Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 3,151
- 6,261
Sawa Tukianza Kumjibu kwa Hoja majukwaani asianze Kulia Lia Kuwa anavunjiwa Heshima, Mana Kwa Umri ule kwani ni wazee wangapi ambao walikuwa Key figures mbona wametulia tu mzee, Yeye iweje kila siku kutaka MicAliekuambia amechoka nani??? Watu hamna akili mnaambiwa mnaharibu nchi mnasema anaewambia apumzike hii nchi sio yenu hii ni yetu wote sio genge flani linalojifanya linajua linaharibu nchi acheni uhuni .
Fafanua? Wewe ndio unamtukuza, mpumbavu mkubwa wewe na wenzako wewe akili kama yako.Ungejua mabilioni ya wizi ailiyohusika nayo huyo mzalendo wako usingeandika huu upuuzi!
Kuhusu miradi ni ujinga kumtukuza rais wakati fedha si zake. Na hatendi peke yake!
Wote wenye kupewa jukumu la kumjibu Mzee mtetezi kwani kwenu hamna Wazee,na pia mtajitokeza wote kwa uwoga na aibu kimbwekea Mzee wetu huku aliyewatumeni akificha usu kwa aibu huko aloko.Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Jinga la CCM wewe unatumwa na nani? Bila kutumia hata brain cell yako moja. Jibu hoja alizotoa?Wote wenye kupewa jukumu la kumjibu Mzee mtetezi kwani kwenu hamna Wazee,na pia mtajitokeza wote kwa uwoga na aibu kimbwekea Mzee wetu huku aliyewatumeni akificha usu kwa aibu huko aloko.
Mlio ahidi mtamjibu mseme nyie mmetumwa na nani mumnyamazishe Mzee mtetezi wa taifa?Bila shaka wale wahuni wa mapangoni aliyosema mwalimu wenu wa darasa la siasa ndio nyie hasaa.Jinga la CCM wewe unatumwa na nani? Bila kutumia hata brain cell yako moja. Jibu hoja alizotoa?
🚮🚮Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Jibu hoja zake.Mlio ahidi mtamjibu mseme nyie mmetumwa na nani mumnyamazishe Mzee mtetezi wa taifa?Bila shaka wale wahuni wa mapangoni aliyosema mwalimu wenu wa darasa la siasa ndio nyie hasaa.
Hatafuti legacy. Legacy yake ipo kamili. Kwa kuanzia na tume ya Warioba. Yeye ndio mmoja waanzilishi wa CCM. Nyie wakuja ndio mna shida ya Legacy. Jibuni hoja zake mstari kwa mstari.Kwakeli Babu anajidhalilisha. anatumiwa vibaya sana. Legacy haitafutwi kwa mtindo huo.
Hapana mbona Mbowe anamachawa kibao ukifika muda wa uchaguzi utasikia mwamba tuvushe wengine wanajifanya wanaenda kujusujudu nje ya geti lake kujifanya wanagombea agombee kumbe uhuni mtumpuHakuna chawa wa upinzani kwani uchawa siyo sera ya chama chochote cha upinzani isipokuwa vyama marafiki wa CCM waliovamia upinzani wakati ni maCCM na machawa. Finish.
Hoja yako ni nini hasa: Anyamaze kisa wazee wengine wameshamaza??Mbona kama watu akili zinafyatukaSawa Tukianza Kumjibu kwa Hoja majukwaani asianze Kulia Lia Kuwa anavunjiwa Heshima, Mana Kwa Umri ule kwani ni wazee wangapi ambao walikuwa Key figures mbona wametulia tu mzee, Yeye iweje kila siku kutaka Mic
Comment kama hizi ni za mtu mwenye wadhifa wa upendeleo bila elimu ya kutosha. Kuna Mkuu wa Mkoa mmoja namfahamu wa aina hiyo na huenda ndo wewe.Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mwache Warioba aongee ni haki yake kama ilivyo haki yako kuongea. Hawezi kupoteza heshima kwa kusema ukweli.Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wanaomkubali magufuli ni watukanaji wenye akili kisodaFafanua? Wewe ndio unamtukuza, mpumbavu mkubwa wewe na wenzako wewe akili kama yako.
Miradi mikubwa kwanini haijafanywa toka uhuru kama ni rahisi kama ulaya.
Acha usenge wewe. Watu wenye nia thabiti wanasaidia maendeleo ya Mataifa. yote duniani. Kila sekta kisiasa, kiuchumi. Kimaadili, kisayansi. Nyerere, Warioba, Magufuli wanakubalika na Watanzania wengi mtaani.
Unataka kubishana na Warioba?Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Acheni upumbavu! Anyamaze muendelee kumaliza nchi!?Warioba is a pinnacle of excellence and a formidable intellectual force to reckon with. He's aging with grace and stands tall even among his acolytes.
I'm a witness to a nascent idiotic Anti-Warioba-trope, which I find to be fueled by primordial envy and lunacy, than UZALENDO. All people who criticize Jaji Warioba happen to be unable to challenge him intellectually in the battle of wits, but use smear campaign, gutter politics and brute force.
After Jakaya's camp lost a constitutional debate against Warioba's, they sent henchmen and goons to violate Jaji Warioba in public, something which was vindicated by divine providence and Kikwete himself was proportionately humiliated by the same goons he sent.
Let Warioba Be, currently none of you in CCM can vibe at his High Frequency of Intellect and Integrity.
Kama wewe. Unafikiri hi nchi kikwete alipoocha angeingia Samia moja kwa moja ungepata mlo mmoja kwa siku. Alirekebisha mengi, kuwapa chawa hata kuwapa nyie chawa kazi.Wanaomkubali magufuli ni watukanaji wenye akili kisoda