NCH hii bado ina mijitu miPUMBAVU haijawahi kutokea yaani nch hii hakuna watu wengine icpokuwa wale walivurunda sehem moja wanapelekwa sehem nyingine yaani hata hii kumuwaza huyo ndg nikudhihirisha ukiAZI wa mtu
Mwacheni Rais afanyanye kazi yake acheni kumwekea maneno mdomoni anajua kazi yake
Hebu tuanzie na alipokuwa DPP mazuri yake. "outstanding perfomance" hiyo unayoizungumzia tuiangazie wapi??!!!
Hebu tuanzie na alipokuwa DPP mazuri yake. "outstanding perfomance" hiyo unayoizungumzia tuiangazie wapi??!!!
Kwahiyo Rais ndiye anayetakiws kuandaa mashitaka siyo? Endelea kushangaa ila hakatizi mtu nyumba ya ufisadi misingi imebomolewa tupo katika mkakati wa kulijenga taifa lenye kujiheshimu na kujisimamia!
Watu wanashindwa kuelewa kuwa ile ilikuwa ni kampeni tu ya kuitenga PCCB na DPP, huyo Hossea mnaemwamini mmuulize kwa nini aling'ang'ania ushahidi wa UDA ili kuwalinda akina Kisena kitu kilichopelekea Feleshi aiondoe kesi mahakamani.
Sasa kama alisusa wakati aliweza kupeleka hiyo taarifa juu ili huyo aliyebana asukumwe huko duniani kwa manyang'au si ndio atasusa nchi iuzwe mchana kweupe??!!
Bora hata wewe, angalia takwimu za kesi mfano hata kisutu tu wakati anaingia kulikuwa na kesi ngapi kwa mwaka na mpaka anaondoka kuna kesi ngapi kwa mwaka.
Kumbuka ni Feleshi ndiye aloondoa maaskari polisi kuwa waendesha mashtaka ili kuongeza nguvu katika upelelezi, hili mbeleni litajaonesha tija na ni moja ya mambo ambayo yalifanya kazi ya Feleshi kuwa ngumu maana kitendo hiki hakikuwafurahisha maaskari wengi maana waliona wamenyimwa ulaji na hivyo kumuhujumu mala nyingi katika utafutaji na uwasilishaji wa ushahidi.
Na ili kujilidhisha kwamba aliimudu vyema ofisi, ndio DPP pekee aliyekaa ofisini kwa miaka mingi zaidi katika historia ya Tanzania.
Mkuu, PCCB ni chombo chunguzi na kiko huru.
Huyo mnyaruanda tumpeleka wapi! Keshaharibu toka alipokua DPP
Huyo unaempendekeza wewe ni mume wako au kakutuma uje kumpigia chapuo humu. Mfyuuuuuuu wewe
Hivi wewe ni binadamu au mashine? Rais anapotoa msamaha kuna mtu anaeweza kuhoji au kupinga? Hiyo katiba ya nyumbani kwako na mmeo aisee.