Jaji Warioba: Dkt. Bashiru ajibiwe kwa hoja, hajafanya kosa lolote acheni kumshambulia

Jaji Warioba: Dkt. Bashiru ajibiwe kwa hoja, hajafanya kosa lolote acheni kumshambulia

Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.

Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.

Matapeli wa kisiasa waliobaki
Umedhihirisha uduni wako wa akili. Jibu hoja ya Warioba, siyo huu upuuzi uliouandika. Hata akili ya kutambua tu hoja, nayo umeikosa?
 
Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.

Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.

Matapeli wa kisiasa waliobaki
mkuu wakati unaandika ulikuwa wawaza unajibu hoja kwa hoja ama wale wale kina lusinde

maana umeandika upuuzi, kuliko upuuzi wenyewe
 
Mzee Warioba ni super intelligent. Wenye akili wote wanamwelewa. Lakini wale mentally retarded, hawawezi kumwelewa.

..wakati watu wanabambikwa makesi, wanatekwa, na kupigwa marisasi, Mzee Warioba aliwahi kuwasemea?

..au "damu nzito kuliko maji," sasa anamtetea Bashiru kwasababu ni mwana-Ccm, angekuwa mpinzani anashambuliwa Mzee Warioba angekaa kimya.
 
..Nadhani uko kinadharia zaidi.

..You are dealing with human beings, not stones.

..kwamba watu wana kumbukumbu, wana hisia, na wana akili zinazofanya tafakuri.

..Wanamkumbuka Dr.Bashiru jinsi alivyokuwa fedhuli na mwenye kiburi cha madaraka wakati akiwa Katibu Mkuu wa Ccm.

..Leo amefikwa na nini kiasi cha kiasi cha kuanza kuwazodoa watawala, na kutetea wanyonge?

..Je, tumuamini tu bila ya kumdadisi? Je, atetewe tu bila kwanza kukiri makosa yake, na kuwaomba radhi waliodhulumiwa wakati akiwa sehemu ya genge la watawala?

..Kuielewa hoja yangu labda nitoe mfano huu mdogo. Hivi mtu ambaye anajulikana kwa kumkashifu Mtume Muhammad, je ana uhalali siku yoyote ile atakayoamua aingie Msikitini?

..Je, waumini hawana haki ya kumhoji kama ame Silimu? Je, hatakiwi kuulizwa kama ametawadha kabla hajaingia Msikitini? Je, aachwe tu aingie Msikitini na viatu?

..Narudia tena, Dr.Bashiru atubu, aombe radhi, ajitenge na ufedhuli na unyanyasaji wa awamu ya 5. Baada ya hapo atakuwa na uhalali wa kutetea uhuru wa maoni.
"Unadhani" niko kinadharia zaidi, naishia hapo.

Mengine yote uliyoandika hapo umejaza hisia na historia tu, wakati nimeshakwambia hapa ni suala la kisheria na haki za mtu, naona hatuelewani,
 
Na upande wake wanaanza kutoka mmoja mmoja
Yaani waswahili hawawezi kuficha hisia zao
Tutaona wengi wanajibu haya sisi tunawachora tu
Kwa kujibu utumbo wanawahi sana ila maji na umeme huwasikii wakionhelea maana wao haliwahusu
Kwao umeme na maji ni 24/7 they don't give a toss
 
Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.

Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.

Matapeli wa kisiasa waliobaki
Kwamba platinum credit imefilisika?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
CCM ni chama cha kidemokrasia ndio maana watu wanatofautiana na mwisho wanaelewana.

Huwa hawaelewani, bali wakati wa uchaguzi inabidi wawe wamoja kinafiki, maana wanajua wakipoteza uchaguzi nusu yao wataishia jela kwa dhuluma walizofanyia nchi hii.
 
Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.

Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.

Matapeli wa kisiasa waliobaki
Wewe na Msukuma jahazi moja la wapuuzi.
 
"Unadhani" niko kinadharia zaidi, naishia hapo.

Mengine yote uliyoandika hapo umejaza hisia tu, wakati nimeshakwambia hapa ni suala la kisheria na haki za mtu, naona hatuelewani,

..Dr.Bashiru ni fedhuli wa awamu ya 5 leo mnataka wahanga wa ufedhuli wake na Magufuli wajitokeze kumtetea?

..Dunia haiendi namna hiyo. Muache Dr.Bashiru atetewe na genge la mafedhuli wenzake kwani bado wapo serikalini na ktk chama.
 
“Hawa ni viongozi wa nchi, mimi nilifikiri watakuwa wanatetea wananchi zaidi. Naona kama wanatetea Serikali zaidi. Mimi nadhani kama wanatofauti zao huko wasizifanye ni tofauti za kitaifa. [..] Mimi sioni kama tunasaidia nchi kuanza kusema huyu awajibike kwa sababu ya mawazo aliyotoa, hivi mtu akitoa mawazo yake imekuwa ni kosa?” amehoji Warioba.
Nakubaliana kabisa na Mzee Warioba. Tutaiharibu nchi yetu endapo tutafanya kila mtu na kila chombo kuwa cha kuimba mapambio na kusifu. Chombo cha kuwatetea wakulima kifanye kazi yake ya utetezi, siyo kusifu.
Asante Jaji Warioba kwa busara zako.
 
Vilaza na Chawa kama wewe huwezi msikiliza na kumuelewa. Wewe endekelea kumsikiliza Kihongosi na Shaka.
kama kuna kiongozi anayeheshimika nakuaminiwa na Watanzania basi ni pamoja na Jaji Joseph Sinde Warioba,,,,,jibuni hoja achana na jaji...
 
..Nadhani uko kinadharia zaidi.

..You are dealing with human beings, not stones.

..kwamba watu wana kumbukumbu, wana hisia, na wana akili zinazofanya tafakuri.

..Wanamkumbuka Dr.Bashiru jinsi alivyokuwa fedhuli na mwenye kiburi cha madaraka wakati akiwa Katibu Mkuu wa Ccm.

..Leo amefikwa na nini kiasi cha kiasi cha kuanza kuwazodoa watawala, na kutetea wanyonge?

..Je, tumuamini tu bila ya kumdadisi? Je, atetewe tu bila kwanza kukiri makosa yake, na kuwaomba radhi waliodhulumiwa wakati akiwa sehemu ya genge la watawala?

..Kuielewa hoja yangu labda nitoe mfano huu mdogo. Hivi mtu ambaye anajulikana kwa kumkashifu Mtume Muhammad, je ana uhalali siku yoyote ile atakayoamua aingie Msikitini?

..Je, waumini hawana haki ya kumhoji kama ame Silimu? Je, hatakiwi kuulizwa kama ametawadha kabla hajaingia Msikitini? Je, aachwe tu aingie Msikitini na viatu?

..Narudia tena, Dr.Bashiru atubu, aombe radhi, ajitenge na ufedhuli na unyanyasaji wa awamu ya 5. Baada ya hapo atakuwa na uhalali wa kutetea uhuru wa maoni.
Bashiru yeye katoa maoni yake kanyamaza, ukitaka yachukue hutaki acha ila yeye hahitajiki kufanya lolote juu ya maoni yake.
 
Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.

Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.

Matapeli wa kisiasa waliobaki
Warioba amesema mjibu hoja si kushambulia watu .

Kwa hata yeye shambulia hoja yake . Usimshambulie Warioba
 
Back
Top Bottom