Davidson david
JF-Expert Member
- Jul 26, 2023
- 1,029
- 1,051
Majitu ya ccm hampend kuambiwa ukwel unauma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo huuRasimu ya Warioba ina mapungufu mengi tu. Mzee alikuwa ana nia ovu ya kuuvunja muungano.
Achani ujinga wenu hapa. Mkipigwa kwenye mshono mnaanza kulalama. Yaani muibe kura halafu hamtaki kuambiwa ukweli. Pambaf kabisa. Anza kukaa kimya weweNikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Ndio UVCCM mnafundishwa kujibu hoja kwa mtindo huo?Huyu mzee ipo siku watamvunjia mayai
Hii inchi hakika imelaaniwaNikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mr. Gwamaka: ugonile? Ndaga? You are wrong. Mma!!! There was no such thing as Kikwete's camp, it was the integrity of the United Republic and it's people. What happened was that Warioba in the Chair was a weak character, lukewarm in his convictions. He had been aptured by the CHADEMA Camp allied to Waarabu "wa CUF" who wanted to break the Union. In exchange for their tribal based Majimbo Government (akin to Kenya's Counties, each tribe with it's County, big tribes like Nyakyusas or Hayas will have 3) they compromised and pushed the Katiba Pendekezwa for 3 Governments. It was 3 people; Askofu Pengo, Professor Shivji, and Kikwete who saw through the strategy and stopped it to the support of the vast majority of the people. To the chagrin of CHADEMA and Maalim Seif, the shame on Warioba, and the Glory of the Union after the G55 move stopped the Zanzibar illegalities. Go back 20 years Warioba was Prime Minister and t First Vice President. Again he was weak and lukewarm corruption and illegalities began taking roots and you had the G55 uprsis.ing in reaction. Again, Warioba was indecisive and weak knee'd: he was dismissed, kicked out in disgrace by his boss President Mwinyi and his place taken over by Malecela. What you call goons are nothing but manifestation of suppressed exuberance when a tyrant has been cornered. Go back 10 years earlier, with Maalim Seif fiend and Colleague of Warioba in an unholy alliance to break up the union by sowing disoord, he leaked Aboud Jumbe's papers to Nyerere to get favour from him and take Aboud Jumbe's place to break the Union. Itl aso failed and the same goons of yours as you call them celebrated. No Sir, Mma. Mma, Warioba is nothing but a weakling.Warioba is a pinnacle of excellence and a formidable intellectual force to reckon with. He's aging with grace and stands tall even among his acolytes.
I'm a witness to a nascent idiotic Anti-Warioba-trope, which I find to be fueled by primordial envy and lunacy, than UZALENDO. All people who criticize Jaji Warioba happen to be unable to challenge him intellectually in the battle of wits, but use smear campaign, gutter politics and brute force.
After Jakaya's camp lost a constitutional debate against Warioba's, they sent henchmen and goons to violate Jaji Warioba in public, something which was vindicated by divine providence and Kikwete himself was proportionately humiliated by the same goons he sent.
Let Warioba Be, currently none of you in CCM can vibe at his High Frequency of Intellect and Integrity.
Mr. Gwamaka: ugonile? Ndaga? You are wrong. Mma!!! There was no such thing as Kikwete's camp, it was the integrity of the United Republic and it's people. What happened was that Warioba in the Chair was a weak character, lukewarm in his convictions. He had been aptured by the CHADEMA Camp allied to Waarabu "wa CUF" who wanted to break the Union. In exchange for their tribal based Majimbo Government (akin to Kenya's Counties, each tribe with it's County, big tribes like Nyakyusas or Hayas will have 3) they compromised and pushed the Katiba Pendekezwa for 3 Governments. It was 3 people; Askofu Pengo, Professor Shivji, and Kikwete who saw through the strategy and stopped it to the support of the vast majority of the people. To the chagrin of CHADEMA and Maalim Seif, the shame on Warioba, and the Glory of the Union after the G55 move stopped the Zanzibar illegalities. Go back 20 years Warioba was Prime Minister and t First Vice President. Again he was weak and lukewarm corruption and illegalities began taking roots and you had the G55 uprsis.ing in reaction. Again, Warioba was indecisive and weak knee'd: he was dismissed, kicked out in disgrace by his boss President Mwinyi and his place taken over by Malecela. What you call goons are nothing but manifestation of suppressed exuberance when a tyrant has been cornered. Go back 10 years earlier, with Maalim Seif fiend and Colleague of Warioba in an unholy alliance to break up the union by sowing disoord, he leaked Aboud Jumbe's papers to Nyerere to get favour from him and take Aboud Jumbe's place to break the Union. Itl aso failed and the same goons of yours as you call them celebrated. No Sir, Mma. Mma, Warioba is nothing but a weakling.
Hajawasema Polisi vibaya! Amewasema wanaoitumia Polisi kuvuruga uchaguzi.Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
A widely travelled professional, Judge Warioba attended or else helped organise quite a number of international and regional consultations and meetings, including the United Nations Educational, Scientific and Cultural Organization Conference in Paris, France (1966), the Refugee Conference in Addis Ababa, Ethiopia (1967),Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Nikitafuta sana ni kipi signifcant and iconic kilichowahi kufanywa na Jaji warioba katika nyakati zake akiwa madarakani nakosa.
Hata hivyo kwa upendo tu wa watanzania tulimjengea heshima unaweza kusema hata kwa kuokoteza tu ilimradi mzee huyu aliyewahi kushika nyadhifa kubwa aheshikike.
Nimshauri tu kiroho safi kuwa ..ukimya ni busara kubwa...!!
Mada hii nimeileta mahususi kwa kukasirishwa na matamshi ya Jaji Warioba kuisema vibaya Serikali ya Awamu ya Tano!
Hili ni kosa na uvunjifu mkubwa wa adabu na kamwe haliwezi kuachwa likaenda hivi hivi...
Serikali ya awamu ya Tano iliwahi kumteua kushika nafasi ya heshima mwaka 2016/17 iwapo Serikali hii ilikuwa na makosa angekataa kufanya nayo kazi au angejiuzulu baada ya kuona inafanya makosa.
wastaafu wajiheshimu tena wajiheshimu sana.
By the way Polisi wanaomlinda leo hii ni hawa hawa anaowasemea au kuna wengine??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
💉💉Ukweli siku zote una Tabia YA KUUMA.ni kama dawa chungu lakini ndo inaponesha.
Kuambiwa ukweli viongozi wenu hamtaki
Unaweza kuwa chawa wa wapinzani
🤣🤣Chawa = Uchafu
Ukimya wa hao wazee wengine si standard unit ya uzee, either hawajiamini kwani Warioba kama wewe si mtoto wa 2000 utakuwa unakumbuka alivyokabiliana na Wahindi waliokuwa wanapishana kuingia ikulu kipindi cha rais Mwinyi. He still holds that strong personality so you'll either like him or hate him ila kwenye ukweli huwa hamung'unyi maneno, he is the kind that at this point in time the nation terribly need.Sawa Tukianza Kumjibu kwa Hoja majukwaani asianze Kulia Lia Kuwa anavunjiwa Heshima, Mana Kwa Umri ule kwani ni wazee wangapi ambao walikuwa Key figures mbona wametulia tu mzee, Yeye iweje kila siku kutaka Mic
Hapana mbona Mbowe anamachawa kibao ukifika muda wa uchaguzi utasikia mwamba tuvushe wengine wanajifanya wanaenda kujusujudu nje ya geti lake kujifanya wanagombea agombee kumbe uhuni mtumpu
Kumbe ni jingalao!!? Sioni sababu ya kukujibu wala kukushangaa maana uchawa umekujaaZipi hizo hebu zitaje hapa tuzichambue