Jaji Warioba kujiuzulu tume ya mabadilko ya katiba

Tetesi hizi zikithibitishwa itakuwa mfano mzuri na itamjengea heshima iwapo sababu za kujiuzulu kwake zitakuwa kwa maslahi ya taifa.
 
Hivi baada ya nyerere kufa huwezi kufikiri vyengine?
 

Afadhali gunia la mavi unaweza ku2mia kwenye kilimo kwanza, ni sawa na gunia la misumari kwenye upara!!
 
It's rumours from unknown source. Kazi kweri kweri
Teh, teh teh...kazi kweli kweli.

Imefika wakati uhamiaji wapitie humu JF kuna wacongo na warundi wamejazana.

Ni kucheza na Internet Protocol Address, wakamatwe wote warudishwe makwao.
 
Kuna tetesi kuwa kutokana na kushinikizwa na chama tawala kubadilisha mapendekezo ya rasimu ya katiba, Jaji Warioba yu mbioni kuachia ngazi.
Hapana , labda kaogopa kauli ya katibu wa uenezi wa sisiemu nopa nawaiye ya wazee wanofikiria serikali tatu kufaa, naye anapenda kuishi
 
Asijiuzuru aweke wazi wanaomshinikiza kama walidhan mabilion waliyahonga awaumbue,sasa ni mwendo wa kula pesa,maamuz nguvu ya uma,ccm watajiju!
 
Jibu ni A tena kubwa sanaa

Tanganyika weka majimbo 10 chini ya Magavana, Zanzibar weka majimbo 2 tu yani unguja na pemba china ya magavana pia basi. wabishi wote... juu ya serikari moja wape elimu ya utambuzi na umhimu wa serikari moja

hujamung'unya maneno, huo ndio msimamo wangu.
 
asante sana mkuu kwa uchunguzi wako huru , usikatishwe tamaa na wanaokubeza endelea kutujuza kwa kadiri utakavyoendelea kupata data , tuko pamoja .
 
bora ajiuzulu kulinda heshima yake kwa jamii
 
Ajiuzulu tu, kwani hakuna wengine wenye uwezo??
 
Kuna kitu kinaitwa substantial minority, yaani hapa kinachoangaliwa ni nguvu ya hoja sio wingi wanasema utumbo. CCM walidandia hoja ya katiba mpya Warioba kawaletea rasimu ya katiba mpya, CCM WAMEANZA KUCHACHAWA ETI WANATAKA KATIBA YA ZAMANI. Safari hii mnalo na limewang'ang'ania kweli kweli mpaka kieleweke pamoja na kuwawekea maneno midomoni mwa wachangiaji mliowatuma kwenye mabaraza. Warioba wembe uleule uliowang'oa wakoloni uwanyoe maccm barabara tena bila maji.
 

kwa hili nyerere muhimu mengine no,imefikia mahali hata kumuita baba wa taifa hamtaki lkn kwenye mambo ya maslahi kwenu mnamtumia kuficha maovu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…