Jaji Warioba: Dkt. Bashiru ajibiwe kwa hoja, hajafanya kosa lolote acheni kumshambulia

Jaji Warioba: Dkt. Bashiru ajibiwe kwa hoja, hajafanya kosa lolote acheni kumshambulia

WAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, ameeleza kuwa Balozi Bashiru Ally, hajafanya kosa lolote hakustahili kushambuliwa. Amesema, watu wajibu hoja badala ya kumshambulia yeye binafsi.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2423226
Hii ni point sn
 
Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.

Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.

Matapeli wa kisiasa waliobaki
Kwa mantiki yako hii maana yake hakuna mtu anayepaswa kutoa ushauri wowote juu ya uongozi katika Nchi hii.
Sababu tukisimamia misingi unayoamini hakuna msafi hata mmoja.
Hivyo tuache kulalamika kwa lolote,kuanzia mfumuko wa maisha,ufisadi n.k maana hakuna msafi

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.

Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.

Matapeli wa kisiasa waliobaki
Jibuni kwa hoja mnaambiwa

Ova
 
Kwa mantiki yako hii maana yake hakuna mtu anayepaswa kutoa ushauri wowote juu ya uongozi katika Nchi hii.
Sababu tukisimamia misingi unayoamini hakuna msafi hata mmoja.
Hivyo tuache kulalamika kwa lolote,kuanzia mfumuko wa maisha,ufisadi n.k maana hakuna msafi

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
CCM ni kusanyiko la majangili tupu
 
JIBU HOJA, Bashiru wa enzi ya Magu alikuwa Mlevi!!!

Mlevi hujibiwa akiwa POMBE imekata, na Si wakati amelewa.

Bashiru huyu ndiye Bashiru halisi, Ajibiwe Kwa hoja.

..wako wanaosema tabia halisi ya mtu hujionyesha wakati ana madaraka au akiwa amelewa.
 
Mimi nazungumzia sheria zilizoandikwa vitabuni tunazotakiwa kuzifuata, ajabu wewe unasema niko kinadharia zaidi!.

Utambue haki haihitaji hisani yako wala ya mwingine yoyote, na usitumie hisia kuhukumu jambo linalohitaji kutendwa kisheria, tambua sheria haina hisani.

Lazima uifuate sheria, kama hutaki kuifuata kisa historia ya mtu, basi utambue nawe ni mvunja sheria tu kama walivyo CCM, nyie hamchekani.

..nakubali Bashiru atetewe.

..lakini itapendeza kama Bashiru atawaomba radhi wale waliodhalilishwa na kuteswa wakati akiwa Katibu Mkuu wa Ccm.
 
Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.

Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.

Matapeli wa kisiasa waliobaki
Umri wa huyo Mzee, unaeza usiofikie pamoja na takataka ulizoandika hapa .jibuni hoja ya Bashiru Ali..
 
Kazi kaimaliza, kazi imebaki kwao ama wasuke ama wawe vipara. Yeye kamaliza na wananchi tumemwelewa Dr. Bashiru. Mwananume hang'ating'ati maneno, Bravo!!
 
Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.

Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.

Matapeli wa kisiasa waliobaki
Itakuwa amekusikia, na bila shaka atakumbuka anayotetea yeye mwenyewe juu ya uhuru wa watu kusema kama ulivyosema wewe hapa maneno yanayoonyesha kwamba mnayotetea nyinyi ni maslahi yenu binafsi na siyo maslahi ya nchi na wananchi wake.

Kazi yenu ni kazi ya kusifia tu, hata kisichofaa kusifiwa.
 
Yaani amekuwa kama kichaa, hakuna wa kumsikiliza siku hizi
Are you serious Kweli umefikiri Kabla ya kuandika comments zako mbili ? Napata wasi wasi kuwa hata wewe waweza kuwa Aina ya mbunge kibajaji au Good luck au Msukuma.

Kweli wewe unaweza kuwa think Tank ya Taifa na ukategemewa kuleta Matokeo chanya kwenye jamii! Kwamba unaona kwako ni Bora kusifiwa tu badala ya kujitazama!

Viongozi ambao ni pro government wanaolewa sifa zisizokua na maana na kukataa kujitazama na kusimamia maslahi ya wananchi hawatufai hata kidogo!
Integrity ya mzee Warioba katika Taifa hili haifai kubezwa hata kidogo uwe na heshima.
Hana njaa yoyote kama uliyokua nayo as he is enjoying retirement benefits kama pm mwingi yoyote! Ambazo wewe na ukoo wako hauwezi kuwa Nazo.

Kama unamchukia yeye personal let it be otherwiise jibu hoja zake na zile za Dr Bashiru.

Ogopa Taifa likiwa na wajinga wengi wanaweza kuchagua RAIS!
 
"kuna wastaafu wanawashwawashwa"... Alsikika Kiongozi mmoja kutoka ktk kiti cha kuongozea malaika.
 
Ukitafakari kwa kina aina ya viongozi tulio nao ndio tunapojua dhahiri taifa kama taifa kufikia maendeleo halisi ni ngumu sana .

Kama wengi wa viongozi wetu wanatoa maoni yao juu ya maoni ya mtuwingine kwa namna tunavyo ona tukubali tu kwamba sisi wananchi wa taifa hili ni miongoni mwa wenye kupata hasara.

Mtu ametoa maoni ya kawaida kabisa kwa akili za walio wengi na mitazamo ya walio wengi lakini wanatokea madaktari wa falsafa ambao ndio hujulikana kama wasomi wa hali ya juu wanakosoa maoni ya mtu na si kwa maslahi ya taifa bali kwa kikundi chao na kiongozi wao!

Sisi kama wananchi wa kawaida tunaangalia kwa umakini mtanange huu, lakini kama tungejaliwa kujua hakuna wakati mzuri sisi wananchi tunaopata kama wakati wa kupiga kura.

Bahati mbaya sana hatutumii wakati huo kwa maslahi mapana ya taifa letu na sisi kwa ujumla , badala yake ni kulia kulalamika na kulaumu miaka na miaka.
 
Back
Top Bottom