[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan kwa kweli.atoe wapi ? Anauza magari na furniture ndio anapata hela ya kuwapa wanasheria , hela zote Alizokua anapewa aliishia kupanda ndege na mashosti na kununua pochi za milioni 50 per pair za kutosha na viatu na jewelleries
Kwan maua sama alishapita na mzee machache? Nilipitwa wapi na huu ubuyu jaman khaaaah.mzee alikua anagonga nje sana angalau Maua sama kaambulia Rav 4 Mpya na hela Ya kujenga hakalu na biashara kutoka kwa Mzee Mengi baada ya kutumiwa na Yule Mzee kidogo
maua sama anaenda same car na watoto wa Mengi , walichukuliwa wote Toyota pamoja km sufuri
Ila anauzaje magari na hayaki kwa jina lake?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan kwa kweli.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Huu ubuyu muhimu ulinipitajeeeemzee alikua anagonga nje sana angalau Maua sama kaambulia Rav 4 Mpya na hela Ya kujenga hakalu na biashara kutoka kwa Mzee Mengi baada ya kutumiwa na Yule Mzee kidogo
maua sama anaenda same car na watoto wa Mengi , walichukuliwa wote Toyota pamoja km sufuri
Ndo nimeshtuka hapa na mimiHuu ubuyu muhimu ulinipitajeeee
Ndio unajua leo?Kwan maua sama alishapita na mzee machache? Nilipitwa wapi na huu ubuyu jaman khaaaah.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Duuh na Hali Ile bado alikuwa anakula totoz? Au ilikuwa kabla ya stroke ya 2016?mzee alikua anagonga nje sana angalau Maua sama kaambulia Rav 4 Mpya na hela Ya kujenga hakalu na biashara kutoka kwa Mzee Mengi baada ya kutumiwa na Yule Mzee kidogo
maua sama anaenda same car na watoto wa Mengi , walichukuliwa wote Toyota pamoja km sufuri
Hahah mzee mjanja yuleIla anauzaje magari na hayaki kwa jina lake?
Duuuuh wee mbna hatareeh hii sasa lol, nilipitwa vipi na ubuyuuh huu mtamu na wa moto. Khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23]Ndio unajua leo?
Mimi huo ubuyu niliupata 2017-18
Hivi mlongo, huyu mzee machache, hakua na homa ya taifa kweli?Duuh na Hali Ile bado alikuwa anakula totoz? Au ilikuwa kabla ya stroke ya 2016?
Mke mkubwa alishapewa chake tokea akiondoka nyumbani,na hilili liliongelewa na evidence iliwekwa wazi,hata watoto alilazimisha wapewe chao,na ndiyo sababu ya wengine kufunguliwa maredio nk.
Mwanamke wa kichaga aachike aache mali tokea wapi?
Sheria imembanaKuna mtu kamuambia jacky sintokubali uvuruge mali za mengi akajiona umeona sasa hajakosea
Ndioo ila ukitaka kuishu na watu uliowakuta siku zote kuwa na heshima ona haya waheshimu kuwa mjanja na mpoleSheria imembana
Ila wewe ni mkali! Hayo yote uliyajuaje?Mzee wa Kimachame alipewa hadi UTI ...yaan hawa wadada ni shida
Huyu changu muulize Kinje ana historia yake,demu alitambaa na Muitaliano baada tu ya kuvishwa Pete ya uchumba,kavishwa Pete jmosi,Hahahahah mie nilikuwa namuheshimu huyu maraya keri ila kwa vituko anavyovionesha tofauti yake na faiza ni kuacha matako wazi tu
Ni expert katika udangaji basi😅😅😅Huyu changu muulize Kinje ana historia yake,demu alitambaa na Muitaliano baada tu ya kuvishwa Pete ya uchumba,kavishwa Pete jmosi,
jpili katoroka ndo mara Mozambique mara South akiwa na malaya mwenzie Wema au model mmoja simkumbuki vizuri
Muitaliano kala mbususu Mpaka chooni, kufika Huko nae akamtoroka live.
Huku Kinje analia hana hamu, huyo KLyny karudi baada ya miaka mi3,hapo kadanga sana ndio akaanza kuimba imba
Please please my daughter, stop washing your dirty linens on the agora. At the end of all this, you are the loser since you are the mother of the twins who still needs privacy and protection. Money comes and goes but humanity will always stare at you. Sit down with all parties to this conflict and iron out your differences if it is not for your sake, well let it be for the sake of those toddlers of yours.Baada ya hukumu ya mahakama kubatilisha wosia ulioachwa na Reginald Mengi, mjane wake, Jackline amesikitishwa na hali hiyo ikiwemo sababu zilizopelekea mahakama kutokubali wosia huo.
Jackline ameshangazwa na uwezo wa kuandika na kuzindua kitabu kwa mume wake ingali alikuwa na shida ya kiakili. Pia Jackline ameweka rekodi za afya za mume wake katika jitihada za kuthibitishia walimwengu kwamba mume wake alikuwa timamu wakati anaandika wosia.
Jana Mahakama iliwateua watoto wakubwa wa Reginald Mengi kuwa wasimamizi wa mirathi na kutengua wosia unaodaiwa uliandikwa na Reginald Mengi kwa kukosa sifa za kisheria.
Pia, Soma=> Wosia wa Mirathi ya Dkt. Reginald Mengi: Jacqueline Ntuyabaliwe adondokea pua
View attachment 1791810