Sidhani kama kuna alichoandika zaidi ya kutoa amri!Pamoja na yoye haya yaliyojiri, je ile hukunu ya Jaji Tiganga iliyowakuta washtakiwa wana kesi ya kujibu inaweza kupatikana? Tunataka tuichambue kwenye vijiwe vyetu, kwenye vyama vya taaluma za kisheria ndani na nje ya nchi, kwenye law schools na kwengineko. Hiyo hukumu itapatikana?
1.kwanini msamaha haukutolewa baada ya ombi la askofu shoo?[emoji871]Wacha kupotosha Umma wa watanzania.
[emoji871]Chadema hiyo hiyo ndio mliomtuma makamu mwenyekiti wenu Tundu Lissu kwenda kumuombea msamaha huko Ubelgiji.
[emoji871]Ni Chadema hao hao mliomtuma Askofu mkuu KKKT Gideon Shoo akiandamana na Kada mtiifu wenu Askofu Dk Benson Bagonza.
[emoji871]Kumuomba Mh Rais kumuachia huru Mbowe.
[emoji871]Kisheria hiyo kesi kama ingeanza kusikilizwa,kulikuwa Ni no Point of Return.
[emoji871]Wafuasi wa Chadema busara zenu ndogo sana.
[emoji871]Mkipewa fare deal bado mnaendekeza chokochoko tu.
[emoji871]Ndio maana maaskofu makini wa TEC walikataa kuhudhuria kikao kile ili kulinda heshima zao.
Huyo Jaji Tinganga alipewa maagizo, siyo Jaji huyo alikuwa under remote control.Kitendo cha Jaji Joachim Tiganga aliyekuwa anasikiliza kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe na wenzake watatu kuamua kuwa wana kesi ya kujibu na baadaye serikali kupitia kwa DPP kusema hawana nia ya kuendelea na kesi kimeidhalilisha sana mahakama.
Endapo Jaji Tiganga angemaliza kesi hii mara baada ya Jamuhuri kumaliza ushahidi wake kwa kuamua kuwa akina Mbowe na wenzake hawana kesi ya kujibu, mahakama ingejijengea heshima kubwa sana kwa Watanzania na Dunia kwa ujumla. Hivi sasa mahakama imedhihirisha haiko huru na inategemea maoni ya serikali kuamua kesi.
Udhaifu huu wa mahakama umemfanya Samia kuwa shujaa (heroine) na kijizolea sifa asizostahili ndani na nje ya nchi. Sifa ambazo mahakama ingezipata kama ingetoa hukumu ya haki.
Jaji Mkuu anapaswa kujitafakari sana na hasa kwa kauli yake ya kuwataka majaji kutoa hukumu kwa kuzingatia maoni ya Jamuhuri.
9.Na mheshimiwa Mbowe anaenda kwanza Ikulu kabla ya kuonana na familia yake.1.Jamhuri wakaishia njiani kuleta mashahidi waliokuwa nao!
2.Jamhuri wakataka kujua majina na anuani za mashahidi wa utetezi!
3.Siku Moja kabla ya Mbowe kuanza kujitetea,Rais anakutana na viongozi wa dini na anaombwa amalize suala la Mbowe Kwa kumsamehe!
4.Siku Moja baadaye,Magereza wanasema Mbowe ni mgonjwa hivyo hawakuweza kumfikisha mahakamani!
5.Kibatala anasema hana taarifa ya mteja wake kama ni mgonjwa,anaomba basi kama ni hivyo kesi iahirishwe mpaka j3.
6.Mawakili wa serikali waomba kuwasilisha Nia DPP kutoendelea na kesi!
7.Jaji Kwa hasira,anatoa amri Mbowe aachiwe siku hiyo hiyo na si vinginevyo!
8.Mbowe anaachiwa akiwa mzima wa afya na si mgonjwa kama ilivyodaiwa na magereza!
Umejifunza Nini?
Hakuna uficho wowotè usiukuwa wazi.1.kwanini msamaha haukutolewa baada ya ombi la askofu shoo?
2.kwanini msamaha haukutolewa baada ya kauli ya Zito?
Ndiyo maana watu wanaongea mengi kwamba kuna presha maalumu iliyopelekea DPP kutoendelea na kesi.Na kwamba siyo kauli sijui ya viongozi wa Dini.Wenyewe wanajua kilichopelekea Mbowe kuachiwa.
Jaji Mkuu anapaswa kujitafakari sana na hasa kwa kauli yake ya kuwataka majaji kutoa hukumu kwa kuzingatia maoni ya Jamuhuri.
Huyo Jaji aliapishwa na Magufuli kwa maelekezo maalumMajaji wenyewe wengi ni wa mchongo! Unategemea nini?
Mpaka ipatikane Katiba Mpya ndo heshima itakuwepo nchi hii. Katiba iliyopo kwa sasa haitambui umuhimu wala udhaifu.Kitendo cha Jaji Joachim Tiganga aliyekuwa anasikiliza kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe na wenzake watatu kuamua kuwa wana kesi ya kujibu na baadaye serikali kupitia kwa DPP kusema hawana nia ya kuendelea na kesi kimeidhalilisha sana mahakama.
Endapo Jaji Tiganga angemaliza kesi hii mara baada ya Jamuhuri kumaliza ushahidi wake kwa kuamua kuwa akina Mbowe na wenzake hawana kesi ya kujibu, mahakama ingejijengea heshima kubwa sana kwa Watanzania na Dunia kwa ujumla. Hivi sasa mahakama imedhihirisha haiko huru na inategemea maoni ya serikali kuamua kesi.
Udhaifu huu wa mahakama umemfanya Samia kuwa shujaa (heroine) na kijizolea sifa asizostahili ndani na nje ya nchi. Sifa ambazo mahakama ingezipata kama ingetoa hukumu ya haki.
Jaji Mkuu anapaswa kujitafakari sana na hasa kwa kauli yake ya kuwataka majaji kutoa hukumu kwa kuzingatia maoni ya Jamuhuri.
UONGO UONGO MTUPU KUTOKA KILA KONA YA SERIKALI1.Jamhuri wakaishia njiani kuleta mashahidi waliokuwa nao!
2.Jamhuri wakataka kujua majina na anuani za mashahidi wa utetezi!
3.Siku Moja kabla ya Mbowe kuanza kujitetea,Rais anakutana na viongozi wa dini na anaombwa amalize suala la Mbowe Kwa kumsamehe!
4.Siku Moja baadaye,Magereza wanasema Mbowe ni mgonjwa hivyo hawakuweza kumfikisha mahakamani!
5.Kibatala anasema hana taarifa ya mteja wake kama ni mgonjwa,anaomba basi kama ni hivyo kesi iahirishwe mpaka j3.
6.Mawakili wa serikali waomba kuwasilisha Nia DPP kutoendelea na kesi!
7.Jaji Kwa hasira,anatoa amri Mbowe aachiwe siku hiyo hiyo na si vinginevyo!
8.Mbowe anaachiwa akiwa mzima wa afya na si mgonjwa kama ilivyodaiwa na magereza!
Umejifunza Nini?
πππNitammis sana Malya na maswali yake ya kichokozi. "Kama gari la OCD lilikuwa na siti tano na nyie mlikuwa saba , mueleze mheshimiwa jaji nani alimkalia Kingai"[emoji1787][emoji1787][emoji119]
Hii nchi ina usanii mwingi.1.Jamhuri wakaishia njiani kuleta mashahidi waliokuwa nao!
2.Jamhuri wakataka kujua majina na anuani za mashahidi wa utetezi!
3.Siku Moja kabla ya Mbowe kuanza kujitetea,Rais anakutana na viongozi wa dini na anaombwa amalize suala la Mbowe Kwa kumsamehe!
4.Siku Moja baadaye,Magereza wanasema Mbowe ni mgonjwa hivyo hawakuweza kumfikisha mahakamani!
5.Kibatala anasema hana taarifa ya mteja wake kama ni mgonjwa,anaomba basi kama ni hivyo kesi iahirishwe mpaka j3.
6.Mawakili wa serikali waomba kuwasilisha Nia DPP kutoendelea na kesi!
7.Jaji Kwa hasira,anatoa amri Mbowe aachiwe siku hiyo hiyo na si vinginevyo!
8.Mbowe anaachiwa akiwa mzima wa afya na si mgonjwa kama ilivyodaiwa na magereza!
Umejifunza Nini?
Unamaanisha hakukuwa na uwakililishi kutoka TEC? sidhani[emoji871]Wacha kupotosha Umma wa watanzania.
[emoji871]Chadema hiyo hiyo ndio mliomtuma makamu mwenyekiti wenu Tundu Lissu kwenda kumuombea msamaha huko Ubelgiji.
[emoji871]Ni Chadema hao hao mliomtuma Askofu mkuu KKKT Gideon Shoo akiandamana na Kada mtiifu wenu Askofu Dk Benson Bagonza.
[emoji871]Kumuomba Mh Rais kumuachia huru Mbowe.
[emoji871]Kisheria hiyo kesi kama ingeanza kusikilizwa,kulikuwa Ni no Point of Return.
[emoji871]Wafuasi wa Chadema busara zenu ndogo sana.
[emoji871]Mkipewa fare deal bado mnaendekeza chokochoko tu.
[emoji871]Ndio maana maaskofu makini wa TEC walikataa kuhudhuria kikao kile ili kulinda heshima zao.
9.Na mheshimiwa Mbowe anaenda kwanza Ikulu kabla ya kuonana na familia yake.