BIGURUBE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 6,748
- 4,252
NCH hii bado ina mijitu miPUMBAVU haijawahi kutokea yaani nch hii hakuna watu wengine icpokuwa wale walivurunda sehem moja wanapelekwa sehem nyingine yaani hata hii kumuwaza huyo ndg nikudhihirisha ukiAZI wa mtu
Hakuna mtakatifu ndani ya nchi yetu kwa sasa 'the Country is corrupt', tutalszimika kuwateua wale wale kati ya wachafu sababu hatuna la kufanya. Hakuna atakaeniaminisha kuwa X-DPP ni mtakatifu, kesi ngapi zimepigwa zengwe hatujui zilipoishia hasa za wakubwa na matajiri!?