Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi (K-Lynn) aomba marejeo ya kesi yake ya mirathi dhidi ya Watoto wa Mengi

Haki ipi wakati mali zote anazotaka kuzimiliki kinyume cha sheria zote amezikuta!katika mali hizo hamna hata moja aliyowahi kuichuma na marehemu Reginald, sasa huko aendako anaweza kuja kuambulia patupu hata hizo chache ambazo pia ni kubwa, zaidi ya hapo anazidisha chuki juu yake kutoka kwenye familia ya Marehemu, muda utaongea
 
Mume wangu, marehemu mume wangu[emoji16]
 
I think wewe ni Regina/one of the family member, acha kumwaga kila kitu hapa, haki Yenu mtaipata..Maana ulichoandika ni ume rudia hoja zilizo kuwa zinatolewa mahakamani
 
Reactions: Qwy
Mzee wetu alichemkaga sana kiukweli!
Sijui ilikuwaje!
 
Bora hata angenunua maviwanja huko mbweni na kigamboni akaporomosha mibangaloo.

Assingekosa hela kamwe

Amedanga kipumbavu
 
Wamemzidi umri wote wale

R na A ni wakubwa kiumri kwa huyo cheupi hamnazo
 
Hivi mtu una ukwasi wa Mengi unamind kuchunwa na mtoto laini kama Klynn?
Sometimes pussy is not everything to go for it.

The world is full of beautiful women

May be she has done some tricks,may be the deceased was Bewitched ,who know or he was mentally unfit for her to take an advantage.

Amedanga kipumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…