Vitu vidogo Sana hivi ilibidi viwepo kila kituo Cha afyaa,, Yani sita tuJust imagine anakueleza jinsi Ufisadi unatisha awamu hii yet ndio awamu imemwaga mabilioni huko wilayani kuliko wakati au awamu nyingine yeyote.
Unajiuliza wakati Ufisadi hautishi pesa zilikuwa Zinaenda wapi? Mfano mdogo ni hui hapa ππ
View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1804141184266158360?t=cIhtv2cg30oHiJ7dUaJ20Q&s=19
Au niongezee vingine?
OngezaJust imagine anakueleza jinsi Ufisadi unatisha awamu hii yet ndio awamu imemwaga mabilioni huko wilayani kuliko wakati au awamu nyingine yeyote.
Unajiuliza wakati Ufisadi hautishi pesa zilikuwa Zinaenda wapi? Mfano mdogo ni hui hapa ππ
View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1804141184266158360?t=cIhtv2cg30oHiJ7dUaJ20Q&s=19
Au niongezee vingine?
OkieOngeza
Kwanza nasikia bei ya MRI moja ni sawa na VXR V8 moja....sasa kwenye misafara ziko MRI ngapi hata aone kuwa hiyo ni hatua kubwa ki-nchi?Vitu vidogo Sana hivi ilibidi viwepo kila kituo Cha afyaa,, Yani sita tu
Vidogo sio? Wakati maelfu ya Watoto wanakufa baada ya kuzaliwa Kwa kukosa Huduma kwako ni vidogo au vipi?Vitu vidogo Sana hivi ilibidi viwepo kila kituo Cha afyaa,, Yani sita tu
Bado hujataja Wala kuthibitisha Ufisadi Bali unazunguka zunguka na stori za kijinga.So, kwa akili yako mbovu hiki ndio kipimo cha kukataa nchi hii kwa sasa hakuna ufisadi wa kutisha?
β’ Ule wa Bashe na mambo yake ya vibali vya sukari na ule mradi hewa wa BBT.
β’ Mwigulu na tozo zake kila siku kwenye miamala ya simu tusizojua zinatumikaje.
β’ Bandari kupewa waarabu, misitu karibia hekari 8000 kupewa waarabu, madini ya kimkakati na sehemu ya bahari kupewa wakorea.
β’ Ngorongoro na Loliondo kufukuzwa wamasai na kupewa waarabu.
β’ Uwanja wa ndege wa KIA kupewa waarabu, huku jamii ya jirani wakifukuzwa.
Kwa akili zako mbovu unataka kusema huo ufisadi wote hapo juu tutulie kwasababu tuna mashine sita za MRI?!.
Chawa mjinga wa mama Abdul usie na akili.
We umbwa Sing'isi kwa babako huko?