Jaji Warioba: Dkt. Bashiru ajibiwe kwa hoja, hajafanya kosa lolote acheni kumshambulia


..wakati Dr.Bashiru akiwa Katibu Mkuu aliwatumia kundi la wasiojulikana, Musiba, Musukuma, Kibajaji, kuwatukana na kuwashambulia wakosoaji wa serikali ya awamu ya 5.

..Dr.Bashiru ajilaumu mwenyewe kwasababu hawa wanaomsuta na kumbeza yeye ndiye aliyekuwa akiwatunza alipokuwa Katibu Mkuu wa Ccm.
 
Hivi hapo ulipo unajiona unafanana kwa lolote na warioba
 
ccm kwa maigizo
 

..unachozungumza kiko kinadharia zaidi.

..huwezi kuwa mbinya haki za wenzako halafu ghafla unataka wale uliokuwa ukiwadhulumu wakutetee.

..Dr.Bashiru awe muungwana kwa kuomba radhi kwa kusimamia na kutetea udhalimu wakati akiwa Katibu Mkuu wa Ccm.
 
Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, ameeleza kuwa Balozi Bashiru Ally, hajafanya kosa lolote hakustahili kushambuliwa. Amesema, watu wajibu hoja badala ya kumshambulia yeye binafsi.

View attachment 2423235

Chanzo: Mwanahalisi
Muda si mrefu na yeye ataanza kushambuliwa! Shauri yake. Chawa hawataki kabisa bosi wao kuguswa.
 
Unadhani hata mama kawatuma basi. Watu wanasaka uteuzi hao. Kigwangala kuna hoja iliyowahi kutokea inayomgusa Rais kuanzia JPM then akakaa kimya. Anasaka Uwaziri bado

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Bado hamjitambui kabisa, bado wachanga sana kidemokrasia, demokrasia haina exceptions, eti itakupa haki yako kama hauna historia mbaya ya yaliyopita!.

Halafu mnaonesha dhahiri kumbe hata huwa hamumuelewi Mbowe akisema hana visasi, nyie bado wachanga sana.

Kama mkianza kuleta habari hizo, hata huko ulipo nanyi kuna madudu mlifanya yanayostahili msisikilizwe, na tukianza kutazamana kwa jicho hilo, mwishowe hili taifa litakuwa la mabubu CCM wafanye wanavyotaka, usimfunge mdomo mwenzio ili nawe ukisema upate wa kukusikiliza.
 
JIBU HOJA, Bashiru wa enzi ya Magu alikuwa Mlevi!!!

Mlevi hujibiwa akiwa POMBE imekata, na Si wakati amelewa.

Bashiru huyu ndiye Bashiru halisi, Ajibiwe Kwa hoja.
 
Kwa mwenye akili timamu, hashambulii, hujibu kwa hoja , kwa weledi wa hali ya juu. Naona ambao kwao shule ni shida wana taabu ya kuelewa.
 
..unachozungumza kiko kinadharia zaidi.

..huwezi kuwa mbinya haki za wenzako halafu ghafla unataka wale uliokuwa ukiwadhulumu wakutetee.

..Dr.Bashiru awe muungwana kwa kuomba radhi kwa kusimamia na kutetea udhalimu wakati akiwa Katibu Mkuu wa Ccm.
Mimi nazungumzia sheria zilizoandikwa vitabuni tunazotakiwa kuzifuata, ajabu wewe unasema niko kinadharia zaidi!.

Utambue haki haihitaji hisani yako wala ya mwingine yeyote, na usitumie hisia kuhukumu jambo linalohitaji kutendwa kisheria, tambua sheria haina hisani.

Lazima uifuate sheria, kama hutaki kuifuata kisa historia ya mtu, basi utambue nawe ni mvunja sheria tu kama walivyo CCM, nyie hamchekani.
 
ccm kwa maigizo
Akili za ccm ni kudhalilisha dada zetu na kushindwa kujibu hoja[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji41][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
 
Loud and clear
 
Shame on you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…