. Nani atakua tayari kuchangia goldigger. Trust me haina muda.
Sent using Jamii Forums mobile app
ukiacha IPP, makampuni mengine ya mengi amemuachia jack na watoto wake! na mpaka sasa financial statement zake anaezijua ni jack, na share zote za hayo makampuni wameachiwa mapacha!Mimi nilivyoona ile interview ya M.Ayyo nikajua huyu dada kashakosea, anaongea vitu bila ushahidi wowote zaidi ya kusema Mengi alisema.
Mengi alimwambia ameshawagaia watoto wakubwa urithi kwa mama yao. Ushahidi upo wapi? Alikuachia documents?
Mengi alisema akifa azikwe kwenye nyumba yake Moshi, Ushahidi upo wapi?
Mengi alikuwa tajiri, na mtu mwenye akili alikuwa ana uwezo wa kumrithisha Jack akiwa hai kwa documents au kwa njia nyingi tu, na sio kile kikaratasi eti Will.
Sent using Jamii Forums mobile app
Raha sana the late Mengi alisema kama sio jack angekua ameshafariki leo jack nae anasema kama sio Mengi angekua amefariki hahaaa sarakasi hizi.
umesahau kesi ya msingi imefunguliwa na watoto wakubwa wa mengi akina regina kupinga ndugu za mengi kuwa wasimamizi wa urithi, kesi inaendelea kati ya watoto wakubwa na ndugu zake mengi,Na ilivyotoka hukumu hakurudi tena kwa Millard kutupa mrejesho wa Hukumu! Wenzie wanapigana hii vita kisomi zaidi na wakiwa kimya,yeye anakimbilia kwa Millard! Elimu ni kitu muhimu sana maishani
Asante kwa maelezo mkuuFamily Trust na Foundation ni vitu viwili tofauti yule kyln na dada yake wapo kwenye Dr. Mengi Foundation
Family trust uwa inawekwa na families kwa ajili ya Protection ya selected assets zao against claims and creditors –kwa kua mali zipo under family Trust hakuna mtu anaeweza Kuclaim wagawane kwa divorce au madeni hawezi fanikisha
Nakumbuka assets zao ziliwekwa kwenye familia ya Mama Mercy Mengi na Reginald Mengi
Mali zao zitaenda kwa vizazi na vizazi