Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamachame kazeni hivyohivyo.
Mnyoosheni hivyohivyo.
Anataka kuja kwenye boma la mercy kufanya nini? Ama hajui tamaduni za kichagga? Angetaka haya yote basi angemake peace na famuly. Boma lake si kule karibu na mlimani? Huku apaache kama palivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Baadi ya ndugu wa mume wa mume wenye uroho wa mali utawaweza? Hata awape nini;bado watataka hadi na vijiko. Kama Mengi alifanya mgao kwa utashi wake; kila mtu apambane na hali yake aisee. Akisema awafurahishe ndugu wa mume; wale watoto tutawaona St Kayumba. Awape mali akijisikia tu kwa upendo wake binafsi; not to win over their hearts. Binadamu haturidhikiNi mtihani kwa kweli
klyn walau awagawie katika vile alivyoachiwa na mzee pia
Yaonekana ye ndo ana mali nyingi zaidi
Swali zuri,kwamba hata wakishinda walipwe 1000.Ule wosia umendikwa na Jackline?
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mali za Mengi lakini wanataka ziwe za kabila zima. Mwenye mali ndo anagawa na ameshagawaKwenye hilo boma la Mercy yeye ametaka umiliki au ameenda tu kumtembelea marehemu mumewe? Kumake peace na familia inategemea na familia yenyewe kama inataka amani kweli na katika mazingira/conditions ambazo hazimkandamizi Jacky. Tunajua Afrika na uroho wa mali; wanatamani Jacky awaachie kila kitu; afu watoto wake waishije kwa mfano? Shameeeeee
Ni mambo ya aibu mnoooo hata kuyasomaMali za Mengi lakini wanataka ziwe za kabila zima. Mwenye mali ndo anagawa na ameshagawa
Sent using Jamii Forums mobile app