Namshauri Warioba asijiuzuru,asimame imara mpaka mwisho akitetea kile ambacho watanzania wamekipendekeza katika rasimu!Kujiuzuru ni kama kuwapa nafasi ya kuteka zaidi mchakato huo na kutupatia katiba mbovu.Serikali tatu ni maoni ya wananchi wengi sasa hilo la serikali mbili limetoka wapi?Hakuna wa kuzuia kurudi kwa Tanganyika,tumevumilia kwa zaidi ya miaka 50 sasa tukiwa kwenye kivuli cha muungano feki,kwa hiyo kama lengo lilikuwa kwenda kwenye serikali moja ila kwasababu Kuna baadhi ya wendawazimu hawataki sie watanganyika tuendelee kuvumilia upuuzi huo mpaka lini?Tunaitaka Tanganyika yetu full stop