Jaji Mutungi: Sijazuia mikutano ya ndani ya kisiasa ya vyama

Jaji Mutungi: Sijazuia mikutano ya ndani ya kisiasa ya vyama

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania Jaji Francis Mutungi amesema kauli yake aliyoitoa wali katika mkutano wake na waandishi wa habari Dodoma ilipotoshwa

Amesema hajazuia mikutano ya ndani ya vyama vya siasa bali ameshauri vyama vya siasa kujizuia kufanya mikutano ya ndani kwa wakati huu ambao kumekuwa na mivutano kati ya vyama na polisi

Jaji Mutungi amekiri kuwa na mvutano baina ya Jeshi la Polisi na Vyama vya siasa vinapoazimia kufanya makongamano sual ambalo wanalitafutia ufumbuzi wa kina

1.jpg
 
Maneno mengi hayasaidii wakati unajua vyama havikuamini. Umekosea ungetakiwa kuweka tarehe na kukutana na wadau kukutana na kutoa matamko ni makosa makubwa sana na kujichanganya. Usijaribu kufanya vitu ambavyo kisheria unajichanganya.
 
Bado anajichanganya.
Anasema hajakataza alafu paragraph inayofuata anaviambia vyama vya siasa visifanye mikutano halali eti kusubiri kikao.

Jaji Mutungi, wewe ni mlezi wa vyama vya siasa, kama umepewa taarifa na vyama kuwa polisi wanavyamia mikutano/vikao vya wapinzani, wewe unachotakiwa kufanya kama mlezi ni kuandika barua kwa IGP na kumuambia akupe ufafanuzi ni kwanini vyama vya siasa(upinzani) vinavamiwa na askari kila wakifanya vikao vyao vya ndani tena vya kikatiba.

Hizo stori za kusema eti vyama visubiri kikao na IGP ambacho hakipo kikatiba na hakina tarehe ni ugoro mtupu.
 
Bado anajichanganya.
Anasema hajakataza alafu paragraph inayofuata anaviambia vyama vya siasa visifanye mikutano halali eti kusubiri kikao.

Jaji Mutungi, wewe ni mlezi wa vyama vya siasa, kama umepewa taarifa na vyama kuwa polisi wanavyamia mikutano/vikao vya wapinzani, wewe unachotakiwa kufanya kama mlezi ni kuandika barua kwa IGP na kumuambia akupe ufafanuzi ni kwanini vyama vya siasa(upinzani) vinavamiwa na askari kila wakifanya vikao vyao vya ndani tena vya kikatiba.

Hizo stori za kusema eti vyama visubiri kikao na IGP ambacho hakipo kikatiba na hakina tarehe ni ugoro mtupu.
umesema vizuri kabisa hapa
 
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania Jaji Francis Mutungi amesema kauli yake aliyoitoa wali katika mkutano wake na waandishi wa habari Dodoma ilipotoshwa...
Hivi Jaji, sheria ina semaje kuhusu mikutano ya vyama vya siada?

Kwanini wataalam mkisha pewa teuzi taaluma zenu mna waachia wake/ waume zenu wakandie unga wa chapati?

Mna aibisha mno. Sikutegenea Jaji kama wewe kutoa mawazo ya muuza togwa.
 
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania Jaji Francis Mutungi amesema kauli yake aliyoitoa wali katika mkutano wake na waandishi wa habari Dodoma ilipotoshwa

Amesema hajazuia mikutano ya ndani ya vyama vya siasa bali ameshauri vyama vya siasa kujizuia kufanya mikutano ya ndani kwa wakati huu ambao kumekuwa na mivutano kati ya vyama na polisi

Jaji Mutungi amekiri kuwa na mvutano baina ya Jeshi la Polisi na Vyama vya siasa vinapoazimia kufanya makongamano sual ambalo wanalitafutia ufumbuzi wa kina

View attachment 1928083
Kikao na IGP ni batili, katiba haikitambui hata kidogo, policcm wanasigina katiba waziwazi!, Jaji Mutungi mwandikie barua IGP akomeshe vitendo hivyo mara moja sio kutujazia server na tamthilia za Mrisho Mpoto!
 
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania Jaji Francis Mutungi amesema kauli yake aliyoitoa wali katika mkutano wake na waandishi wa habari Dodoma ilipotoshwa

Amesema hajazuia mikutano ya ndani ya vyama vya siasa bali ameshauri vyama vya siasa kujizuia kufanya mikutano ya ndani kwa wakati huu ambao kumekuwa na mivutano kati ya vyama na polisi

Jaji Mutungi amekiri kuwa na mvutano baina ya Jeshi la Polisi na Vyama vya siasa vinapoazimia kufanya makongamano sual ambalo wanalitafutia ufumbuzi wa kina

View attachment 1928083

Kwani kuna mikutano aliyo na mamlaka ya kuizuia?

Mbona bado yuko full kikichanganya?
 
Back
Top Bottom