Jaji Stela Esther Augustine Mugasha kama kajitoa mhanga, kwa mifumo yetu atadumu?

Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia
Kwani yeye 'mama' hata angshikwa t**o na jiwe angefungua mdomo. Mkiambiwa yule alikuwa nduli muelewe.
 
Mbona hiyo barua has nothing to do with masuala ya Bandari????!!!
 
[emoji845]NISAIDIE KUPATA MCHONGO[emoji845]
Nina degree ya
COMMUNITY ECONOMIC DEVELOPMENT.
[emoji419]Naitafutia uzoefu ili badae niweze kuwa na chochote kwenye CV na kuombea Kazi.
Nisaidie hata Internship tu.
Location :KIGOMA ila kokote kama kuna uhakika mimi nitafika.
[emoji736]Msaada waungwana, mniinue
[emoji736]Taasisi
[emoji736]Social Work
[emoji736]Mashirika(NGOS)
kokote kule aisee
0628849189
 
Inasemekana huyu ndiye mmojawapo wa waliotengua maamuzi ya kuwazuia ma DED kuwa wasimamizi wa uchaguzi!
 
Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia
JPM hakuvunja katiba; alikuwa na staili mbaya ya kuongoza lakini hakuvunja katiba. Waliochukia staili yake hiyo ya ya uongozi ndio walikuwa wanasema amevunja katiba lakini hakuwahi kuvunja katiba. Hata ile kesi ya kutomuongezea CAG miaka mitano tena, katiba haikuvunjwa bali sheria ya bunge iliyokuwa inatumika wakati huo ndiyo iliyokuwa inakizana na katiba.

Ninasubiri filimbi sasa.
 
Tunakwenda wapi?
Kule kule kwenye watu wabobezi wa kutafsiri Sheria/katiba ndio kule kule ambao katiba inachezewa Tena kwenye nafasi ya juu kabisa.
Huku mahakama za mwanzo si yatafanyika madudu ??!
 
Acha kumtetea huyo mbwa wako magufuli muuwaji
 
kwani nani kasema barua inahusiana na bandari ?????
hahahahahahaaaaaaa

hapa hakuna anaejua barua hii inahusiana na nini....
Soma mleta mada ameongelea kuhusu bandari halafu amequote sehemu ambayo Judge amesema hataki kusaliti nchi. Barua inaongelea huyo Judge kupinga Rais kumuongezea muda Chief Justice kitu ambacho ni kinyume cha Katiba.

Halafu unasema hakuna anayejua barua inahusiana na nini ina maana umejibu tu bila kusoma hiyo barua???
 
Hii barua ya huyu mama sijaisoma yote, but nlitaka tu kujua inahusu nini? Mkataba wa DPW au Ukomo wa Jaji Mkuu?
 
Kipindi cha utawala wa JPM alikuemo nchini? Kama ndiyo aache unafiki akae kimya kama alivyo ka kimya wakati jpm ana nagisi mihimili ya nchi, ka ni hapana hakuepo na muonea huruma hi nchi inatawaliwa na CCM sia sharia
Umejaza nini kichwani mwako ?
 
Badala ya kuokoteza Mashangingi tukayapa Uongozi Wanawake wa Aina hii ndio walitakiwa wawe Viongozi sasa. Achana na wale akina Bibi Mipasho kichwani ni Zerro Brain🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…