Hapa ndipo unapotofautisha maoni ya msomi, na mashabiki wanaotafuta madaraka na vyeo kwa kumshambulia Bashiru kwa ajili ya matumbo yao.
Utashangaa mpaka kina Msukuma na Lusinde leo wanaonekana wa maana kisa wanamshambulia Bashiru, tuna taifa la mihemko sana, ambalo kila siku linazidi kupoteza muelekeo.
..wakati Dr.Bashiru akiwa Katibu Mkuu aliwatumia kundi la wasiojulikana, Musiba, Musukuma, Kibajaji, kuwatukana na kuwashambulia wakosoaji wa serikali ya awamu ya 5.
..Dr.Bashiru ajilaumu mwenyewe kwasababu hawa wanaomsuta na kumbeza yeye ndiye aliyekuwa akiwatunza alipokuwa Katibu Mkuu wa Ccm.