Washauri wake si wale masly queen nao vilaza tu kasoro Faraja si ana held bachelor yule sijui kwanini hamshauri rafikieUsishangae Elimu yake tu, shangaa hata washauri wake. Hiyo Barua imeandikwa 2016 ila inaelezea habari za 2019
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni lake ishu ni kulimaintain[emoji848]Hivi lile jumba la Moshi kule sio lake tena?
Alijiandaa kuchukua kila kitu hapo ndipo alipokoseaK ali-pray party yake vyema kwa mzee Mengi alichofell kutochukua chake mapema au Kama alichukua Basi apunguze taamaa akubalianee Nakilichoamuliwa na mahakama....
Over
Doh!!! Anaumia na mengi Jack...Ni lake ishu ni kulimaintain[emoji848]
Na sijui kama atakanyaga kule tena huyu, anaogopa kuuwawa
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kama alivyo Rita Paulsen na Benchmark yake na Bss.Tatizo la fursa za madanga wenye pesa zinawakuta limbukeni na wasiojielewa,
Yaan angekua mwanamke smart, saiv angekua ana pambana na mali zake binafsi aliyochuma wakati mzee akiwa hai. Huku mgao kwa wanae twins ukiwa pembeni unapumulia mirija. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tarehe ya kuandikwa hiyo report ni lini?Hujui maana ya addendum? Hiyo report imeongelea mgonjwa alipofikishwa kwa matibabu 2016 na kisha 2019
Acha roho mbaya. Saidianeni kina mama..Huyu K lini ni K kwelikweli, anataka avune na asipopandaa? Mzee Mengi kweli awatoe nje watoto wake wa awali kabla hajumpata hyu muuza K lini?
Weka huo wosia hapa..Jack alikosea ule wosia angewaweka wale watoto yeye angejipa nusu na watoto nusu
Au nasema uongo ndugu zangu
Alichukua.K ali-pray party yake vyema kwa mzee Mengi alichofell kutochukua chake mapema au Kama alichukua Basi apunguze taamaa akubalianee Nakilichoamuliwa na mahakama....
Over
Ni kweli Dina kitendo cha kuwatoa watoto wa mke mkubwa kwenye Mali hapo ndipo alipokosea.Jack alikosea ule wosia angewaweka wale watoto yeye angejipa nusu na watoto nusu
Au nasema uongo ndugu zangu
Duh...!! Kama alifanya hivyo alizingua..Ni kweli Dina kitendo cha kuwatoa watoto wa mke mkubwa kwenye Mali hapo ndipo alipokosea.
Ngoja wamshtaki kwa kuweka nyaraka za afya za baba yao hadharani.K lyin kashindwa kula na kipofu