Hapa ndipo unapotofautisha maoni ya msomi, na mashabiki wanaotafuta madaraka na vyeo kwa kumshambulia Bashiru kwa ajili ya matumbo yao.
Utashangaa mpaka kina Msukuma na Lusinde leo wanaonekana wa maana kisa wanamshambulia Bashiru, tuna taifa la mihemko sana, ambalo kila siku linazidi kupoteza muelekeo.
ccm wanajua sarakasi kweliUzuri wa nyakati huwa zimegawanyika, kuna wakati wa kucheka na kulia. Anaye tenganisha hivi vitu huwa ni muda tu.
Hivi hapo ulipo unajiona unafanana kwa lolote na wariobaMzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.
Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.
Matapeli wa kisiasa waliobaki
ccm kwa maigizoWAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, ameeleza kuwa Balozi Bashiru Ally, hajafanya kosa lolote hakustahili kushambuliwa. Amesema, watu wajibu hoja badala ya kumshambulia yeye binafsi.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2423226
Hebu tupe mfano wa mtu mmoja toka CCM, au wale wengine mashabiki wa walamba asali aliyejibu hoja za Dr. Bashiru ukiondoa hizo kelele za kina Lusinde na wenzake.
Halafu unawaingiza wakina Lissu na wengine sijui wanahusiana nini kwenye kujibu hoja za Dr. Bashiru, naona ndio unataka apuuzwe kisa historia yake.
Mtambue whatever Dr. Bashiru alifanya kabla, hakumuondolei haki yake ya kuzungumza na hoja zake kujibiwa.
Hiki mnacholazimisha kuleta ndicho kinawakuta nanyi halafu mnalalamika, ndio maana mikutano ya siasa mmezuiwa japo ni haki yenu, amkeni; msiwe wabinafsi, haki haichagui rangi, historia, wala chochote..
Ukimnyima haki mwenzio mjue nanyi mtamyimwa, mjifunze kuihubiri demokrasia na kuitenda, sio mnaishia kuihubiri pekee, hii demokrasia yenu unayoileta ina exceptions, hamtaki fulani asikilizwe kisa historia yake, hii kitu haipo hapa duniani.
Muda si mrefu na yeye ataanza kushambuliwa! Shauri yake. Chawa hawataki kabisa bosi wao kuguswa.Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, ameeleza kuwa Balozi Bashiru Ally, hajafanya kosa lolote hakustahili kushambuliwa. Amesema, watu wajibu hoja badala ya kumshambulia yeye binafsi.
View attachment 2423235
Chanzo: Mwanahalisi
Unadhani hata mama kawatuma basi. Watu wanasaka uteuzi hao. Kigwangala kuna hoja iliyowahi kutokea inayomgusa Rais kuanzia JPM then akakaa kimya. Anasaka Uwaziri badoPia ajibiwe na aliowasema sio chawa wao.
Bashiru kamsema Samia Ila ajabu anajibiwa na wakina Kigwangala.
Kigwangala ana cheo gani serikalini Cha kumjibia Samia
Samia atoke ajibu hoja za bashiru mwenyewe sio kuwatuma mawakala wa unaupiga mwingi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Bado hamjitambui kabisa, bado wachanga sana kidemokrasia, demokrasia haina exceptions, eti itakupa haki yako kama hauna historia mbaya ya yaliyopita!...wakati Dr.Bashiru akiwa Katibu Mkuu aliwatumia kundi la wasiojulikana, Musiba, Musukuma, Kibajaji, kuwatukana na kuwashambulia wakosoaji wa serikali ya awamu ya 5.
..Dr.Bashiru ajilaumu mwenyewe kwasababu hawa wanaomsuta na kumbeza yeye ndiye aliyekuwa akiwatunza alipokuwa Katibu Mkuu wa Ccm.
JIBU HOJA, Bashiru wa enzi ya Magu alikuwa Mlevi!!!..wakati Dr.Bashiru akiwa Katibu Mkuu aliwatumia kundi la wasiojulikana, Musiba, Musukuma, Kibajaji, kuwatukana na kuwashambulia wakosoaji wa serikali ya awamu ya 5.
..Dr.Bashiru ajilaumu mwenyewe kwasababu hawa wanaomsuta na kumbeza yeye ndiye aliyekuwa akiwatunza alipokuwa Katibu Mkuu wa Ccm.
Mimi nazungumzia sheria zilizoandikwa vitabuni tunazotakiwa kuzifuata, ajabu wewe unasema niko kinadharia zaidi!...unachozungumza kiko kinadharia zaidi.
..huwezi kuwa mbinya haki za wenzako halafu ghafla unataka wale uliokuwa ukiwadhulumu wakutetee.
..Dr.Bashiru awe muungwana kwa kuomba radhi kwa kusimamia na kutetea udhalimu wakati akiwa Katibu Mkuu wa Ccm.
Hakushindi weweHuyu nae akili saivi ziko retarded
Empty set
Loud and clearHapa ndipo unapotofautisha maoni ya msomi, na mashabiki wanaotafuta madaraka na vyeo kwa kumshambulia Bashiru kwa ajili ya matumbo yao.
Utashangaa mpaka kina Msukuma na Lusinde leo wanaonekana wa maana kisa wanamshambulia Bashiru, tuna taifa la mihemko sana, ambalo kila siku linazidi kupoteza muelekeo.
Siwezi kufanana naye sura, sura yake Ina changamoto ya nguvu za uvutanoHivi hapo ulipo unajiona unafanana kwa lolote na warioba
Shame on youMzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.
Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.
Matapeli wa kisiasa waliobaki
Machawa ya mama mnahangaikaSiwezi kufanana naye sura, sura yake Ina changamoto ya nguvu za uvutano
Kunywa maji mwanangu, boss wako Bashiru kayakanyagaMachawa ya mama mnahangaika
Utahangaika sana we kinembe