Jaji Warioba: Miaka yote watu wanaelewa kujaza fomu, lakini 2020 ghafla hawajui. Siasa inataka kuingia kwenye Dini

Ni kweli kabisa tatiza la bongo ni unafiki. Maana comment yako ni ya kinafiki kiwango cha jiwe, ccm, kabudi, .....
 
Tena cha kushangaza hata kwny Mikataba hayo makosa yapo sana na wanasheria wana sign kama kawaida
 
"Miaka yote watu wanaelewa na wanajaza fomu vizuri lakini Mwaka 2020, ghafla watu hawajui kujaza fomu (wanaenguliwa). Hapa lazima kuna namna" - Jaji Warioba.

Amesema hayo wakati akichangia kwenye mkutano wa TCD leo Dodoma.
Mahera alikuwepo hapo ndani?
 
85% ilipita bila kupingwa
 
Dikteta aliharibu democracy ya nchi yetu
Kabisa sasa, ni wakati sasa kama nchi kuungana na kuirudisha sehemu nzuri democracy yetu! Si kwamba ilikuwa nzuri sana before 2015, but tulikuwa tunaelekea pazuri!! Wapinzani kupata 40% kura za urais ile 2015 ilikuwa ni muelekeo chanya, jamaa likaja likatibua!
 
Mbona Bangoza na Mwamakula walipasa sauti na bado wapo hai? hivi vizee ni vinafiki haswa
Kamuulize Bagonza na yule mwingine wa Karagwe ni nini walipitia kwa misimamo yao, au Kakobe pia, TRA walimtandika kodi za ajabu, akaambiwa siyo Raia, ikambidi aunge juhudi! Au muulize Membe ambaye aliamua kumchana jamaa face to face
 
Umefikaje kwenye hiyo Conclusion? Any utafiti umefanyika?
 
Lakini waliyopitia ni siri yao! Hivi ulijua kwamba account za Mbowe zote zilifungwa? Si amekuja kusema baada ya jamaa kukata moto? Kuna mambo hao watu waliyapitia, wameamua tu kukaa kimya
Mbowe alisema toka alipo hukumiwa ile kesi tuliwachangia faini wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…