Jaji Joachim Tiganga ameikosesha Mahakama point tatu muhimu dhidi ya Serikali

Kuna watu mabogus hasa vijaji vya mishe mishe kama ilivyotokea kwenye kesi hii. Kikubwa walioshiriki kuanzia polisi na hivo vijaji uchwara wamefaidika Sana na pesa au Kodi za wananchi maposho waliyolipana yalikuwa hayana audit sijui...walikuwa hawapendi mradi wao uishe mapema, umbwa kabisa
 
Japo amepiga pesa Ila Tinganga amejishushia heshima Sana pia ameidharirisha mahakama, Sisi wenye akili timamu toka wale mashahidi wa serikali Kina Inspector Kingai, Mahita Na wenzake walipoanza kutoa ushahidi tukahundua hapa hamna kesi Bali kukomoana tu Ila nimesikitika Sana Kwa Mbowe kuonekana Ikulu punde tu baada ya kuachiwa.
 
Jaji Tiganga alionyesha ukilaza wake pale alipojifanya kusoma na kutolea maamuzi kurasa zaidi ya 1000 za maelezo ya mashahidi kwa masaa chini ya 24 kuwa watuhumiwa wana kesi ya kujibu!
 
Bonge la picha ya kihindi.
 
Wahi Lumumba chukua buku zako 7
 
Tuvute subira, iko siku mambo yote yatakuwa hadharani. Kama mkapa alifikia kujutia matendo yake, tusubiri wengi zaidi.
 
Hivi hapa Tanzania mtuhumiwa yeyote wa uhalifu akiombewa msamaha kwa rais basi kesi inafutwa ndio sheria za Tanzania zilivyo.

Siku nyingine usikubali watu watambue kwamba wewe ni mpumbavu.
Kama hajaelewa haya maneno mujarabu na machache hivi basi atakuwa katika asilimia zile za TWAWEZA.
 
Jaji angemaliza mapema angekosa kupiga perdiem hapo watu wamepiga pesa ndefu sn kila mmoja siyo chini ya 40M toka kesi ianze nje na mishahara yao
Yawezekana alikuwa ana focus per diem [emoji2]

Too bad kazi yake haina matokeo chanya

Angemaliza mchezo huu mapema ange CEMENT!! (kwa sauti ya jiwe) jina lake kwenye tasnia ya sheria na haki.

Anarudi zake huko mwanza until further notice nobody will care about him
 
Uongo una njia fupi
 
Baada ya Mbowe na wenzake kuachowa huru bila masharti, nini hatma yetu kufuatia maamuzi kadhaa yaliyofanywa na majaji kwenye kesi ndogo ndani ya kesi iliyofutwa? Nachelea maamuzi yale yaliyotiliwa shaka yanaweza kuwaathiri wengine kama yatatumika. Asante wajuzi kwa kufafanua.
 
Hakuna kitakacho tokea. Maadam ni makada wa chama. Kulindana ndiyo jadi yao.
 
Yatafutwa tu...maamuzi ya kijinga kutoka kwa majaji wa kijinga
 
Mahakama itende haki wakati ilikuwa inapewa maagizo na system namna ya kuendesha hiyo kesi?
Katiba mpya ndiyo suluhisho la madhila yote haya!
 
Ni wapiga dili
Pamoja na yoye haya yaliyojiri, je ile hukunu ya Jaji Tiganga iliyowakuta washtakiwa wana kesi ya kujibu inaweza kupatikana? Tunataka tuichambue kwenye vijiwe vyetu, kwenye vyama vya taaluma za kisheria ndani na nje ya nchi, kwenye law schools na kwengineko. Hiyo hukumu itapatikana?
 
Hivi hapa Tanzania mtuhumiwa yeyote wa uhalifu akiombewa msamaha kwa rais basi kesi inafutwa ndio sheria za Tanzania zilivyo.

Siku nyingine usikubali watu watambue kwamba wewe ni mpumbavu.

[emoji871]Sawa mkuu!

[emoji871]Kubishana na Mpumbavu mwenzangu Sio vizuri ila ngoja uongee kwa macho
[emoji116]

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…