Jaguar: Wakenya kuwaondoa kwa kipigo Watanzania, Wachina, Waganda na Wapakistani nchini mwao

Masala gatalandagwa. Jamaa akili ndogo sana.
 
Huyu mbwa nae Kawa kigeugeu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shimamoo madaraka mamaee huyu... Yani jamaa mpuuzi sana alafu anakuja Kujitetea twitter...[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
 
Eeeeh ukifuta kwenye simu yako inazuia xenophobia ?
 
Hv Jaguar ni mbunge?? Na hlo jimbo la stareh ndo liko wp?

Btw na yy akija kwnye interview uku Bongo tumpige tuu
 
Wacheni kupaniki. Wakenya tunawapenda majirani zetu. Huyo mbunge amevuta bangi na wala asiwatishe hata kidogo.
 
KENYA HAINA MAJIMBO. hiyo "jimbo" la starehe unajua mahali umeitoa. Pili, hiyo sio sauti ya Jaguar bali ni ya aliyekuwa mbunge wa Starehe Bw. Maina Kamanda.
 
Jaguar is high on something, no foreigner should worry.
 
Wewe kuna ndugu yako yeyote kule Kenya???, wewe utakua myonge kabisa, endelea na elimu yako ya kusadikika.
Wanadamu wote duniani ni ndugu zangu...

Mbona wa SA huwachukii na wanaua waTZ kila siku SA kwa Xhezophobia hiyo hiyo?

Au chuki zako zinabagua labda?

Huwezi lipa mauaji kwa mauaji...na two wrongs can never make it right!

Hivi kwa hoja zako una tofauti gani na hoja za manyani za kuraruana mwituni kugombea ndizi?

Kwanini msikae mkaelewana nani mwenye haki na hiyo ndizi au mkagawana kidogo kidogo?
 
Kwa hiyo wanafikiri sisi ndo tunawataka wao huku tz... wakimwaga mboga sisi tunamwaga ugali tunavunja sahani tunatoboa sufuria tunaharibu mpaka jiko..
shubamiit zenu!
 

Tutawafira wakeii bila mafuta.
 
Kama ni Kenya wala sishangai.

Kama ni jaguar yule ambaye alisema hakuna media yeyote ya Tanzania inaweza kumhoji na akakataa kuja kwenye Kilimajaro Award haishangazi.

Wakenya huwa wanashangaza.

Wanasahau kuwa hata George Tyson alikuja Tanzania akapokelewa vizuri huku, akaoa huku,akapewa uongozi wa kuwaongoza waigiza filamu wa Bongo movie

Haijaishia hapo ajafunga harusi na Monalisa BILA KUCHANGIA CHOCHOTE hata 100/= gharama yote ilisimamiwa na wa Tanzania.

LAKINI Leo hii Wakenya wanawafukuza Watanzania kama sio ndugu zao vile.
 
HUYU MBUNGE AKAMATWE HARAKA SANA. NI WAZI KWAMBA USHIRIKIANO WA MATAIFA YALIOTAJWA HAPO NI MZURI NA KILA TAIFA LINA RAIA KWENYE TAIFA LA MWENZAKE, UJINGA HUO UKIACHIWA ITABIDI NA HUKU KWETU PIA TULIPIZE KISASI??!!!. JE HAPO KUNA USHIRIKIANO? EAC ITAKUWA NA FAIDA YYTE KUENDELEA KUWEPO ??? KAMA NI KWELI AMESEMA WANENO WAPEWE SAA 24 LAA SIVYO ATAWAPIGA, BASI HARAKA AKAMATWE KISHA AKAPIMWE AKILI. NA ZOEZI HILO LISIPEWE NAFASI KWANI LINAWEZA KUCHAFUA HEWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…