Kabobea sana kwenye mambo ya haki za binadamu huenda akatenda haki tuzidi kumwombea asikengeuke afanyie kazi mamlaka yake
Kwa ufupi sana Jaji huyu Mustapha Mohamed Siyani aliapishwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu kanda ya Dodoma siku ya Ijumaa tarehe 20 April 2018, na Aliyekuwa Rais wa Tanzania wa awamu ya 5 Dr John Magufuli, Baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo tarehe 15 April 2018 .
Pia amewahi kuwa Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma.
NOTE : Jaji wa Mahakama Kuu ni mtumishi wa Umma, kumfahamu haijawahi kuwa kosa kisheria
Huyu kabobea sana mmbo ya haki za binaadamuMvinyo ule ule ila chupa tofauti
Tatizo ni kuwa kuwa Justice of Appeal anatoa mama Ushungi, naye anataka kufika huko. kama mamabo ya dunia yanamhangaisha to excessivee extent ataangukia kifuani mwa shetani.Kuwa Jaji kwa kesi ya uwongo ni kutakana lawana zisizo na msingi na kuvurugiana professionalism, namuomba Jaji asimamie namna sheria inavyosema ili kulinda heshima yake yeye mwenyewe binafsi, familia yake, mhimili wa mahakama na heshima ya Taifa letu kwa ujumla. Mwenyezi Mungu amsimamie ili haki itendeke.
Hana makandokando na hana histiria mbaya na ni mbobevu sana wa mambo ya haki za binadamuKwa kumuangalia tu Jaji yuko vizuri!
Mfumo mbovu kabisa duniani1. Hawawajibiki popote.
2. Wana mteuzi wao (master) wa kumfurahisha.
3. Hawa lipi kodi, hivyo wana maslahi yao ya kuyalinda.
4. Kuna mhimili uliojichimbia zaidi wenye matakwa yake.
Hatusubirii dodo kwenye mnazi hapo?
Jamaa hawana akili wanataka jaji Kama "askofu" mwamakulaMnataka jaji atoke wapi?
Wewe jamaa wa hapo machame JPM aliwanyoosha kwa wizi wenuMajaji wote walioteuliwa na marehemu siyo wa kuwaamini. Labda jaji kama alikuwa anafanya matendo anayotaka marehemu ili ateuliwe kuwa jaji.
Marehemu hakuwahi kumpenda mtu anayependa haki. Kigezo chake kikuu kwa uteuzi wowote, ni mteuliwa kumsujudia yeye na kumkubalia yeye kwa kila jambo hata kama jambo hilo ni hovyo kiasi gani.
Nimesoma case yake moja ameonesha kuwa na huruma... reasonable. Alitumia descretion yake kutenda haki katik kesi hii maana alikuwa na upenyo wa kukataa bila kuulizwa. Naiweka mpitie. It is a simple case with no public interest but can give a hint to his reasoning and humility
6 Attributes of Healthy Humility
- They acknowledge they don't have it all together. ...
- They know the difference between self-confidence and pride. ...
- They seek to add value to others. ...
- They take responsibility for their actions. ...
- They understand the shadow side of success. ...
- They are filled with gratitude for what they have.
Yule ki-Bible and confusions nyingi sanaJamaa hawana akili wanataka jaji Kama "askofu" mwamakula
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mfumo mbovu kabisa duniani
Kwa ufupi sana Jaji huyu Mustapha Mohamed Siyani aliapishwa kuwa Jaji wa Mahakama Kuu kanda ya Dodoma siku ya Ijumaa tarehe 20 April 2018, na Aliyekuwa Rais wa Tanzania wa awamu ya 5 Dr John Magufuli, Baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo tarehe 15 April 2018 .
Pia amewahi kuwa Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma.
NOTE : Jaji wa Mahakama Kuu ni mtumishi wa Umma, kumfahamu haijawahi kuwa kosa kisheria
We unasema ukiwa kwenye keyboard nina uwezo wa kukuoa kwa mahari utakayotaja.Hujui kitu wewe kapuku
masikini mnaweza uchawi tuWe unasema ukiwa kwenye keyboard nina uwezo wa kukuoa kwa mahari utakayotaja.
Na ukawa unaoga tu kunisubiri usifanye kazi. Na pia kukuandisha mirathi kukuhakikishia maisha yako ya baadae
Umesikika Msagasunu,ila ushauri ni hiari.Mbowe akitaka na huyu abadilishwe nayo pia sio shida, kitu cha muhimu afahamu aliyeko mahabusu ni yeye sio majaji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]masikini mnaweza uchawi tu