Jaji Mkuu achukizwa na wapelelezi wanaokamata mtuhumiwa kabla ya kukamilisha upelelezi

Jaji mkuu eti naye analalamika tu kwani hajui kuwa kwenye vyesi vya sasa vya uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na vinavyohusu wapinzani lengo ni ukomoaji na wala sio kukidhi matakwa ya kisheria.

Kwani ina maana hajui nani yuko nyuma ya hivyo vyesi.
Mpemba safi wewe. Kinyesi = vinyesi. Kikombe = Vikombe. Kesi = Vyesi.

Kuna yule mwenzako alisema kaibiwa Kespa kwa vile no moja badala ya Vespa!
 
Ndio nimepitia maandiko yake kadhaa na kuona kuwa kuna harufu ya uchochezi wa ghasia

Mimesikikiza recorded voice na kujilidhisha kuwa membe amevuka mipaka

Nimeona kundi lililopo nyuma yake nakujilidhisha kuwa membe anania ovu


Nimeona kauli zake za uchochezi kuhusu watu kutekwa na wasiwasi wa watumishi wa umma ni kweli mbembe amekengeuka

Hitimisho

Sio mambo ya kuwakamata wachochezi wadogo na wanasiasa wa upinzani tu hata ndani ya chama pia maana Charity began at home so badala ya kumuita kwenye KAMATI ya kichama apelekwe kwenye sheria za nchi bila kujali alikuwa nani na yuko nyuma ya nani tufanye sawa kama kwa wapinzani na wanaharakati


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20191231-035601.jpeg
    43.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20191231-035542.jpeg
    31.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20191231-035233.jpeg
    38.1 KB · Views: 1
Mkuu hoja hii tumeiongelea hapa JF miaka mingi.

Si hivyo tu, tulihoji kwanini watu wakamatwe weekend bila kufikishwa mahakamani katika masaa 24.

Tulihoji sana hivi Polisi inamkataje mtu bila ushahidi wa kutosha?
Kwamba mtu anakamatwa, ushahidi unatafutwa! wapi hili linatokea kwingine

Pili, Jaji aliwahi kusema suala la TL uchunguzi lazima ufanywe na vyombo vya ndani.
Sijui wakati BoT ikiungua alikuwa nchini au nje ya nchi.
Hili lilikuja baada ya shinikizo la wachunguzi wa nje, naye akaingia

Tatu, Jaji anapolalamika inasikitisha. Yeye ni mhimili, hivi amekaa na Wenzake na kutafuta suluhu ya tatizo? Kinachoonekana ni kusema ''mimi sihusiki'' kama Mwana jf yoyote.

Nne, Sugu alipomkataa hakimu hivi haikuwa haki yake?
Jaji alikaa kimya. Nadhani alipaswa atoe neno kuondoa utata, hakutoa.

Yapo mengi inatosha kusema, nafasi si kama ilivyokuwa! viatu ni vikubwa
 
Amwambie boss wake anayetoa maagizo ya kuteka na kukamata then uhujumu uchumi, wakati uchumi wenyewe hauonekani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hupendi taifa lenye haki?
 
Muda wa mazoezi huu mkuu hakuna wanga wala kabohaidreti

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mpumbavu... vijana wa aina yako ndio mna lirudisha nyuma hili taifa miaka 60 iliyopita. Membe kaongea ukweli. Na ukweli siku zote unauma! Pia unatoa amri ukiwa kama nani.? Go to hell
 
Wewe ni mpumbavu... vijana wa aina yako ndio mna lirudisha nyuma hili taifa miaka 60 iliyopita. Membe kaongea ukweli. Na ukweli siku zote unauma! Pia unatoa amri ukiwa kama nani.? Go to hell
Avatar yako inatia wasiwasi kama bado unajisaidia vizuri


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry kwa kukuita mjinga! Imenilazimu tu.
Uchochezi ni upi hapo katika Tweet za Membe?
Mtu kujitenga na unafiki kawa mchochezi?
Kwa taarifa yako kutofautiana kimtizamo hiyo ni fursa kwenu praise team ila kwa kuwa nyie ni vipofu hilo hutolielewa! Pole sana.
 
CJ hapa anzingua how comes mtu usalama wake upo hatarini utaacha kumkamata au si anaweza vuruga uchungiz
Athumani Ally Maumba Vs Republic
Hii case hakuwahi isoma kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…