Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi (K-Lynn) aomba marejeo ya kesi yake ya mirathi dhidi ya Watoto wa Mengi

Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi (K-Lynn) aomba marejeo ya kesi yake ya mirathi dhidi ya Watoto wa Mengi

Imtendee Haki kwajasho lipi lililomtoka kwa iyo Mali anaopigania.

Uyo mwanamke Ni mbinafsi tu, Hana lolote.

Angekua timamu,
Angekua wa kwanza kubatilisha usia was mengi angalau awakumbuke na watotowake wengine.

Sio eti vile vipacha vyake TU vibebe kila kitu.
Marehemu hakuwa mjinga.
alikuwa na akili timamu alipo kuwa anaandika wosia wake.
hakuna ubishi kuwa Marehemu na mjane waliishi maisha ya furaha na upendo hadi umauti unamkuta .
hivyo wosia huo ulithibitisha upendo wa Marehemu kwa Familia yake na Mjane.
ni kosa kubwa sana kuubatilisha na kuudhihaki Wosia wa Marehemu Mengi haswa tukizingatia kuwa Marehemu alikuwa ni mtu aliye heshimika ktk jamii ndani na nje ya nchi.
 
Marehemu hakuwa mjinga.
alikuwa na akili timamu alipo kuwa anaandika wosia wake.
hakuna ubishi kuwa Marehemu na mjane waliishi maisha ya furaha na upendo hadi umauti unamkuta .
hivyo wosia huo ulithibitisha upendo wa Marehemu kwa Familia yake na Mjane.
ni kosa kubwa sana kuubatilisha na kuudhihaki Wosia wa Marehemu Mengi haswa tukizingatia kuwa Marehemu alikuwa ni mtu aliye heshimika ktk jamii ndani na nje ya nchi.
Wosia wakati akiuandika wewe ulikuwepo?

Atulize kipago mahakama ndio itakayo amua kama ana haki.
 
Marehemu hakuwa mjinga.
alikuwa na akili timamu alipo kuwa anaandika wosia wake.
hakuna ubishi kuwa Marehemu na mjane waliishi maisha ya furaha na upendo hadi umauti unamkuta .
hivyo wosia huo ulithibitisha upendo wa Marehemu kwa Familia yake na Mjane.
ni kosa kubwa sana kuubatilisha na kuudhihaki Wosia wa Marehemu Mengi haswa tukizingatia kuwa Marehemu alikuwa ni mtu aliye heshimika ktk jamii ndani na nje ya nchi.
Ndo umeandika Nini Sasa[emoji3525]
 
huyu mjane anahaki zaidi kulingana na wosia aliopewa na Marehemu Mume wake.
Wosia wa Marwhemu Mume wake ulibatilishwa kimakosa, lazima wosia wa marehemu ufuatwe kama ulivyo bila kubatilisha chochote.
Wosia wa Marehemu ulikuwa halali na aliutoa akiwa na akili timamu na alimaanisha alicho kiandika.
Mjane na watoto wake wanayo haki ya kurithi kulingana na wosia wa Marehemu.
Unalipwa sh.ngap kaka
 
Marehemu hakuwa mjinga.
alikuwa na akili timamu alipo kuwa anaandika wosia wake.
hakuna ubishi kuwa Marehemu na mjane waliishi maisha ya furaha na upendo hadi umauti unamkuta .
hivyo wosia huo ulithibitisha upendo wa Marehemu kwa Familia yake na Mjane.
ni kosa kubwa sana kuubatilisha na kuudhihaki Wosia wa Marehemu Mengi haswa tukizingatia kuwa Marehemu alikuwa ni mtu aliye heshimika ktk jamii ndani na nje ya nchi.

Sahihi mbona tofauti
 
Huyu Mjane atendewe Haki.
nashangaa kwa nini taasisi za kutetea haki za wanawake haswa wajane wamekaa kimya?!
huyu mjane ananyanyaswa na ndugu wa marehemu mchana kweupe!!
anafanyiwa figisu na faulo kibao ili tu asipate haki zake.
lkn naamini vyovyote vile itakavyo kuwa lazima Haki zake zitapatikana
Madanga utawajua tu. Tafuteni mali zenu.
 
huyu mjane anahaki zaidi kulingana na wosia aliopewa na Marehemu Mume wake.
Wosia wa Marwhemu Mume wake ulibatilishwa kimakosa, lazima wosia wa marehemu ufuatwe kama ulivyo bila kubatilisha chochote.
Wosia wa Marehemu ulikuwa halali na aliutoa akiwa na akili timamu na alimaanisha alicho kiandika.
Mjane na watoto wake wanayo haki ya kurithi kulingana na wosia wa Marehemu.
Jack bana.....😎😎😎
 
Mengi alishamuona uyu mwanamke Ni golddigger.

Na Mtu mhuni, dawa Ni kumfanyia uhuni TU na wewe[emoji2]

Mengi was very smart guy
Hivi mtu una ukwasi wa Mengi unamind kuchunwa na mtoto laini kama Klynn?
 
Kuna Watu wanatafutaga kulogwa Kwa nguvu zote, yani unakuta huna nia lkn anakulazimisha umloge.

Wallah ningekuwa mtoto wa Mengi huyo slay queen angeshaungana na Mengi.Ni haki yake kurithi lakini ndio arithi 100% ya Mali kana kwamba hakuna watoto wengine?Wamachame mmekuwa wazembe Sana Siku hizi
 
huyu mjane anahaki zaidi kulingana na wosia aliopewa na Marehemu Mume wake.
Wosia wa Marwhemu Mume wake ulibatilishwa kimakosa, lazima wosia wa marehemu ufuatwe kama ulivyo bila kubatilisha chochote.
Wosia wa Marehemu ulikuwa halali na aliutoa akiwa na akili timamu na alimaanisha alicho kiandika.
Mjane na watoto wake wanayo haki ya kurithi kulingana na wosia wa Marehemu.
Wewe unajua sana kuliko mahakama kuu?
 
Jack bana.....😎😎😎
hahaha yani huyu Zandrano ndio mwenyewe kaja kujitetea hapa, ukitaka kujua ni Jacky just go and watch interview ya jacky na millard Ayo then uje usome hizo reply za zandrano and thank me later[emoji16], maneno like mume wangu , marehemu mume wangu, mume wangu, mjane, watoto wake etc yamejirudia in the same way but acts as a third part person is talking[emoji23].

Jacky zandrano relax, ni kweli ulikua mke pia and you have children, lazima utapata haki yako tu ya kile unachostahili, too bad that you will never get everything you wanted , wacha kujichoresha cas you sound like golddigger now, the picture you arw showing us is telling us a lot of stories like watu mwishoe tuanze kuhisi you did something to him like maybe u killed him ili upate what you wanted na imeturn tofauti so unechanganyikiwa, cas you push too hard watu waamini wosia ambao haumake any sense, why do you want everything? ulimpenda Mengi au ulipenda mali zake? because for me now naona ulipenda mali zake and you wanted all of them badly, at least omba hata 50% basi umake sense.

Wosia umekaa kimaandazi sana, yani ukiusoma badala ukupe relaxation unakupa maswali yasiyo na majibu, wosia kwa maoni yangu ulikua wa kughushi, cas hata mahakama ilijiridhisha signature haikua ya Mengi, taarifa ya kuugua na kufariki kwake ni comfusion tupu, how tjings handles ni taflani, how you realesed wosia ni vichekesho, how you push it ni mshangao, ukiunganisha dots unapata majibu kuwa Jacky killed the man, jacky is gold digger, jacky kuna watu wanamdanganya , jacky etc

Just chill ili watu wasikuwazie vibaya please, you can do better than this, ridhika with what you are about to get, patana na familia ili uzidi kupata opportunities, do your things , do business whatever or hata hama hamia Kenya ili concentrate , bobgo bakisha som few things like people says you have appartments well and good cas utakua unaingiza pesa bado, hama kajijenge ili uepuke aibu ndogondogo na kubwa.

Thats all Jacky zandrano [emoji4]
 
Back
Top Bottom