Huyu Jaji alitakiwa kuwa upande wa vyama vya siasa! Sio upande wa Polisi kwa sababu anajua wazi kati ya hawa wawili mmoja hayuko sahihi.
Angeweza kutangaza kuwa vyama vina haki ya kufanya mikutano ya ndani kwani taarifa kwa polisi kisheria iko kwenye mikutano ya hadhara nje!!
Badala yake ombil lake linatumia ku-pacify walio na haki! Anafundisha “mwenye mabavu mpishe”!
Angeweza kutangaza kuwa vyama vina haki ya kufanya mikutano ya ndani kwani taarifa kwa polisi kisheria iko kwenye mikutano ya hadhara nje!!
Badala yake ombil lake linatumia ku-pacify walio na haki! Anafundisha “mwenye mabavu mpishe”!