Jaji Warioba: Miaka yote watu wanaelewa kujaza fomu, lakini 2020 ghafla hawajui. Siasa inataka kuingia kwenye Dini

Jaji Warioba: Miaka yote watu wanaelewa kujaza fomu, lakini 2020 ghafla hawajui. Siasa inataka kuingia kwenye Dini

Possibility kubwa ni kuwa, miaka yote fomu zilikuwa zinajazwa hovyo hovyo bila kuzingatia kanuni, sheria na taratibu, lakini watu wakawa wanafumbia macho au kuangalia pembeni na kuzipitisha kiujumla jumla. Mwaka 2020 watu wakaamua ku-enforce sheria kwa ku-scrutinize fomu ili kuhakikisha kama zipo sawa, kwakuwa watu waliweka mazoea ya ilimradi fomu imejazwa, matokeo ndiyo yakawa yale tuliyoona.

Tatizo bongo yetu ni unafiki.
Ni kweli kabisa tatiza la bongo ni unafiki. Maana comment yako ni ya kinafiki kiwango cha jiwe, ccm, kabudi, .....
 
Tena cha kushangaza hata kwny Mikataba hayo makosa yapo sana na wanasheria wana sign kama kawaida
Miye naamini fomu zilikuwa zinajazwa hovyo hovyo, ila kwasababu nchi yetu kuna tabia ya “kuchukulia vitu pouwa” na kuchekeana, zikawa zinapita. Mwaka 2020 watu wakakaza, ndiyo ikawa vile. Tanzania yetu watu hawafuati taratibu, sheria wala kanuni, akitokea mtu wa kukomalia hivyo vitu vifuatwe kama tulivyojipangia, anaonekana mbaya.
 
"Miaka yote watu wanaelewa na wanajaza fomu vizuri lakini Mwaka 2020, ghafla watu hawajui kujaza fomu (wanaenguliwa). Hapa lazima kuna namna" - Jaji Warioba.

Amesema hayo wakati akichangia kwenye mkutano wa TCD leo Dodoma.
Mahera alikuwepo hapo ndani?
 
Zaidi ya Nusu za kata nchi nzima CCM ilipita bila kupingwa sasa mahakamani unaenda kufungua kesi Gani wakati hata uchaguzi haukufanyika?

NEC watu walipeleka rufaa zilikaa zaidi ya wiki 2 mpaka 3 huku CCM ilishaanza kampeni ghafla unaambiwa rufaa Yako imefeli!!! Then what?? Hiyo kesi mpaka iishe si inabaki wiki moja kwenda uchaguzi!!!

Nmefurahi kusikia Kinana anakiri kuwa Haki na Demokrasia havikuwepo, na ndio mwanzo mzuri kupata chaguzi zenye matakwa ya wananchi Ili kuleta viongozi wenye tija kwenye maendeleo yao
85% ilipita bila kupingwa
 
Dikteta aliharibu democracy ya nchi yetu
Kabisa sasa, ni wakati sasa kama nchi kuungana na kuirudisha sehemu nzuri democracy yetu! Si kwamba ilikuwa nzuri sana before 2015, but tulikuwa tunaelekea pazuri!! Wapinzani kupata 40% kura za urais ile 2015 ilikuwa ni muelekeo chanya, jamaa likaja likatibua!
 
Mbona Bangoza na Mwamakula walipasa sauti na bado wapo hai? hivi vizee ni vinafiki haswa
Kamuulize Bagonza na yule mwingine wa Karagwe ni nini walipitia kwa misimamo yao, au Kakobe pia, TRA walimtandika kodi za ajabu, akaambiwa siyo Raia, ikambidi aunge juhudi! Au muulize Membe ambaye aliamua kumchana jamaa face to face
 
Possibility kubwa ni kuwa, miaka yote fomu zilikuwa zinajazwa hovyo hovyo bila kuzingatia kanuni, sheria na taratibu, lakini watu wakawa wanafumbia macho au kuangalia pembeni na kuzipitisha kiujumla jumla. Mwaka 2020 watu wakaamua ku-enforce sheria kwa ku-scrutinize fomu ili kuhakikisha kama zipo sawa, kwakuwa watu waliweka mazoea ya ilimradi fomu imejazwa, matokeo ndiyo yakawa yale tuliyoona.

Tatizo bongo yetu ni unafiki.
Umefikaje kwenye hiyo Conclusion? Any utafiti umefanyika?
 
Lakini waliyopitia ni siri yao! Hivi ulijua kwamba account za Mbowe zote zilifungwa? Si amekuja kusema baada ya jamaa kukata moto? Kuna mambo hao watu waliyapitia, wameamua tu kukaa kimya
Mbowe alisema toka alipo hukumiwa ile kesi tuliwachangia faini wote
 
Back
Top Bottom