Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Kayakanyaga ila wanaohangaika ni machawa ya mazaKunywa maji mwanangu, boss wako Bashiru kayakanyaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kayakanyaga ila wanaohangaika ni machawa ya mazaKunywa maji mwanangu, boss wako Bashiru kayakanyaga
Hii ni point snWAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, ameeleza kuwa Balozi Bashiru Ally, hajafanya kosa lolote hakustahili kushambuliwa. Amesema, watu wajibu hoja badala ya kumshambulia yeye binafsi.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2423226
Yaani tunampiga kama ngoma, na ngumi zote 100 💯 ni ndoigeKayakanyaga ila wanaohangaika ni machawa ya maza
Kwa mantiki yako hii maana yake hakuna mtu anayepaswa kutoa ushauri wowote juu ya uongozi katika Nchi hii.Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.
Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.
Matapeli wa kisiasa waliobaki
Umeme kwa kukaa tu kwenye kiti ukaishia kuongea utakaa sana, wewe mkuu hujui tunashughulikia siasa na siasa ndo umeme?Tunataka umeme, msitutoe kwenye reli.
Huwezi kuwaona kwenye mambo ya msingi hata siku mojaTunataka umeme, msitutoe kwenye reli.
😂😂Jamaa wajanja Sana ,,,hiyo yote Ni kufubaza ajenda ya maji na Umeme....then baadae watamuibua bashite Mara paap masika yashafika....Tunataka umeme, msitutoe kwenye reli.
Jibuni kwa hoja mnaambiwaMzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.
Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.
Matapeli wa kisiasa waliobaki
CCM ni kusanyiko la majangili tupuKwa mantiki yako hii maana yake hakuna mtu anayepaswa kutoa ushauri wowote juu ya uongozi katika Nchi hii.
Sababu tukisimamia misingi unayoamini hakuna msafi hata mmoja.
Hivyo tuache kulalamika kwa lolote,kuanzia mfumuko wa maisha,ufisadi n.k maana hakuna msafi
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
JIBU HOJA, Bashiru wa enzi ya Magu alikuwa Mlevi!!!
Mlevi hujibiwa akiwa POMBE imekata, na Si wakati amelewa.
Bashiru huyu ndiye Bashiru halisi, Ajibiwe Kwa hoja.
Mimi nazungumzia sheria zilizoandikwa vitabuni tunazotakiwa kuzifuata, ajabu wewe unasema niko kinadharia zaidi!.
Utambue haki haihitaji hisani yako wala ya mwingine yoyote, na usitumie hisia kuhukumu jambo linalohitaji kutendwa kisheria, tambua sheria haina hisani.
Lazima uifuate sheria, kama hutaki kuifuata kisa historia ya mtu, basi utambue nawe ni mvunja sheria tu kama walivyo CCM, nyie hamchekani.
Umri wa huyo Mzee, unaeza usiofikie pamoja na takataka ulizoandika hapa .jibuni hoja ya Bashiru Ali..Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.
Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.
Matapeli wa kisiasa waliobaki
Jibu la kipumbavu kabisa!!Ubaya mpya hauhalalishi ubaya wa zamani.muwe na hekima kama hamnazo basi jilazimisheni angalau.
Itakuwa amekusikia, na bila shaka atakumbuka anayotetea yeye mwenyewe juu ya uhuru wa watu kusema kama ulivyosema wewe hapa maneno yanayoonyesha kwamba mnayotetea nyinyi ni maslahi yenu binafsi na siyo maslahi ya nchi na wananchi wake.Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.
Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.
Matapeli wa kisiasa waliobaki
Are you serious Kweli umefikiri Kabla ya kuandika comments zako mbili ? Napata wasi wasi kuwa hata wewe waweza kuwa Aina ya mbunge kibajaji au Good luck au Msukuma.Yaani amekuwa kama kichaa, hakuna wa kumsikiliza siku hizi
Unatueleza hili leo kwa sababu yupo SSH!Nyakati zile saa hizi mngekua mnarushwa vichura huku mmevaa misuli mitupu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]CCM ni chama cha kidemokrasia ndio maana watu wanatofautiana na mwisho wanaelewana.