Jaji Warioba: Miaka yote watu wanaelewa kujaza fomu, lakini 2020 ghafla hawajui. Siasa inataka kuingia kwenye Dini

U
Uvumilivu ulikosekana wakati huo,, walipigwa kwenye chama tuu walikuwa wengi sana. 2025 wajiandae kisaikolojia, mhenza, kawe, bariadi.. Daaa yule kijana wa kawe nusu aanzee kutembelea v8 lake ndoto ikayeyuka paaaaaaa
 
Kwanini hawakuenda mahakamani?

Kubaki unalialia umeonewa wakati hakuna kesi hata moja mahakamani ya kupinga uchaguzi ni upuuzi na kupoteza muda.
Jaji gani angesikiliza kesi hiyo? Hao hao waliokuwa wanasikiliza kesi ya Mbowe?
 
Sawa, lkn kwani kwakati wa Uchaguzi ulisafiri kwenda Brunei? Au ? Hukusema kitu.
 
Kwahiyo mnataka ile ya kuibiwa kidogo na kuachiwa kidogo,

Basi sawa, kinana ndio huyo sasa atawaibia kidogo

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini hawakuenda mahakamani?

Kubaki unalialia umeonewa wakati hakuna kesi hata moja mahakamani ya kupinga uchaguzi ni upuuzi na kupoteza muda.
Hao majaji wameteuliwa ujaji na mwenyekiti wa ccm halafu atende tofauti na ccm you guy waza sawasawa tumia akili yako kwa matumizi sahihi...
 
Kwanini hawakuenda mahakamani?

Kubaki unalialia umeonewa wakati hakuna kesi hata moja mahakamani ya kupinga uchaguzi ni upuuzi na kupoteza muda.
we unazani kwa udikteta ule ungenda mahakamani ungeshinda? alishasema mkurugenz nakuteua alafu utangaze mpinzani huna kazi,na ww na akili yako fupi kama ya pimbi unaona sawa kutetea uovu
 

Hata Kwenye shughuli za kiserikali unakuta Masare ya ccm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…