Jaji mstaafu, kanieleza Ufisadi awamu hii unatisha kuliko wakati wowote toka tupate Uhuru,

Jaji mstaafu, kanieleza Ufisadi awamu hii unatisha kuliko wakati wowote toka tupate Uhuru,

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Leo hii
Nimepata wasaa wa kupata chai asubuhi kwenye kijiwe chetu mtaani,
Jaji kaongea Kwa uchungu anasema ni kweli sisi majaji maslahi yetu ni kama tuko peponj na hatuna shida hata moja,
Akaendelea kusema ile kufungua nchi uliingia pia uchafu wa kutosha,
Akasema hivi unakumbuka ziara za kiongozi na wafanyabiashara wakubwa, nikasema ndio, akaendelea pale ilikua kuonyeshwa kua percent za wenzako hua ziko hivi kama utakua upande wetu.
Akaeleza kua Kwa akili ya kawaida ndugai unadhani alisema Kwa bahati mbaya ile kauli? Nikakaa kimya tu namwangalia jaji,
Akasema upigaji awamu hii ni kufuru yaani wana mtandao wanapiga na makundi yao na kama haitoshi hata mabilioni yanayokopwa kupelekwa kwenye miradi hayafiki kama inavokusudiwa.
Akadai kua kushuka Kwa thamani ya shilingi Kwa sasa ni cha mtoto miaka mitatu mbele dola moja itafika hadi tsh 3500 au 4000 , na mfumuko wa bei itakua balaa Kwa sababu uchumi hauna control Kwa sasa,
Jaji akasema awamu iliyopita utakatishaji wa fedha haukua mkubwa kama ilivo wakati huu mambo yameharibika na sijui itakuaje mbeleni huko.
Tukawa tumeachana hapo nikaenda zangu nilikokua naelekea lakini inasikitisha sana.
 
Leo hii
Nimepata wasaa wa kupata chai asubuhi kwenye kijiwe chetu mtaani,
Jaji kaongea Kwa uchungu anasema ni kweli sisi majaji maslahi yetu ni kama tuko peponj na hatuna shida hata moja,
Akaendelea kusema ile kufungua nchi uliingia pia uchafu wa kutosha,
Akasema hivi unakumbuka ziara za kiongozi na wafanyabiashara wakubwa, nikasema ndio, akaendelea pale ilikua kuonyeshwa kua percent za wenzako hua ziko hivi kama utakua upande wetu.
Akaeleza kua Kwa akili ya kawaida ndugai unadhani alisema Kwa bahati mbaya ile kauli? Nikakaa kimya tu namwangalia jaji,
Akasema upigaji awamu hii ni kufuru yaani wana mtandao wanapiga na makundi yao na kama haitoshi hata mabilioni yanayokopwa kupelekwa kwenye miradi hayafiki kama inavokusudiwa.
Akadai kua kushuka Kwa thamani ya shilingi Kwa sasa ni cha mtoto miaka mitatu mbele dola moja itafika hadi tsh 3500 au 4000 , na mfumuko wa bei itakua balaa Kwa sababu uchumi hauna control Kwa sasa,
Jaji akasema awamu iliyopita utakatishaji wa fedha haukua mkubwa kama ilivo wakati huu mambo yameharibika na sijui itakuaje mbeleni huko.
Tukawa tumeachana hapo nikaenda zangu nilikokua naelekea lakini inasikitisha sana.
Just imagine anakueleza jinsi Ufisadi unatisha awamu hii yet ndio awamu imemwaga mabilioni huko wilayani kuliko wakati au awamu nyingine yeyote.

Unajiuliza wakati Ufisadi hautishi pesa zilikuwa Zinaenda wapi? Mfano mdogo ni hui hapa 👇👇

View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1804141184266158360?t=cIhtv2cg30oHiJ7dUaJ20Q&s=19

Au niongezee vingine?
 
Just imagine anakueleza jinsi Ufisadi inatisha awamu hii yet ndio awamu imemwaga mabilioni huko wilayani kuliko wakati au awamu nyingine yeyote.

Unajiuliza wakati Ufisadi haitoshi pesa zilikuwa Zinaenda wapi? Mfano mdogo ni hui hapa 👇👇

View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1804141184266158360?t=cIhtv2cg30oHiJ7dUaJ20Q&s=19

Au niongezee vingine?

So, kwa akili yako mbovu hiki ndio kipimo cha kukataa nchi hii kwa sasa hakuna ufisadi wa kutisha?

• Ule wa Bashe na mambo yake ya vibali vya sukari na ule mradi hewa wa BBT.

• Mwigulu na tozo zake kila siku kwenye miamala ya simu tusizojua zinatumikaje.

• Bandari kupewa waarabu, misitu karibia hekari 8000 kupewa waarabu, madini ya kimkakati na sehemu ya bahari kupewa wakorea.

• Ngorongoro na Loliondo kufukuzwa wamasai na kupewa waarabu.

• Uwanja wa ndege wa KIA kupewa waarabu, huku jamii ya jirani wakifukuzwa.

Kwa akili zako mbovu unataka kusema huo ufisadi wote hapo juu tutulie kwasababu tuna mashine sita za MRI?!.

Chawa mjinga wa mama Abdul usie na akili.
 
So, kwa akili yako mbovu hiki ndio kipimo cha kukataa nchi hii kwa sasa hakuna ufisadi wa kutisha?

• Ule wa Bashe na mambo yake ya vibali vya sukari na ule mradi hewa wa BBT.

• Mwigulu na tozo zake kwenye miamala ya simu tusizojua zinatumikaje.

• Bandari kupewa waarabu, misitu karibia hekari 8000 kupewa waarabu, madini ya kimkakati na sehemu ya bahari kupewa wakorea.

• Ngorongoro na Loliondo kufukuzwa wamasai na kupewa waarabu.

• Uwanja wa ndege wa KIA kupewa waarabu, huku jamii ya jirani wakifukuzwa.

Kwa akili zako mbovu unataka kusema huo ufisadi wote hapo juu tutulie kwasababu tuna mashine sita za MRI?!.

Chawa mjinga wa mama Abdul usie na akili.
Hebu nenda ndani zaidi ili Mimi mwanachi wa kawaida nikuelewe hiyo orodha uliyoitaja inanufaishaje watanzania wachache huku ikiacha mamilioni ya watanzania wakiishi katika lindi la umasikini.
 
Huu utaratibu wa mumrithisha madaraka makamu ubadilishwe.tumerithisha mtu mwenye maamuzi ya hovyo Hadi Nchi imeparanganyika.haieleweki tunako enda.miradi mingi imesimama,watu wanafukuzwa hovyo kwenye ardhi Yao,utapeli wa viwanja imekithiri awamu hii hasa dar es salaam,mfumuko wa bei ni mkubwa kuliko kipindi chochote toka tupate uhuru na madudi mengine mengi tu ambayo kuyataja unaweza kuanza asubuhi Hadi kesho yake tena asubuhi.
 
Hajakosea! Kama Kiongozi wa nchi alifikia hatua kubembeleza watu kwamba hata kama wanakula,lakini wale kwa urefu wa kamba zao,ilikuwa kuthibitisha kuwa uwezekano wa kuwadhibiti na kuwachukulia hatua Mafisadi,wala rushwa,wanaofanya ubadhilifu wa mali za Umma haupo tena.
 
So, kwa akili yako mbovu hiki ndio kipimo cha kukataa nchi hii kwa sasa hakuna ufisadi wa kutisha?

• Ule wa Bashe na mambo yake ya vibali vya sukari na ule mradi hewa wa BBT.

• Mwigulu na tozo zake kila siku kwenye miamala ya simu tusizojua zinatumikaje.

• Bandari kupewa waarabu, misitu karibia hekari 8000 kupewa waarabu, madini ya kimkakati na sehemu ya bahari kupewa wakorea.

• Ngorongoro na Loliondo kufukuzwa wamasai na kupewa waarabu.

• Uwanja wa ndege wa KIA kupewa waarabu, huku jamii ya jirani wakifukuzwa.

Kwa akili zako mbovu unataka kusema huo ufisadi wote hapo juu tutulie kwasababu tuna mashine sita za MRI?!.

Chawa mjinga wa mama Abdul usie na akili.
Mwambie ukweli huyo pimbi hajielewi kabisa!
 
Hajakosea! Kama Kiongozi wa nchi alifikia hatua kubembeleza watu kwamba hata kama wanakula,lakini wale kwa urefu wa kamba zao,ilikuwa kuthibitisha kuwa uwezekano wa kuwadhibiti na kuwachukulia hatua Mafisadi,wala rushwa,wanaofanya ubadhilifu wa mali za Umma haupo tena.
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote kabisa!
 
Leo hii
Nimepata wasaa wa kupata chai asubuhi kwenye kijiwe chetu mtaani,
Jaji kaongea Kwa uchungu anasema ni kweli sisi majaji maslahi yetu ni kama tuko peponj na hatuna shida hata moja,
Akaendelea kusema ile kufungua nchi uliingia pia uchafu wa kutosha,
Akasema hivi unakumbuka ziara za kiongozi na wafanyabiashara wakubwa, nikasema ndio, akaendelea pale ilikua kuonyeshwa kua percent za wenzako hua ziko hivi kama utakua upande wetu.
Akaeleza kua Kwa akili ya kawaida ndugai unadhani alisema Kwa bahati mbaya ile kauli? Nikakaa kimya tu namwangalia jaji,
Akasema upigaji awamu hii ni kufuru yaani wana mtandao wanapiga na makundi yao na kama haitoshi hata mabilioni yanayokopwa kupelekwa kwenye miradi hayafiki kama inavokusudiwa.
Akadai kua kushuka Kwa thamani ya shilingi Kwa sasa ni cha mtoto miaka mitatu mbele dola moja itafika hadi tsh 3500 au 4000 , na mfumuko wa bei itakua balaa Kwa sababu uchumi hauna control Kwa sasa,
Jaji akasema awamu iliyopita utakatishaji wa fedha haukua mkubwa kama ilivo wakati huu mambo yameharibika na sijui itakuaje mbeleni huko.
Tukawa tumeachana hapo nikaenda zangu nilikokua naelekea lakini inasikitisha sana.
Duuh twafwa!
 
Hebu nenda ndani zaidi ili Mimi mwanachi wa kawaida nikuelewe hiyo orodha uliyoitaja inanufaishaje watanzania wachache huku ikiacha mamilioni ya watanzania wakiishi katika lindi la umasikini.
Ok, hayo yote unayoona nimeorodhesha hapo juu yanawanufaisha viongozi wachache wa serikali kwa namna kadhaa..

Mfano 1: Kwenye issue ya vibali vya sukari alivyoyoa Bashe kwa kampuni ambazo sio tu hazina uwezo wa kifedha kuendesha shughuli ya kuagiza na kusambaza sukari nchini, lakini pia zisizo na experience katika hiyo biashara, hii maana yake Bashe anajichagulia kampuni za marafiki zake, anawapa vibali, kisha sukari ikifika nchini ikiuzwa yeye anachukua asilimia kadhaa kwenye mauzo ya kila tani waliyoagiza.

Mfano 2: Mwigulu na tozo anazotupiga watanganyika kwenye miamala ya simu kila siku, hapa Mwigulu anashirikiana na mama Abdul wanatukamua wapendavyo watanganyika kimya kimya wakijinufaisha.

Ndio maana mwanzo alikuwa akituambia mapato waliyokusanya kila mwezi, na matumizi yatakuwaje, lakini ghafla hatutangazii tena, matokeo yake unaona Mwigulu anaanza kuhusishwa na utajiri wa kutisha ikiwemo umiliki wa mabasi ya mikoani, na timu za mpira wa miguu.

Mfano 3: Kutolewa bure bandari zetu watanganyika kwa waarabu, kama utakumbuka vizuri wakati wa kupitisha sheria ya kuwakabidhi waarabu bandari zetu, wabunge wa bunge letu walihongwa kwa safari ya kwenda uarabuni wakaangalie namna kampuni ya DPW inavyofanya kazi.

Hawa walilipiwa usafiri, malazi, pesa ya kutumia wakiwa Uarabuni, na shopping kufanyiwa na waarabu, miongoni mwao ni mbunge Musukuma wa Geita.

Baada ya kutoka huko, hao wabunge wasaliti wakishirikiana na Spika Tulia, pamoja na mama Abdul, wakaja kupitisha kwa mbwembwe sheria iliyotoa sadaka rasilimali yetu ya bandari kwa DPW tena kwa mkataba usiokuwa na ukomo.

- Ule mkataba waliosaini baadae wakatuambia ni wa miaka 30 ni wa uongo, walifanya lile igizo ili kujibu maswali waliyoshindwa kuyajibu mwanzo ndio maana ule mkataba wakauficha.

So, kutokana na mifano mitatu niliyokupa hapo juu, utaona vizuri namna watu binafsi wakiwemo wabunge na mawaziri wakishirikiana na Mama Abdul, pamoja na Spika, wanavyotupiga watanganyika kila siku kwa kuingia mikataba ya kulinyonya taifa, na tozo za kumkamua mtanganyika.
 
Hili ni shamba la bibi tajiri atazidi kuwa tajiri na maskini atazidi kuwa maskini
 
Huu utaratibu wa mumrithisha madaraka makamu ubadilishwe.tumerithisha mtu mwenye maamuzi ya hovyo Hadi Nchi imeparanganyika.haieleweki tunako enda.miradi mingi imesimama,watu wanafukuzwa hovyo kwenye ardhi Yao,utapeli wa viwanja imekithiri awamu hii hasa dar es salaam,mfumuko wa bei ni mkubwa kuliko kipindi chochote toka tupate uhuru na madudi mengine mengi tu ambayo kuyataja unaweza kuanza asubuhi Hadi kesho yake tena asubuhi.
 
Back
Top Bottom