Jaji warioba apumzike asijiharibie heshima ambayo ilipambwa tu!

Pumbavu Sana we litoto ni jikalao kubwa la majinga yote!!

mtu anafanya au serikali ndio unafanya ??

Mtekeni Basi muone kwama Samia hajapinduliwa mchana kweupe

We unafikiri kakurupuka kulitaja jwtz?

Jichanganyeni mtaona kitakachowatokea 2025!!
 
Kweli wewe ni jingalao la wajinga duniani.kwa hiyo huoni mazuri aliyoyafanya huyu mzee wetu mzalendo?labda kama umezaliwa 2003 hapo sawa
 
Og
Ogopa jeshi la wajinga..wanaweza kukupa kiongozi na akakuongoza kuingia ujingani.
Mzee Warioba amejitoa mhanga kusema aliyoyasema,peupee!Kumjibu inataka Akili kubwa sana na kiwango cha juu sana cha uelewa wa jinsi nchi inavyoendeshwa.
Hapo hakuna chama..hapo kuna nchi.Hoja zake zimelenga kuokoa nchi dhidi ya anguko baya..
 
Jibuni HOJA za Jaji Wariba masuala ya kumshambulia yeye binafsi inaonyesha nanna mlivyo dhaifu.
 
Ukiwa ni mtu wa nia mbaya na ni mnufaika wa uongozi uliopo lazima mzee Warioba umuone hafai

Kwenye jamii bila kukemea maovu kwa baadae ni kwa zi sana hiyo jamii kuirudisha kwenye maadaili
 
YY ni jaji kwa usomi na cheo chake ni waziri MKUU mstaff. Naomba n ww nikujue kwa kwa Elimu n cheo. Ndio nichague nani ni MTU makini. Ila mpka sasa YY ni MTU muhimu kwa TAIFA la Tanganyika. Na sio Dalali kama alie watuma nyie.
All the best
 
Aibu kwako kumkosea heshima Mzee anaeheshimika ambaye hakuna yeyote kwa sasa anayemkuta kwa kuheshimika Tanzania.
 
Huna hata hadhi ya 0.00000000001% ya kumkosoa jaji warioba vijana wa CCM mjifunze kuwa na adabu na kuheshimu wazee wa wakongwe wa chama , hii ccm yenu ya mwendo kasi hii inalitia mikosi na nuksi taifa
 
YY ni jaji kwa usomi na cheo chake ni waziri MKUU mstaff. Naomba n ww nikujue kwa kwa Elimu n cheo. Ndio nichague nani ni MTU makini. Ila mpka sasa YY ni MTU muhimu kwa TAIFA la Tanganyika. Na sio Dalali kama alie watuma nyie.
All the best
Fala mmoja na dv 0 yake kakijua chama juzi tu hata hajui kama warioba aliwahi kuwa wazir mkuu nchi hii na anaijua serikali kuliko yeye
 
Mkuu kijiti ni kupokezana. kulikuwa na awamu ya kwanza, ya pili, ya tatu, ya nne, ya tano....hata ya kumi itakuwepo. Hata hawa wa awamu ya tano wataisema awamu ya sita na nyingine zjazo.. Hata wewe leo hii unaitetea kwa sababu una maslahi nayo.

Juzi nilikuwa naangalia clip za JPM alivyokuwa anasifiwa na wakuu wa mikoa/wilaya/mawaziri nk. Leo hii ndo wanaongoza kwa kuponda awamu yake.


Naamini hata S100 anajua kwamba hakuna anayemsifia yeye. Wanasifia kiti chake!! Tena akiachia kiti, nakuhakikishia hakuna mtu atasemwa vibaya kama huyu mama yetu. Watch this space! I hope analijua hilo.
 
VIpi kuhusiana yule asiyepeda shule lakini kila uchwao anazawadiwa PhDs, alisoma Mzumbe enzi hizo kinaitwa Chuo Cha Uongozi wa Jamii, lakini ghafla baada ya kuikwaa nafasi ya Ofisi Kuu mafaili yakabadilika, yakaanza kusomeka alisoma Advance Diploma Diploma pale ingawa mwaka liosoma ngazi hiyo haujulikani wala wanafunzi wenzake hawajulikani.
MSc pale Open University hiyo sitaihoji, kazi maalum ya Open University kwa viongozi wa serikali wenye Changamoto za kielimu inajulikana
 
Wamekuwa wakali kama wamemwagiwa Tindikali
 
Acha ujinga wewe. JPM alikuwa mzalendo hakutaka bla bla. Amewajengea uwezo amewapa maono kama SGR, umeme, maji nchi nzima. Kupunguza rushwa. Wote ni wanufaika.
Ungejua mabilioni ya wizi ailiyohusika nayo huyo mzalendo wako usingeandika huu upuuzi!
Kuhusu miradi ni ujinga kumtukuza rais wakati fedha si zake. Na hatendi peke yake!
 
Jaji Warioba ndio moja ya sauti chache mno ndani ya CCM zilizobakia yenye dhamira safi, maadili, ukweli na uelewa mpana wa siasa na yawezayo kujiri kutokana na siasa hizo. Ni sauti isiyo uchawa wala uoga! Tumuunge mkono kwa ujasiri wake!
 
Maandiko Matakatifu (Biblia) inasema kama mtu anafanya uovu halafu usimwonye, mtu huyo akifa Mungu ataitaka damu yake mikononi mwa mtu huyo.

Ezekieli 3:18
[18]Nimwambiapo mtu mbaya, Hakika utakufa; wewe usimpe maonyo, wala husemi na huyo mtu mbaya ili kumwonya, kusudi aache njia yake mbaya na kujiokoa roho yake; mtu yule mbaya atakufa katika uovu wake; lakini damu yake nitaitaka mkononi mwako.

Mhe. Warioba ametimiza wajibu wake. Miongoni mwetu tutakuwa tumesikia yaliyowakuta jana wafanyakazi wa TRA huko Tegeta kwa Ndevu. Kwani ni ushuhuda wa maonyo ya Mhe. Warioba.

Kwani jamii imefika mahali wanashindwa kutofautisha ukamataji wa vyombo vya dola na utekaji.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…