Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Shida ya kuingiza siasa kwenye mambo ya msingiAibu kubwa kwa Jaji Luvanda na Mahakama..
Maana anasema hati ya mashtaka ni batili..Lakini anawaambia mawakili wa serikali wakaibadilishe..akina Kibatala wamegoma wamemwambia kama hati ya mashtaka ni batili futa kesi..hataki..
Jaji amekubali kujiondoa kuendesha kesi.
Kesi iendelee. Mawakili wa mbowe wanasumbua mahakama ili kupiga hela ya wafadhili kwamba wanamtetea mteja wao kibaraka wa wazungu.Baada ya Jaji Luvanda kutupa mapingamizi yote yaliyotolewa na Mawakili wanaomtetea Mbowe na wenzake, Mbowe amesimama na kumtaka Jaji Luvanda ajiondoe kuendesha kesi hiyo kwani ameonyesha upendeleo na taarifa zinasema ana maelekezo ya kupindisha sheria ili amfunge Mbowe na wenzake.
Good. Inawezekana ameona kesi itamchafua ndiyo maana akaanza kutupa mapingamizi ili akataliwe.Aibu kubwa kwa Jaji Luvanda na Mahakama..
Maana anasema hati ya mashtaka ni batili..Lakini anawaambia mawakili wa serikali wakaibadilishe..akina Kibatala wamegoma wamemwambia kama hati ya mashtaka ni batili futa kesi..hataki..
Jaji amekubali kujiondoa kuendesha kesi.
Tayari amekubali kujitoa..Kama kweli huyo jaji amewekwa kimkakati kupindisha sheria, basi atagoma kujitoa kama ilivyokuwa kwa Sugu kule Mbeya..
Aibu kubwa sn kwa mahakamaTulishasema tangu mapema kwamba hizi kesi za kutengeneza huwa zina mambo yake , kama binadamu wakati mwingine roho inakusuta .
Baada ya kuanikwa mitandaoni na Sauti Kubwa , hatimaye leo Jaji Luvanda amekubali kujitoa kwenye kesi ya Mbowe , baada ya kuombwa kufanya hivyo kutokana na kumstukia kwamba anatumika .
Huu ni ushindi wa kwanza .
Vipi tena, Jaji kakubali upuuzi wa Mbowe na mawakili wake.Jaji asikubali upuuuzi na ushenzi huu wa Mawakili wa Mbowe na Mbowe mwenyewe.
Huko ni kumtusi Jaji na Mahakama,
Mbowe na mawakili wake hawana sababu ya msingi zaidi ya kutaka kumyumbisha Jaji, tuhuma wanazo zitoa dhidi ya Jaji ni za kipuuuzi na hazina uthibitisho wowote zaidi ya kudhania na kuhisia tu, hakuna hoja hapo, kwa hiyo anamtaka Jaji ambaye ni RAFIKI YAKE ili asikilize kesi yake.
kwa hiyo imefikia sasa Mtuhumiwa kuchagua Jaji wa kusikiliza kesi yake aisee! hata marekani hakuna kitu kama hicho.
ninacho sema Jaji angeweza kujitoa kama tuhuma zinazo tolewa na Mbowe zina uthibitisho la sivyo Jaji aendelee tu kungurumisha kesi.......asikubali kubabaishwa na hoja za kipuuzi na za kuokoteza na zenye lengo la kuchelewesha haki kutendeka.
Ndiyo maana alikufa kifo cha aibuDuh......awamu ya 5 sijui kama angejitoa!
Mkuu.. Jaji Mkuu ndio tatizo kubwa..Shida ya kuingiza siasa kwenye mambo ya msingi
Whats goes around, comes around.....Mbowe anatapatapa tu,20 years in jail Ina mhusu huyu
Naona aibu kuwa Raia wa Nchi moja na wewe!Jaji asikubali upuuuzi na ushenzi huu wa Mawakili wa Mbowe na Mbowe mwenyewe.
Huko ni kumtusi Jaji na Mahakama,
Mbowe na mawakili wake hawana sababu ya msingi zaidi ya kutaka kumyumbisha Jaji, tuhuma wanazo zitoa dhidi ya Jaji ni za kipuuuzi na hazina uthibitisho wowote zaidi ya kudhania na kuhisia tu, hakuna hoja hapo, kwa hiyo anamtaka Jaji ambaye ni RAFIKI YAKE ili asikilize kesi yake.
kwa hiyo imefikia sasa Mtuhumiwa kuchagua Jaji wa kusikiliza kesi yake aisee! hata marekani hakuna kitu kama hicho.
ninacho sema Jaji angeweza kujitoa kama tuhuma zinazo tolewa na Mbowe zina uthibitisho la sivyo Jaji aendelee tu kungurumisha kesi.......asikubali kubabaishwa na hoja za kipuuzi na za kuokoteza na zenye lengo la kuchelewesha haki kutendeka.
Nipo hapa nafuatilia mbashara kila tukioKwani Jaji ameshajitoa?
kama hakuna ushahidi Jaji aendelee.
Kibatala anazidi kumchimbia shimo bila yeye kujielewa maskini Mbowe!!!
Hoja ya kitoto kweli hiyo eti unamkataa Jaji?!!
Karma ya kubariki mauaji, kupoteza watu na ya kutukana ni ipi inatafuna zaidi??Karma ya kumtukana hayati Magufuli itamtafuna Mbowe
Hii tisha toto makamanda wanakamatwa nyie makuruti itabidi mfanye kweli ijulikane sasa hesabu ya 1+1=1 ithibitike hesabu ya muungano,inabidi mjipange kwa vitendo .Taarifa zote za Jaji Luvanda tunazo , amekanyaga pabaya sana