Jaji Mustapha Mohamed Siyani aliyekabidhiwa kesi ya Ugaidi ya Mbowe ni nani?

Jaji Mustapha Mohamed Siyani aliyekabidhiwa kesi ya Ugaidi ya Mbowe ni nani?


Kwa ufupi sana Jaji huyu Mustapha Mohamed Siyani aliapishwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu kanda ya Dodoma siku ya Ijumaa tarehe 20 April 2018, na Aliyekuwa Rais wa Tanzania wa awamu ya 5 Dr John Magufuli, Baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo tarehe 15 April 2018 .

Pia amewahi kuwa Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma.

NOTE : Jaji wa Mahakama Kuu ni mtumishi wa Umma, kumfahamu haijawahi kuwa kosa kisheria

Kabobea sana kwenye mambo ya haki za binadamu huenda akatenda haki tuzidi kumwombea asikengeuke afanyie kazi mamlaka yake
 
Kuwa Jaji kwa kesi ya uwongo ni kutakana lawana zisizo na msingi na kuvurugiana professionalism, namuomba Jaji asimamie namna sheria inavyosema ili kulinda heshima yake yeye mwenyewe binafsi, familia yake, mhimili wa mahakama na heshima ya Taifa letu kwa ujumla. Mwenyezi Mungu amsimamie ili haki itendeke.
Tatizo ni kuwa kuwa Justice of Appeal anatoa mama Ushungi, naye anataka kufika huko. kama mamabo ya dunia yanamhangaisha to excessivee extent ataangukia kifuani mwa shetani.
Tunamuombea ayaache ya dunia amtegemee Mungu, atende haki, then ayapate na maisha ya utukufu wa Mungu after life on earth.
 
1. Hawawajibiki popote.
2. Wana mteuzi wao (master) wa kumfurahisha.
3. Hawa lipi kodi, hivyo wana maslahi yao ya kuyalinda.
4. Kuna mhimili uliojichimbia zaidi wenye matakwa yake.

Hatusubirii dodo kwenye mnazi hapo?
Mfumo mbovu kabisa duniani
 
Majaji wote walioteuliwa na marehemu siyo wa kuwaamini. Labda jaji kama alikuwa anafanya matendo anayotaka marehemu ili ateuliwe kuwa jaji.

Marehemu hakuwahi kumpenda mtu anayependa haki. Kigezo chake kikuu kwa uteuzi wowote, ni mteuliwa kumsujudia yeye na kumkubalia yeye kwa kila jambo hata kama jambo hilo ni hovyo kiasi gani.
Wewe jamaa wa hapo machame JPM aliwanyoosha kwa wizi wenu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nimesoma case yake moja ameonesha kuwa na huruma... reasonable. Alitumia descretion yake kutenda haki katik kesi hii maana alikuwa na upenyo wa kukataa bila kuulizwa. Naiweka mpitie. It is a simple case with no public interest but can give a hint to his reasoning and humility

6 Attributes of Healthy Humility
  • They acknowledge they don't have it all together. ...
  • They know the difference between self-confidence and pride. ...
  • They seek to add value to others. ...
  • They take responsibility for their actions. ...
  • They understand the shadow side of success. ...
  • They are filled with gratitude for what they have.

Bila katiba mpya kuwalalia mlango wazi hao mabwana wasiolipa kodi kama motisha ya kuutambua mhimili uliojichimbia zaidi ni kujilisha upepo tu.
 
Asihukumiwe kwa kudhania, tusubiri maamuzi yake ndiyo tuseme yukoje!
 
Mnawasiwasi sana
Hii ni ishara kwamba ni kweli mbowe alihusika na makosa aliyoshitakiwa

Kwa ufupi sana Jaji huyu Mustapha Mohamed Siyani aliapishwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu kanda ya Dodoma siku ya Ijumaa tarehe 20 April 2018, na Aliyekuwa Rais wa Tanzania wa awamu ya 5 Dr John Magufuli, Baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo tarehe 15 April 2018 .

Pia amewahi kuwa Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma.

NOTE : Jaji wa Mahakama Kuu ni mtumishi wa Umma, kumfahamu haijawahi kuwa kosa kisheria

 
Hujui kitu wewe kapuku
We unasema ukiwa kwenye keyboard nina uwezo wa kukuoa kwa mahari utakayotaja.
Na ukawa unaoga tu kunisubiri usifanye kazi. Na pia kukuandisha mirathi kukuhakikishia maisha yako ya baadae
 
We unasema ukiwa kwenye keyboard nina uwezo wa kukuoa kwa mahari utakayotaja.
Na ukawa unaoga tu kunisubiri usifanye kazi. Na pia kukuandisha mirathi kukuhakikishia maisha yako ya baadae
masikini mnaweza uchawi tu
 
Majaji walikuwa akina Nyalali, Mzavas, Rugakingira, Kisanga, Mroso, Korosso, Mrema, Mfalila nk, hawa wa leo sio majaji ni waigizaji na wasaka tonge tu.

Leo hii unakuta eti jaji anakula na wakili ambaye anapewa pesa na mteja wake kisha anamuhonga jaji kisha wanashinda kesi kimagumashi halafu huyo wakili anaonekana kwamba ni mahiri katika kazi yake wakati sio kweli anabebwa na jaji fisadi.

Cha kushangaza zaidi ni kwamba mtu anatolewa Tiss kwenda kutunukiwa ujaji ili aje apewe kesi feki za kubumba kama ya akina Mbowe. Leo hii majaji wanaotokana na Tiss wako wengi sana kwenye Bar.
 
10 September 2021

Mahabusu na wafungwa wamuelezea Jaji M.M. Siyani



Source: Mubashara Studio
 
Back
Top Bottom