Chatta g
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 585
- 955
Just imagine anakueleza jinsi Ufisadi unatisha awamu hii yet ndio awamu imemwaga mabilioni huko wilayani kuliko wakati au awamu nyingine yeyote.
Unajiuliza wakati Ufisadi hautishi pesa zilikuwa Zinaenda wapi? Mfano mdogo ni hui hapa 👇👇
View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1804141184266158360?t=cIhtv2cg30oHiJ7dUaJ20Q&s=19
Au niongezee vingine?
Vitu vidogo Sana hivi ilibidi viwepo kila kituo Cha afyaa,, Yani sita tu