Duh hili limenitoka huwa sina maneno hayamiss chaga ,mnapata wapi haya maneno, tena mpalestina mwenzako huyu
Yaani hakuna wa kukupa like kukushukuru pokea hiyo like kwa kutujuzaAliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu, Upendo Msuya amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, miezi 2 baada ya kujiuzulu, familia yathibitisha-M
sent from my senderx9 lite using jamiiforums mobile app
Kuna values na vionjo rasmi vya kiafrika unavipungukiwa.
Kuna jinsi waafrika hueleza wasifu wa marehemu.
Swali langu linalenga kuongeza uzito wa machozi yatububujikayo tunapomuombokeza Judge.
Naamini umeelewa vizuri kabisa.
Tundu Lissu awataja Majaji wa Kikwete wasio na Sifa (Kazi ndio inaanza)Siyo kweli alipingwa na kamishina wa madawa ya kulevya kwamba anawatetea wauza madawa akaamua kujiuzulu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok!